Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,004
- 3,695
Mrema ana pesa gani hadi yajirudie? Hebu kakae na uje na post za maana wacha kujaza Server ya Jf na post zisizo kuwa na uhai
Usikute Bibie alisoma ramani 🗺Augustino Mrema amefariki dunia , hili halina ubishi na sisi kama wanadamu tuliosalia hapa duniani , hatuna budi kumuombea kwa Mungu nafuu ya adhabu ya kaburi na nafuu siku ya khiyama .
Bali tunatafakari jambo moja tu linalohusu mirathi , Lyatonga Mrema "bila kushawishiwa na mtu " aliutangazia ulimwengu kwamba ANAOA MWANAMKE MPYA MZURI MWEUPE MDOGODOGO , na baada ya siku chache ndoa ikafungwa , bado hatukuelewa sababu hasa ya Mzee Mrema kunyakua ngoma mbichi katika uzee wake ule na afya aliyokuwa nayo , ilimchukua Mrema muda mwingi kusimama kanisani ili kula kiapo cha ndoa , hii ni kutokana na mgogoro wa Afya yake au Uzee .
Sasa hoja yetu ni hii hapa , huyu aliyeolewa ni mke halali kwa mujibu wa sheria za Tanzania , japo aliolewa miezi michache iliyopita , Vipi kuhusu mgawanyo wa mali za Mrema ( kama anazo ) , Je ya Reginald Mengi na K-Lyn hayatajirudia ?
Hata kina Abdiel Mengi hawakua mafala pia madam.Watoto wa Mrema sio mafala. Hakuna chochote alichochuma na Mrema. Ataondoka na nguo zake tu.
Shida kile kitobo hakinaga mjanja.Unamjua lyatonga au unamsikia, au zile comedy zake ndio unahisi yuko kiwepesi wepesi?
Naomba kujua utajiri wa mrema
Unamjua lyatonga au unamsikia, au zile comedy zake ndio unahisi yuko kiwepesi wepesi?
Mrema anamiliki vitu vingi vikiwemo kadi za chama,Tshirts nk.Mrema ana pesa gani hadi yajirudie? Hebu kakae na uje na post za maana wacha kujaza Server ya Jf na post zisizo kuwa na uhai
Tatizo Jack ana watoto. Huyu wa Mrema ni tofauti. Hana watoto. Katika mali za Mrema hajachangia chochote na hajazaa nae.Hata kina Abdiel Mengi hawakua mafala pia madam.
Hiyo itawork kama Rose Mrema angekuwepo. Ila huyu mke wa sasa hana chake miezi mitano tu kaishi na mzee.Mirathi is not about ulichochuma na marehemu, bali uhusiano wako na marehemu. If all conditions remains constant. Warithi wa asili wa Mzee Mrema kwa mjibu wa Sheria kama wapo hai ni;
1.Mke wake halali kwa mjibu wa Sheria.
2.Watoto wake
3. Mama yake mzazi
4.Baba yake mzazi.
Ulitaka upatiwe na wewe mgawo??Augustino Mrema amefariki dunia , hili halina ubishi na sisi kama wanadamu tuliosalia hapa duniani , hatuna budi kumuombea kwa Mungu nafuu ya adhabu ya kaburi na nafuu siku ya khiyama .
Bali tunatafakari jambo moja tu linalohusu mirathi , Lyatonga Mrema "bila kushawishiwa na mtu " aliutangazia ulimwengu kwamba ANAOA MWANAMKE MPYA MZURI MWEUPE MDOGODOGO , na baada ya siku chache ndoa ikafungwa , bado hatukuelewa sababu hasa ya Mzee Mrema kunyakua ngoma mbichi katika uzee wake ule na afya aliyokuwa nayo , ilimchukua Mrema muda mwingi kusimama kanisani ili kula kiapo cha ndoa , hii ni kutokana na mgogoro wa Afya yake au Uzee .
Sasa hoja yetu ni hii hapa , huyu aliyeolewa ni mke halali kwa mujibu wa sheria za Tanzania , japo aliolewa miezi michache iliyopita , Vipi kuhusu mgawanyo wa mali za Mrema ( kama anazo ) , Je ya Reginald Mengi na K-Lyn hayatajirudia ?
He he he he, kwani Mrema hajaacha mke? Hata ingekuwa siku moja. Kwa mjibu sheria huyo ni mke wake.Hiyo itawork kama Rose Mrema angekuwepo. Ila huyu mke wa sasa hana chake miezi mitano tu kaishi na mzee.
Ndoa Batili. Kumbuka huyu Doreen kabla ya kuolewa na Mrema. Alikuwa kaolewa na hakuwahi kupewa talaka.He he he he, kwani Mrema hajaacha mke? Hata ingekuwa siku moja. Kwa mjibu sheria huyo ni mke wake.
Tofautisha kupata mali baada ya kiachana kwa ndoa na kupitia urithi
Aliwezaje kufunga ndoa nyingine wakati ana ndoa nyingine. Unajua procesa za ndoa wewe mdadaNdoa Batili. Kumbuka huyu Doreen kabla ya kuolewa na Mrema. Alikuwa kaolewa na hakuwahi kupewa talaka.