Jean-Paul Mobutu: Mtoto wa Kwanza wa Mobutu Sese Seko aliyetazamiwa kuwa Rais wa tatu wa DR Congo

Hivi hao wanae walirithi utajiri wa baba yao? Maana jamaa alipiga zaidi ya U$D 13b Sawa sawa na takribani Tsh trillion 31 na billion 200!!
Vipi kuhusu yule mkewe Bobi Ladawa?
 
Hivi hao wanae walirithi utajiri wa baba yao? Maana jamaa alipiga zaidi ya U$D 13b Sawa sawa na takribani Tsh trillion 31 na billion 200!!
Vipi kuhusu yule mkewe Bobi Ladawa?
Ndio walirithi.kila mmoja alipewa $million kadhaa
Mkewe yupo anaishi ureno,ufaransa na morroco sana sana.yupo na pacha wake ambaye naye alikua mke wa mobutu
Serikali ya congo pia inawapa pesa z matumizi dollar kila mwezi.
Wanae wanafanya mishe mishe tu huko ulaya.wengi wao walitengeneza pesa zao wenyewe baba yao akiwa hai so jumlisha na za urithi wanaishi vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu haya madini yote ujayatolea wapi kama ni kwenye kitabu naomba jina la kitabu huska
Kuna mzungu wa Belgium anaitwa Pierre Janssen alikuwaga amemuoa binti wa Mobutu aliyekuwa akiitwa Yaki. Huyo jamaa aliandika kitabu kilichokuwa kinaelezea maisha ya Mobutu in vivid detail.
Unaambiwa siku ya ndoa ya huyo binti ilinunuliwa keki ya U$D 65,000 (Tsh 156,000,000), gauni la U$D 70,000 (Tsh 168,000,000), Urembo alio a binti (jewelry) wa zaidi ya dollar million 3 (Tsh bilioni saba na million mia mbili) Halafu ndoa ikaja ikavunjika.
Search hicho kitabu kipo mitandaoni nimekisahau jina.
 
Mkuu hicho kitabu cha la cour de Mobutu nina hamu nacho sana ila kila nikikitafuta sikipati kwa lugha ya Kiingereza hebu niambie nifanyeje
 
Mkuu hicho kitabu cha la cour de Mobutu nina hamu nacho sana ila kila nikikitafuta sikipati kwa lugha ya Kiingereza hebu niambie nifanyeje
Kuna english version mtandaoni mkuu
Ukiikosa unaweza kununua hiko cha kifaransa then download google translate app unapiga picha page moj moja inakutafsiria kwa ufasaha kBISA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...mbona kuna jamaa alileta Uzi humu kuwa MTT mmoja wa Mobutu ni barmaid huko Ufaransa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila Mobutu alikuwa millionea jamani,watoto wake wote wamesoma Ulaya na Marekani kuanzia primary mpaka vyuo.Birthday zilikuwa zinafanyika kwenye makasri ya Mobutu Ufaransa.Ila jamaa alijisahau mpaka mwisho wake ukawa mbaya.
Walikua wanamlia mingo tuu
 
Mabutu aliuza nchi.. drc inahitaji umoja na busara.. uoienda kwa pupa wenye mali zao hawakawii..

Inasemekana hata kagame alisaidiwa sana na marekani kuingia madarakani.. ili awe chambo ya kustabilize drc.

Kwa sasa siasa za bush zimepitwa na wakati inahitajika diplomass zaidi na kwa namna ninavyo ona tshekedi atawatoa


Africa tunahitaji kubadilisha viongozi tena kila baada ya miaka 3 ili wazungu wasimzoee.

Wakisha kuzoea hata kama ni mkali unakuwa kama simba jike lazima akubaki kuzaa pamoja na ukali wake.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna marefu chini ya jua yasiyo na ncha,utawala mzuri ni wakutumikia watu kwa haki ,ila ukijisau na ukazani ww ndo kila kitu utaangushwa na mtoto mdogo hadi utashangaa.hasa kwa tawala za kiafrika ndo mbaya zaidi,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…