TANZIA Jecha Salim Jecha afariki dunia akipatiwa matibabu hospitali ya Jeshi Lugalo

Ee Mungu usimsamehe kosa hata moja huyu mfuta matokeo ya uchaguzi sukuma jehanam anakostahili hana maana kabisa Jesha
 
Afande Kumbulu kama bado uko hapo Mortuary Lugalo Hospital tafadhali uoshe huo Mwili vizuri kama ulivyouosha Kiuweledi wa Marehemu Kapteni John Komba ulipoletwa hapo.
 
Maisha ya Duniani ni mafupi, tutende wema hapa Duniani
 
Huyu jamaa kumbe alifariki mbona hamkusema
 
Hakupenda yeye kufuta matokeo. Kiongozi wa CCM kipindi kile ndiye aliye shinikiza. Si ajabu Jecha alikua MTU wa kupenda haki Sana, Ila pressure from above. Ndio maana alikosa amani Sana wakati akitangaza.
Yeye na huyo kiongozi wawekwe chumba kimoja wafurahiye waliyoyafanya huku wanaungua matumbo!
 
Jecha alinichekesha sana alipochukua form ya kugombea urais wa Zanzibar kupitia ccm yake. Inaonekana Jecha alishamset mrithi wake pale ZEC amtangaze kuwa ameshinda ila maccm bila kukumbuka fadhila kwa mema aliyowatendea wakamkata mapema kwa roho mbaya zao.

Rest easy Jecha. Natumaini unapewa malipo ya staiki yako huko uliko.
 
Noma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…