Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante pole naa ww
Unamlaumu tu bure, yeye binafsi asingeweza kufanya vile bila kushurutishwa/kuagizwa na wenye nchi.
Angeifuta hii km angekuwepoKafa katuachia DP World!
Ohooooo !!Jecha alikoelekea leo asirudi tena.
Ila nyieee....Kifo ndo mwisho wa nyodo zote hapa kwenye uso wa dunia , msalimie mMagu na Mkapa mwambie Lissu yupo hai bado
Yeye mic tu watendaji wa bara wenzetu. Mmoja tumeshafukia, mwingine yule anayependa kujichekesha hovyo.Huyu aliharibu sana,bila huyu leo tungekuwa na Tanganyika yetu.Believe me kule CUF ingeshinda 2015,muungano tungekuwa tushausahau.
Leo la muungano lilikuwa ni hatari ya visiwa vya zenj kuwa islamic state.Ndo maana Tanganyika wakaogopa na ikabidi waungane na Zanzibar. Sasa kwa sasa ili muungano uendelee kuwepo inabidi chama tawala (Afro Shiraz + TANU) kiendelee kubaki madarakani.Umenisaidia sana! Nilikuwa najiuliza sababu ya wabara kucheza Ngoma ya wazanzibari ikawa sielewi kumbe Kuna kugawana faida ikiwa muungano utavunjika!!! Any way nadhani muungano huu ni kwaajili ya kulinda maslahi ya chama tawala upande wa bara na pia znz.
Kaka,alichowafanyiwa Wanzanzibar ni dhulma lakiniUnaandika upumbavu halafu unasema eti "wabillaahil tawfiyq.??!!"
Unataja jina la Allaah baada ya kuandika maneno ya jeuri na uadui kwa muislamu mwenzio aliyekufa au wewe ni kafiri?!
Wewe muislamu kweli kuendeleza maneno ya visasi na marehemu.
Kama wewe siyo mtoto una uhakika hujawahifanya dhambi hapa duniani ? Sisi sote ni watenda dhambi, na sisi sote tunahitaji msamaha wa mola wetu.
Sera ya uislamu kwa waislamu wenzetu waliotangulia ni kusema:
ربنا اغفر لنا ولإخواننا الذين سبقونا بالإيمان ولا تجعل في قلوبنا غلا للذين آمنوا ربنا إنك رووف رحيم.
Wakamruhusu apindue matokeo Zanzibar afu Tena[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Jambo lililowahi kunichekesha kuhusu Jecha alivochukua fomu ya urais ccm wakamkataa kwamba sio Mtanzania[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naipenda Nchi yangu
KabisaaaYeye alipokuwa anadhulum alidhani ataishi milele, usituingize kwenye dhambi zake.
Hapana yule baba hapana kiukweli wengi tumefarijika na Hili la yeye kupumzika Kwa amani ...dhulma alofanya daahhhPunguza maswali ya kijinga. Ingekuwa hivyo, mtume angekuwa hai mpaka Leo. Watu wanaongelea ujinga alioufanya huyo Jecha Zanzibar. Watu wameshakabidhiwa vyeti vya ushindi yeye anaamka na kufuta matokeo. Very stupid
AahaaaaAmeshindwa kabisa kufuta kifo jamani
Kwanini hakupelekwa DP World!,ohhh sorry nilimaanisha Dubai,Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) aliyefuta uchaguzi 2015 na kupata umaarufu mkubwa, Jecha Salim Jecha leo amefariki Hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam na mwili wake utapelekwa Zanzibar kwa maziko.
Jecha Salim Jecha alipata umaarufu mwaka 2015 baada ya kufuta matokeo ya uchaguzi Zanzibar. Zaidi soma Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) yafuta Matokeo yote ya Uchaguzi Mkuu
Aprili 17, 2018 Salim Jecha Salim aling'atuka rasmi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC) baada ya kuhudumu katika nafasi hiyo kuanzia Mei 4, 2013. Zaidi soma Hatimaye 'mtemi' Jecha Salim Jecha ang'atuka
Mwaka 2020, Jecha Salim Jecha alichukua fomu ya kuwania Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi(CCM), jambo ambalo lilizua utata ukizingatia mwaka 2015 alikuwa ni Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar yenye dhamana ya kusimamia chaguzi zote kisiwani humo. Zaidi soma Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC), Jecha Salim Jecha achukua fomu ya urais Zanzibar
Mola amsamehe makosa yake alipoteleza.
View attachment 2691725
Picha maarufu ya Jecha Salim Jecha enzi za uhai wake
Mkapa ndo alimuumba Jecha?!!Ngoja akakutane na Alhayuu ,AlqayyumSasa kama alishinikizwa Benjamin Mkapa yeye agefanyaje?