Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amani ipi?Apumzike kwa amani...
Acha afe tu mimi hainihusu kama wangekuwa wanafufuka ningeomba afe tena, una la zaidi.Hata wewe hapo una madhambi na bado unaishi!! Kifo na madhambi anayoyapenda mtu havina uhusiano wowote .
Wabaya wanakufa na wazuri wanakufa.
Kwahiyo kufurahia kifo Cha mtu wakati wewe hujui utakufa lini ni upumbavu uliopitiliza.
Sasa kama alishinikizwa Benjamin Mkapa yeye agefanyaje?Kuna wa kuwasamehe, huyu si miongoni mwao
Amani ipi?
Jecha alikoelekea leo asirudi tena.Itokayo kwa mola...
Hakuna bin-adam aliye kamili, ndio maana tunafanya ibada na misa kurekebisha na Maulana kwenye kila lisilo jema...
Muombee dua njema mkuu ndo uungwana huo.Jecha alikoelekea leo asirudi tena.
😳Muombee dua njema mkuu ndo uungwana huo.
Muombee kweli mkuu kwa sababu duniani tunapita!
Sisi wanamitandao ya kijamii tunamuombea jecha dua njema kabisa kwa sababu kila alipoteleza kibinadamu ilikuwa ni kwa shinikizo la nyie watanganyika.Hata hawa wa mkataba wa kihuni wajitafakari sana sana na waangalie mitandao ya kijamii kuhusu Jecha ili wajifunze mapema.
Aisee!!,Kifo ni hbr nyingine mkuu.Watawala hukisahau Kifo
Sasa uso kwa uso na maalim Seif!
AiseeAmeshindwa kabisa kufuta kifo jamani
Omba dua njema kwake tafadhali!
MHSRIEPAliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) aliyefuta uchaguzi 2015 na kupata umaarufu mkubwa, Jecha Salim Jecha leo amefariki Hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam na mwili wake utapelekwa Zanzibar kwa maziko.
Jecha Salim Jecha alipata umaarufu mwaka 2015 baada ya kufuta matokeo ya uchaguzi Zanzibar. Zaidi soma Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) yafuta Matokeo yote ya Uchaguzi Mkuu
Aprili 17, 2018 Salim Jecha Salim aling'atuka rasmi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC) baada ya kuhudumu katika nafasi hiyo kuanzia Mei 4, 2013. Zaidi soma Hatimaye 'mtemi' Jecha Salim Jecha ang'atuka
Mwaka 2020, Jecha Salim Jecha alichukua fomu ya kuwania Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi(CCM), jambo ambalo lilizua utata ukizingatia mwaka 2015 alikuwa ni Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar yenye dhamana ya kusimamia chaguzi zote kisiwani humo. Zaidi soma Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC), Jecha Salim Jecha achukua fomu ya urais Zanzibar
Mola amsamehe makosa yake alipoteleza.
View attachment 2691725
Picha maarufu ya Jecha Salim Jecha enzi za uhai wake
hashindwiAfe Jecha siamini.Atafuta huyo mwamba kwa sababu hashindi kitu
Muombee dua sasa? RIP.Afe Jecha siamini.Atafuta huyo mwamba kwa sababu hashindi kitu