Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu amkute huko kama mwenyekiti wa serikali zote za mitaa.sijui ataishi wapi?Sasa uso kwa uso na maalim Seif!
Maisha ni ubatili mtu, walimtumia kama dekio tu.Alizawadiwa mjengo wa Maana sana Kisaki ng'ambo ya reli baada ya alichokifanya 2015.
Mzee aliishia maisha kama ya digidigi, alikua anatoka usiku kwa kuotea otea wala hakuna mwanakijiji aliekua na time nae, ila hakuwahi kujiamini au maybe aliekewa masharti namna ya kuishi...
Lakini alikua vizuri upande wa ujasiriamali, tulinunua tilapia kutoka kwenye mabwawa yake. Tutamkumbuka.
Sio Africa tu ni watawala wote Duniani hakuna aliyefaulu kuingia mbinguni99.99% ya viongozi na watawala hasa wa Afrika hawaingii mbinguni. Kwa sababu wakiwa madarakani huwa wanalewa madaraka (hasa wanapokuwa wanazungukwa na mabunduki na kukanyaga zuria jekundu) na kusahau kuwa nao ni wanadamu tu, watakufa tu, watakuwa mavumbi/udongo tu. Na mwisho wa siku watasimama mbele za Mungu kwa hukumu. Poleni wanafamilia.
Sio Africa tu ni watawala wote Duniani hakuna aliyefaulu kuingia mbinguni99.99% ya viongozi na watawala hasa wa Afrika hawaingii mbinguni. Kwa sababu wakiwa madarakani huwa wanalewa madaraka (hasa wanapokuwa wanazungukwa na mabunduki na kukanyaga zuria jekundu) na kusahau kuwa nao ni wanadamu tu, watakufa tu, watakuwa mavumbi/udongo tu. Na mwisho wa siku watasimama mbele za Mungu kwa hukumu. Poleni wanafamilia.
Watu wabaya hawaishi maisha marefu.Kifo ndo mwisho wa nyodo zote hapa kwenye uso wa dunia , msalimie mMagu na Mkapa mwambie Lissu yupo hai bado
Umenisaidia sana! Nilikuwa najiuliza sababu ya wabara kucheza Ngoma ya wazanzibari ikawa sielewi kumbe Kuna kugawana faida ikiwa muungano utavunjika!!! Any way nadhani muungano huu ni kwaajili ya kulinda maslahi ya chama tawala upande wa bara na pia znz.Huyu aliharibu sana,bila huyu leo tungekuwa na Tanganyika yetu.Believe me kule CUF ingeshinda 2015,muungano tungekuwa tushausahau.
Watu wabaya hawaishi maisha marefu.
Hata wewe hapo una madhambi na bado unaishi!! Kifo na madhambi anayoyapenda mtu havina uhusiano wowote .Yeye alipokuwa anadhulum alidhani ataishi milele, usituingize kwenye dhambi zake.
Wewe unadhani alikuwa mzuri kwa viongozi wa CCM, chaguzi zote sliwashinda na wakampora.Kwahiyo maalim seif ni mbaya ??!!! Maana alianza yeye Jecha kafa baadae!
Akafute na uchaguzi wa malaika mbinguni.
Mbona hana Sijdah kwenye paji? Alla atamuona kweli gizani? Kwasababu Allah haoni gizani anawatambua watu wake kwa Sijdah ambayo inamulikamulika.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]View attachment 2691762
Punguza kiburi, hata wewe utakufaHao waliopoteza maisha kama ni watoto wadogo kweli ni tatizo.
Ama kama watu wazima ni mihemuko Yao ya kisiasa na ushabiki usiokuwa na maana...
Sio Africa tu ni watawala wote Duniani hakuna aliyefaulu kuingia mbinguni99.99% ya viongozi na watawala hasa wa Afrika hawaingii mbinguni. Kwa sababu wakiwa madarakani huwa wanalewa madaraka (hasa wanapokuwa wanazungukwa na mabunduki na kukanyaga zuria jekundu) na kusahau kuwa nao ni wanadamu tu, watakufa tu, watakuwa mavumbi/udongo tu. Na mwisho wa siku watasimama mbele za Mungu kwa hukumu. Poleni wanafamilia.
Mimi nadhani nyinyi ni katika wale wanaoamini kwamba WABAYA HAWAFI kwahiyo kwakuwa mnaamini nyinyi hamna dhambi mnadhani mtaishi milele hamtakufa!. Ingekuwa watu wanakufa kwa kulipwa mabaya waliyoyafanya nadhani kwa mtazamo wenu kuwa Jecha alikuwa mtu mbaya basi kwanini asingekufa yeye kwanza maalim seif akabakia?!