TANZIA Jecha Salim Jecha afariki dunia akipatiwa matibabu hospitali ya Jeshi Lugalo

TANZIA Jecha Salim Jecha afariki dunia akipatiwa matibabu hospitali ya Jeshi Lugalo

99.99% ya viongozi na watawala hasa wa Afrika hawaingii mbinguni. Kwa sababu wakiwa madarakani huwa wanalewa madaraka (hasa wanapokuwa wanazungukwa na mabunduki na kukanyaga zuria jekundu) na kusahau kuwa nao ni wanadamu tu, watakufa tu, watakuwa mavumbi/udongo tu. Na mwisho wa siku watasimama mbele za Mungu kwa hukumu. Poleni wanafamilia.
 
Alizawadiwa mjengo wa Maana sana Kisaki ng'ambo ya reli baada ya alichokifanya 2015.

Mzee aliishia maisha kama ya digidigi, alikua anatoka usiku kwa kuotea otea wala hakuna mwanakijiji aliekua na time nae, ila hakuwahi kujiamini au maybe aliekewa masharti namna ya kuishi...

Lakini alikua vizuri upande wa ujasiriamali, tulinunua tilapia kutoka kwenye mabwawa yake. Tutamkumbuka.
Maisha ni ubatili mtu, walimtumia kama dekio tu.
Shwin alojua fika hakushinda basi tu.
 
99.99% ya viongozi na watawala hasa wa Afrika hawaingii mbinguni. Kwa sababu wakiwa madarakani huwa wanalewa madaraka (hasa wanapokuwa wanazungukwa na mabunduki na kukanyaga zuria jekundu) na kusahau kuwa nao ni wanadamu tu, watakufa tu, watakuwa mavumbi/udongo tu. Na mwisho wa siku watasimama mbele za Mungu kwa hukumu. Poleni wanafamilia.
Sio Africa tu ni watawala wote Duniani hakuna aliyefaulu kuingia mbinguni
 
99.99% ya viongozi na watawala hasa wa Afrika hawaingii mbinguni. Kwa sababu wakiwa madarakani huwa wanalewa madaraka (hasa wanapokuwa wanazungukwa na mabunduki na kukanyaga zuria jekundu) na kusahau kuwa nao ni wanadamu tu, watakufa tu, watakuwa mavumbi/udongo tu. Na mwisho wa siku watasimama mbele za Mungu kwa hukumu. Poleni wanafamilia.
Sio Africa tu ni watawala wote Duniani hakuna aliyefaulu kuingia mbinguni
 
Huyu aliharibu sana,bila huyu leo tungekuwa na Tanganyika yetu.Believe me kule CUF ingeshinda 2015,muungano tungekuwa tushausahau.
Umenisaidia sana! Nilikuwa najiuliza sababu ya wabara kucheza Ngoma ya wazanzibari ikawa sielewi kumbe Kuna kugawana faida ikiwa muungano utavunjika!!! Any way nadhani muungano huu ni kwaajili ya kulinda maslahi ya chama tawala upande wa bara na pia znz.
 
Yeye alipokuwa anadhulum alidhani ataishi milele, usituingize kwenye dhambi zake.
Hata wewe hapo una madhambi na bado unaishi!! Kifo na madhambi anayoyapenda mtu havina uhusiano wowote .
Wabaya wanakufa na wazuri wanakufa.
Kwahiyo kufurahia kifo Cha mtu wakati wewe hujui utakufa lini ni upumbavu uliopitiliza.
 
99.99% ya viongozi na watawala hasa wa Afrika hawaingii mbinguni. Kwa sababu wakiwa madarakani huwa wanalewa madaraka (hasa wanapokuwa wanazungukwa na mabunduki na kukanyaga zuria jekundu) na kusahau kuwa nao ni wanadamu tu, watakufa tu, watakuwa mavumbi/udongo tu. Na mwisho wa siku watasimama mbele za Mungu kwa hukumu. Poleni wanafamilia.
Sio Africa tu ni watawala wote Duniani hakuna aliyefaulu kuingia mbinguni
 
Mimi nadhani nyinyi ni katika wale wanaoamini kwamba WABAYA HAWAFI kwahiyo kwakuwa mnaamini nyinyi hamna dhambi mnadhani mtaishi milele hamtakufa!. Ingekuwa watu wanakufa kwa kulipwa mabaya waliyoyafanya nadhani kwa mtazamo wenu kuwa Jecha alikuwa mtu mbaya basi kwanini asingekufa yeye kwanza maalim seif akabakia?!

Acha kutetea ujinga. Umedhihaki watu waliouliwa Pemba. Nawe siku yako inakuja. Mjaaa laana
 
Back
Top Bottom