TANZIA Jecha Salim Jecha afariki dunia akipatiwa matibabu hospitali ya Jeshi Lugalo

TANZIA Jecha Salim Jecha afariki dunia akipatiwa matibabu hospitali ya Jeshi Lugalo

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) aliyefuta uchaguzi 2015 na kupata umaarufu mkubwa, Jecha Salim Jecha leo amefariki Hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam na mwili wake utapelekwa Zanzibar kwa maziko.

Jecha Salim Jecha alipata umaarufu mwaka 2015 baada ya kufuta matokeo ya uchaguzi Zanzibar. Zaidi soma Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) yafuta Matokeo yote ya Uchaguzi Mkuu

Aprili 17, 2018 Salim Jecha Salim aling'atuka rasmi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC) baada ya kuhudumu katika nafasi hiyo kuanzia Mei 4, 2013. Zaidi soma Hatimaye 'mtemi' Jecha Salim Jecha ang'atuka

Mwaka 2020, Jecha Salim Jecha alichukua fomu ya kuwania Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi(CCM), jambo ambalo lilizua utata ukizingatia mwaka 2015 alikuwa ni Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar yenye dhamana ya kusimamia chaguzi zote kisiwani humo. Zaidi soma Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC), Jecha Salim Jecha achukua fomu ya urais Zanzibar

Mola amsamehe makosa yake alipoteleza.

View attachment 2691725
Picha maarufu ya Jecha Salim Jecha enzi za uhai wake​
Kwa mamlaka niliyopewa natangaza rasmi kufuta kifo cha Jecha. Kifo hicho kitarudiwa kesho asubuhi maana kimegubikwa na udanganyifu mkubwa. Pia upo ushahidi kuwa marehemu hakutumbua macho wakati anakufa na hivyo kwenda kinyume na sheria ya vifo kama ilivyoandikwa kwenye kitabu cha Mwanzo.
 
Mbona hana Sijdah kwenye paji? Alla atamuona kweli gizani? Kwasababu Allah haoni gizani anawatambua watu wake kwa Sijdah ambayo inamulikamulika.😆😆😆😆😆
Screenshots_2023-07-18-09-20-00~2.jpg
 
Wasalaam,

Acha Mungu aitwe Mungu yule fedhuli mpindua meza matokeo ya uchaguzi Zanzibar Jecha Salim Jecha nae Sir God Kampindua, huyo ndio Mungu sasa hamna Cha kibwengo, tumbili ama ngedere atabaki salama.

Sir God ni Mwamba Kampindua mpindua meza, ndio basi tena Jecha Salim Jecha atafunikwa na Dongo la futi 6 Leo.

Leo ni siku ya furaha Kwa wenye majonzi tulioumiziwa ndugu zetu na huyu fedhuli na dubwana Jecha.

Shukrani Sir God 🙏🙏🙏

Wabillah Tawfiq

Wadiz
 
Mnamuonea tu Jecha. Tatizo ni Kikwete na Mkapa. Kikwete alihairisha hadi Safari navkuwahi Zanzibar pamoja na Mkapa. Na kumuonya Jecha asitangaze. Dkt Sheni alishakubali kumkabidhi maalim lakini mkapa na Kikwete wakamuambia haiwezekani aache upuz.

Ni Kikwete na Mkapa ndo walifuta hule uchaguz.
 
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) aliyefuta uchaguzi 2015 na kupata umaarufu mkubwa, Jecha Salim Jecha leo amefariki Hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam na mwili wake utapelekwa Zanzibar kwa maziko.

Jecha Salim Jecha alipata umaarufu mwaka 2015 baada ya kufuta matokeo ya uchaguzi Zanzibar. Zaidi soma Tume y

Aprili 17, 2018 Salim Jecha Salim aling'atuka rasmi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC) baada ya kuhudumu katika nafasi hiyo kuanzia Mei 4, 2013. Za
"Umri wa binadamu ni miaka 70..." Mlitaka aishi miaka mingapi?
 
Back
Top Bottom