Jemedari Said ana kisasi cha hovyo sana dhidi ya Yanga

Jemedari Said ana kisasi cha hovyo sana dhidi ya Yanga

Bwana Bima

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2014
Posts
429
Reaction score
929
Kampuni ya LIVIDA inayojishughulisha na masuala ya Sheria za michezoni na ushauri (Sports law & consultancy) ambayo wanasheria wake wanamsimamia mshambuliaji mpya wa PYRAMIDS FC FISTON KALALA

MAYELE imesema usajili wa Star huyo kutoka Congo DR ulihusisha mamlaka mbalimbali (mult jurisdictional transfer) uliohusisha AS MANIEMA UNION FC ya Congo, YOUNG AFRICANS SC ya Tanzania's a PYRAMIDS FC ya Misri.

Kauli hi inathibitisha usemi wa kwamba Mayele alikuwa Yanga kwa MKOPO ndiyo maana usajili wake umehusisha pia klabu yake mama ya AS Maniema Union FC a Young Africans (Yanga) vinginevyo kama asingekuwa Yanga kwa mkopo basi usajili ungefanyika kati ya Yanga na Pyramids FC tu.

Kwa maana hiyo basi hata pesa aliyosajiliwa nayo huko Pyramids FC imeenda kwa AS Maniema Union FC a Young Africans SC (Yanga). Tukisema huwa tuna maanisha na tunakuwa na vyanzo sahihi, hakuna chuki ila nia ni kuwekana sawa na kujenga tu.

BIN KAZUMARI (The voice of the voiceless)

===

Baada ya sakata nyingi sana ambazo amekua akizivalia njuga kuliko timu yoyote leo nimeona bonge la kituko kutoka kwake. Anasema kwa kunukuu kutoka chanzo fulani kwamba As Maniema wamepata fungu kwenye mauzo ya mayele kwenda pyramids. Lakini je tuseme hicho kinaweza kua kigezo cha kusema mayele alikua yanga kwa mkopo? Ni jambo ambalo ni wazi kwamba chuki na misimamo isiyo na maana inamfanya apambane kuprove mawazo yake.

Mfano mzuri tu samata kwenye mauzo yote ya kwenda ulaya, simba wanafaidika je ndo tuseme Samata anaenda hizo timu kwa mkopo?

Mbona hili halihitaji hata akili ya uwakala? Na wachezaji wanaomwamini jamaa hivi wanatumia vigezo gani? Hivi wanajielewa kweli? Au wanaelewa akili ya huyu jamaa kweli?
 
Kwa dunia ya sasa mchezaji kua mkopo ni siri? Hili swala mbona Mayele mwenyewe kasha liongelea na kakanusha basi tuseme jemedari anamjua Mayele kuliko yeye anavyo jijua

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Jambo dogo sana. Kina samata wanakipiga vilabu huko ulaya na simba wanapata fungu lao so sijui hapo yupo kwa mkopo au la
 
Mtamkoma!!!!litakuja jitu kukanusha kwamba hawamkomi.Wakati kila siku wanamlalamikia jukwaani humu.
 
Kwa dunia ya sasa mchezaji kua mkopo ni siri? Hili swala mbona Mayele mwenyewe kasha liongelea na kakanusha basi tuseme jemedari anamjua Mayele kuliko yeye anavyo jijua

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app


Tanzania saivi wanaume wanalazimisha kuwa na tabia za kike.

Huwezi jua labda anataka kuwa mke mdogo wa mayele.
 
Kampuni ya LIVIDA inayojishughulisha na masuala ya Sheria za michezoni na ushauri (Sports law & consultancy) ambayo wanasheria wake wanamsimamia mshambuliaji mpya wa PYRAMIDS FC FISTON KALALA

MAYELE imesema usajili wa Star huyo kutoka Congo DR ulihusisha mamlaka mbalimbali (mult jurisdictional transfer) uliohusisha AS MANIEMA UNION FC ya Congo, YOUNG AFRICANS SC ya Tanzania's a PYRAMIDS FC ya Misri.

Kauli hi inathibitisha usemi wa kwamba Mayele alikuwa Yanga kwa MKOPO ndiyo maana usajili wake umehusisha pia klabu yake mama ya AS Maniema Union FC a Young Africans (Yanga) vinginevyo kama asingekuwa Yanga kwa mkopo basi usajili ungefanyika kati ya Yanga na Pyramids FC tu.

Kwa maana hiyo basi hata pesa aliyosajiliwa nayo huko Pyramids FC imeenda kwa AS Maniema Union FC a Young Africans SC (Yanga). Tukisema huwa tuna maanisha na tunakuwa na vyanzo sahihi, hakuna chuki ila nia ni kuwekana sawa na kujenga tu.

BIN KAZUMARI (The voice of the voiceless)

===

Baada ya sakata nyingi sana ambazo amekua akizivalia njuga kuliko timu yoyote leo nimeona bonge la kituko kutoka kwake. Anasema kwa kunukuu kutoka chanzo fulani kwamba As Maniema wamepata fungu kwenye mauzo ya mayele kwenda pyramids. Lakini je tuseme hicho kinaweza kua kigezo cha kusema mayele alikua yanga kwa mkopo? Ni jambo ambalo ni wazi kwamba chuki na misimamo isiyo na maana inamfanya apambane kuprove mawazo yake.

Mfano mzuri tu samata kwenye mauzo yote ya kwenda ulaya, simba wanafaidika je ndo tuseme Samata anaenda hizo timu kwa mkopo?

Mbona hili halihitaji hata akili ya uwakala? Na wachezaji wanaomwamini jamaa hivi wanatumia vigezo gani? Hivi wanajielewa kweli? Au wanaelewa akili ya huyu jamaa kweli?
Ni wachache bado mnahangaika na Mazuzu wanaojiita wachambuzi. Haaland ameuzwa lkn miongoni mwa wafaidika ni timu yake ya ujana.
Nonda Shaban alipouzwa ufaransa Yanga walipata mgao na Hakuna Mchambuzi uchwara kipindi hicho aliuliza.
Samata alipouzwa na Mazembe Simba waliitwa kuchukua mgao wao japo wajanja walipita nazo.
 
Mtume alisema husda ni kama kipande cha ukuni kwenye moto.
Chenyewe ndio kinateketea.

Mie mshabiki wa simba ila huyu jemedari nishamuona miyeyusho, chuki za nini. Kuna mambo si ya kuvalia njuga, si mara moja si mara 2, ikafika hatua ukurasa wake nikawa sipiti tena.
 
Wenzetu wanao fanya biashara za mpira kwa muda mrefu wanafajamu ilo. Vituo vingi vya kukuzia vijana uwa vinaweka kipengere icho cha kupata angalau 5% mchezaji anapo uzwa . Kwa pale Congo ni jambo la kawaida, ukisema mchezaji ni wa Manyema haiwezekani kwakua manyema watakua ni third party kitu ambacho FIFA hawaruhusu.
Uyo kazumari hana analo jua ni ku mpuuza tu. Soka la sasa kulifuatilia ki undani linataka elimu ya soka sasa wenzetu kusoma ni wavivu wana puyanga tu kwakua wana platform ya kusemea.
 
Mtume alisema husda ni kama kipande cha ukuni kwenye moto.
Chenyewe ndio kinateketea.

Mie mshabiki wa simba ila huyu jemedari nishamuona miyeyusho, chuki za nini. Kuna mambo si ya kuvalia njuga, si mara moja si mara 2, ikafika hatua ukurasa wake nikawa sipiti tena.
Uko kama Mimi.
 
Mtume alisema husda ni kama kipande cha ukuni kwenye moto.
Chenyewe ndio kinateketea.

Mie mshabiki wa simba ila huyu jemedari nishamuona miyeyusho, chuki za nini. Kuna mambo si ya kuvalia njuga, si mara moja si mara 2, ikafika hatua ukurasa wake nikawa sipiti tena.


YANI UNAISHI NA MTUME BADO TU HUJAMSHTUKIA!!!!!????

Koran 5;51. Enyi mlio amini! (Waislamu) Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.

SATANIC VERCE.
 
Back
Top Bottom