Jemedari Said ana kisasi cha hovyo sana dhidi ya Yanga

Jemedari Said ana kisasi cha hovyo sana dhidi ya Yanga

Haya Mayele alikuwa hamilikiwi na Yanga

Furahi sasa umepata ushindi

Sasa yanga wawe walikuwa wanamliki au alikuwa kwa mkopo wewe utafaidika na nini?
Usikimbie pambano waulize wamiliki watoe mchanganuo wa mauzo na yawekwe kwenye vitabu vya mauzo mwisho watolee hesabu kama hamtashanga
 
Hojini fedha za usajili na kuuza wachezaji tena wahini mapema kabla hawajaingiza mambo ya gharama za kambi na mishahara ya wachezaji
 
Jemedari ni zumbukuku na anaharibu brand ya efm kwa vitu vya kipuuzi kakosa weledi hata wa kazi zaidi ya soga za kijinga
 
Binti Mwanaume kama Mwanamke!

Yaani mchezaji bado anao mkataba wa mwaka mmoja ameondoka kabla ya kumaliza mkataba alafu anaongea upumbavu.

Jinga kabisa.
 
Mjinga mmoja tu huyo. Hivyo aendelee tu kupuuzwa.
 
Jambo dogo sana. Kina samata wanakipiga vilabu huko ulaya na simba wanapata fungu lao so sijui hapo yupo kwa mkopo au la
Umeulizwa hapo juu, kwani kuwapo kwa mkopo ni jambo baya au la aibu? Wakati mwingine tuachane na hoja nyepesi nyepesi. Hata kama alikuwa kwa mkopo lakini akawa anaichezea Yanga, kuna ubaya gani hadi kuanzisha uzi dhidi ya Kazumari?
 
Umeulizwa hapo juu, kwani kuwapo kwa mkopo ni jambo baya au la aibu? Wakati mwingine tuachane na hoja nyepesi nyepesi. Hata kama alikuwa kwa mkopo lakini akawa anaichezea Yanga, kuna ubaya gani hadi kuanzisha uzi dhidi ya Kazumari?
Sasa mchezaji mwenyewe anasema hayupo Yanga kwa mkopo, anatokea Mchambuzi uchwara anakwambia yupo kwa mkopo. Uongozi wa Yanga umesema umemuuza Mayele pyramid na mchambuzi ana shupaza shingo.

Jemedari angekua anazungumzia mkorosho mmoja unatoa gunia ngapi ningemwelewa lakini kwenye soka tumevamiwa.
 
Ni wachache bado mnahangaika na Mazuzu wanaojiita wachambuzi. Haaland ameuzwa lkn miongoni mwa wafaidika ni timu yake ya ujana.
Nonda Shaban alipouzwa ufaransa Yanga walipata mgao na Hakuna Mchambuzi uchwara kipindi hicho aliuliza.
Samata alipouzwa na Mazembe Simba waliitwa kuchukua mgao wao japo wajanja walipita nazo.
hizo hela tutaziona kwenye taarifa ya mapato na matumizi tutajua jemedary muongo au ni chuma cha ukweli
 
Nonda alipouzwa Yanga hawakuambulia hata sumni, tusidanganyane hapa. Tena alitoroshwa afadhali hata sasa hivi tuna huu utaratibu wa kinafki wa kutoa "Thank You". Sikilizeni niwambie, kwenye mauzo ya mchezaji, wakati mwingine unapewa option, kuna option ya ununuzi wa jumla au kama huu unaofanana na mkopo maana hauna umiliki wa 100% wa mchezaji huyo. Hii inasaidia kumpata mchezaji huyo kwa gharama nafuu zaidi ingawa option ya kumpata moja kwa moja kwa gharama kubwa zaidi bado unapewa. Tunaita mkopo kwa sababu hizo. Pia mchezaji wa mkopo hauwezi kumuuza bila idhini ya timu hiyo nyingine. Au nyie mnadhani kumpata mchezaji kwa mkopo kunafananaje? Mnadhani mchezaji unayempata kwa mkopo haumlipii chochote?

Hata Max amekuja Yanga kwa mkataba wa namna hiyo hiyo. Nilikuwa mtu wa kwanza kusema hili la mkopo wa Mayele kabla hata ya hawa kina Jemedari au mtu mwingine yoyote, nakumbushia tu.
 
Back
Top Bottom