Bwana Bima
JF-Expert Member
- Jul 29, 2014
- 429
- 929
- Thread starter
- #81
Fact ipi unayotaka? Mayele, wakala wake walithibitisha kua yanga kwa mkataba wa miaka miwili aiya we fact gan kwa upande wake inayoisha alikua yanga kwa mkopoToa facts na data za kukataa kwamba Mayele hakuwa Yanga SC kwa mkopo, kuna kesi gani hapo kukopa ni kesi?au tatizo lako ni muda wa mkopo?