Jemedari Said ana kisasi cha hovyo sana dhidi ya Yanga

Jemedari Said ana kisasi cha hovyo sana dhidi ya Yanga

Toa facts na data za kukataa kwamba Mayele hakuwa Yanga SC kwa mkopo, kuna kesi gani hapo kukopa ni kesi?au tatizo lako ni muda wa mkopo?
Fact ipi unayotaka? Mayele, wakala wake walithibitisha kua yanga kwa mkataba wa miaka miwili aiya we fact gan kwa upande wake inayoisha alikua yanga kwa mkopo
 
Toa facts na data za kukataa kwamba Mayele hakuwa Yanga SC kwa mkopo, kuna kesi gani hapo kukopa ni kesi?au tatizo lako ni muda wa mkopo?
20230803_103835.jpg

Io ni mfano wa unayemtetea ndo useme anaongea fact
 
Sasa shida iko wapi hapo mnafanana Kila mtu abaki na lake bila ushahidi yote ni mawazo na hisia tu na haina ubaya haisaidii Mayele kaondoka ndio basi Yanga wasubiri atararudi 2025
Fact ipi unayotaka? Mayele, wakala wake walithibitisha kua yanga kwa mkataba wa miaka miwili aiya we fact gan kwa upande wake inayoisha alikua yanga kwa mkopo
 
Sasa shida iko wapi hapo mnafanana Kila mtu abaki na lake bila ushahidi yote ni mawazo na hisia tu na haina ubaya haisaidii Mayele kaondoka ndio basi Yanga wasubiri atararudi 2025
Ahaha mfano tuseme Aucho yupo yanga naa tunajua amebakisha miaka miiwili so kwa kujua hilo haitoshi then jemedar aseme yupo kwa mkopo inabd tumuamini au sio?
 
Sasa shida iko wapi hapo mnafanana Kila mtu abaki na lake bila ushahidi yote ni mawazo na hisia tu na haina ubaya haisaidii Mayele kaondoka ndio basi Yanga wasubiri atararudi 2025
Dunia ya sasa hivi unaweza kuficha taarifa za mchezaji? nmekutolea mfano wa Kisinda na Chiko Ushindi taarifa zao za mkopo zilikua wazi iweje Mayele ziwe kificho, pili wachezaji waliokuja na Mayele season ya 21/22 kutoka AS Vita walikua Moloko, Bangala, Djuma, wote hao walikua kwa mkopo au ni Mayele peke yake?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Dunia ya sasa hivi unaweza kuficha taarifa za mchezaji? nmekutolea mfano wa Kisinda na Chiko Ushindi taarifa zao za mkopo zilikua wazi iweje Mayele ziwe kificho, pili wachezaji waliokuja na Mayele season ya 21/22 kutoka AS Vita walikua Moloko, Bangala, Djuma, wote hao walikua kwa mkopo au ni Mayele peke yake?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Fact
 
Dunia ya sasa hivi unaweza kuficha taarifa za mchezaji? nmekutolea mfano wa Kisinda na Chiko Ushindi taarifa zao za mkopo zilikua wazi iweje Mayele ziwe kificho, pili wachezaji waliokuja na Mayele season ya 21/22 kutoka AS Vita walikua Moloko, Bangala, Djuma, wote hao walikua kwa mkopo au ni Mayele peke yake?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kama sio kweli si upuuze tu au Yanga watakulipa🤣🤣🤣
 
Kampuni ya LIVIDA inayojishughulisha na masuala ya Sheria za michezoni na ushauri (Sports law & consultancy) ambayo wanasheria wake wanamsimamia mshambuliaji mpya wa PYRAMIDS FC FISTON KALALA

MAYELE imesema usajili wa Star huyo kutoka Congo DR ulihusisha mamlaka mbalimbali (mult jurisdictional transfer) uliohusisha AS MANIEMA UNION FC ya Congo, YOUNG AFRICANS SC ya Tanzania's a PYRAMIDS FC ya Misri.

Kauli hi inathibitisha usemi wa kwamba Mayele alikuwa Yanga kwa MKOPO ndiyo maana usajili wake umehusisha pia klabu yake mama ya AS Maniema Union FC a Young Africans (Yanga) vinginevyo kama asingekuwa Yanga kwa mkopo basi usajili ungefanyika kati ya Yanga na Pyramids FC tu.

Kwa maana hiyo basi hata pesa aliyosajiliwa nayo huko Pyramids FC imeenda kwa AS Maniema Union FC a Young Africans SC (Yanga). Tukisema huwa tuna maanisha na tunakuwa na vyanzo sahihi, hakuna chuki ila nia ni kuwekana sawa na kujenga tu.

BIN KAZUMARI (The voice of the voiceless)

===

Baada ya sakata nyingi sana ambazo amekua akizivalia njuga kuliko timu yoyote leo nimeona bonge la kituko kutoka kwake. Anasema kwa kunukuu kutoka chanzo fulani kwamba As Maniema wamepata fungu kwenye mauzo ya mayele kwenda pyramids. Lakini je tuseme hicho kinaweza kua kigezo cha kusema mayele alikua yanga kwa mkopo? Ni jambo ambalo ni wazi kwamba chuki na misimamo isiyo na maana inamfanya apambane kuprove mawazo yake.

Mfano mzuri tu samata kwenye mauzo yote ya kwenda ulaya, simba wanafaidika je ndo tuseme Samata anaenda hizo timu kwa mkopo?

Mbona hili halihitaji hata akili ya uwakala? Na wachezaji wanaomwamini jamaa hivi wanatumia vigezo gani? Hivi wanajielewa kweli? Au wanaelewa akili ya huyu jamaa kweli?
Kasome Tena utamwelewa. Mbona mm nimesoma hapo na nimeelewa? Ila wee inaleta story tofauti ilimradi tu uonyeshe na wewe chuki dhidi ya mwamba sna Bin Kazumari.

Namkubali sana mwamba huwa anapiga spana na kukaza kwelikweli!

Jitahidi kumpenda utafurahia maandiko yake Ila utumie ubongo siyo makalio.
 
Sasa hapo chuki iko wapi. Kukopa ni dhambi ukiambiwa umekopa na hujakopa unachukia nini na hujafanya
 
Kasome Tena utamwelewa. Mbona mm nimesoma hapo na nimeelewa? Ila wee inaleta story tofauti ilimradi tu uonyeshe na wewe chuki dhidi ya mwamba sna Bin Kazumari.

Namkubali sana mwamba huwa anapiga spana na kukaza kwelikweli!

Jitahidi kumpenda utafurahia maandiko yake Ila utumie ubongo siyo makalio.
Umemuelewa bn
 
Kasome Tena utamwelewa. Mbona mm nimesoma hapo na nimeelewa? Ila wee inaleta story tofauti ilimradi tu uonyeshe na wewe chuki dhidi ya mwamba sna Bin Kazumari.

Namkubali sana mwamba huwa anapiga spana na kukaza kwelikweli!

Jitahidi kumpenda utafurahia maandiko yake Ila utumie ubongo siyo makalio.
Dunia ya sasa hivi unaweza kuficha taarifa za mchezaji? Nmekutolea mfano wa Kisinda na Chiko Ushindi taarifa zao mbona zilikua zina fahamika what so special kwa Mayele mkopo wake uwe siri let's say alikua kwa mkopo ni wa mda gani,? na kwanini Pyramid hawakwenda Maniema ?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Sijawahi kuwa shabiki wa yanga mzee, lakini pia sinaga ushabiki maandazi wa kutetea kitu ili mradi mtu huyo ameegemea simba au anaiponda yanga.
Kwangu nyeusi nyeusi, nyeupe nyeupe, haijalishi iko wapi.
Siku zote tunajuana sisi Yanga nawe umo. Leo unasema wewe Simba?
 
Huyo mtaalamu hua hapindishi yeye huwa anafyeka tu kama mzee wa jambia tu
 
Back
Top Bottom