Jemedari Said ana kisasi cha hovyo sana dhidi ya Yanga

Jemedari Said ana kisasi cha hovyo sana dhidi ya Yanga

Nonda alipouzwa Yanga hawakuambulia hata sumni, tusidanganyane hapa. Tena alitoroshwa afadhali hata sasa hivi tuna huu utaratibu wa kinafki wa kutoa "Thank You". Sikilizeni niwambie, kwenye mauzo ya mchezaji, wakati mwingine unapewa option, kuna option ya ununuzi wa jumla au kama huu unaofanana na mkopo maana hauna umiliki wa 100% wa mchezaji huyo. Hii inasaidia kumpata mchezaji huyo kwa gharama nafuu zaidi ingawa option ya kumpata moja kwa moja kwa gharama kubwa zaidi bado unapewa. Tunaita mkopo kwa sababu hizo. Pia mchezaji wa mkopo hauwezi kumuuza bila idhini ya timu hiyo nyingine. Au nyie mnadhani kumpata mchezaji kwa mkopo kunafananaje? Mnadhani mchezaji unayempata kwa mkopo haumlipii chochote?

Hata Max amekuja Yanga kwa mkataba wa namna hiyo hiyo. Nilikuwa mtu wa kwanza kusema hili la mkopo wa Mayele kabla hata ya hawa kina Jemedari au mtu mwingine yoyote, nakumbushia tu.
So Mayele alikua na mkopo wa mda gani?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kampuni ya LIVIDA inayojishughulisha na masuala ya Sheria za michezoni na ushauri (Sports law & consultancy) ambayo wanasheria wake wanamsimamia mshambuliaji mpya wa PYRAMIDS FC FISTON KALALA

MAYELE imesema usajili wa Star huyo kutoka Congo DR ulihusisha mamlaka mbalimbali (mult jurisdictional transfer) uliohusisha AS MANIEMA UNION FC ya Congo, YOUNG AFRICANS SC ya Tanzania's a PYRAMIDS FC ya Misri.

Kauli hi inathibitisha usemi wa kwamba Mayele alikuwa Yanga kwa MKOPO ndiyo maana usajili wake umehusisha pia klabu yake mama ya AS Maniema Union FC a Young Africans (Yanga) vinginevyo kama asingekuwa Yanga kwa mkopo basi usajili ungefanyika kati ya Yanga na Pyramids FC tu.

Kwa maana hiyo basi hata pesa aliyosajiliwa nayo huko Pyramids FC imeenda kwa AS Maniema Union FC a Young Africans SC (Yanga). Tukisema huwa tuna maanisha na tunakuwa na vyanzo sahihi, hakuna chuki ila nia ni kuwekana sawa na kujenga tu.

BIN KAZUMARI (The voice of the voiceless)

===

Baada ya sakata nyingi sana ambazo amekua akizivalia njuga kuliko timu yoyote leo nimeona bonge la kituko kutoka kwake. Anasema kwa kunukuu kutoka chanzo fulani kwamba As Maniema wamepata fungu kwenye mauzo ya mayele kwenda pyramids. Lakini je tuseme hicho kinaweza kua kigezo cha kusema mayele alikua yanga kwa mkopo? Ni jambo ambalo ni wazi kwamba chuki na misimamo isiyo na maana inamfanya apambane kuprove mawazo yake.

Mfano mzuri tu samata kwenye mauzo yote ya kwenda ulaya, simba wanafaidika je ndo tuseme Samata anaenda hizo timu kwa mkopo?

Mbona hili halihitaji hata akili ya uwakala? Na wachezaji wanaomwamini jamaa hivi wanatumia vigezo gani? Hivi wanajielewa kweli? Au wanaelewa akili ya huyu jamaa kweli?
Yule bwana Ni mpuuz Ni kinyesi nakuambia I don't know how amepewa kipasa sauti

Ni kitambo Sana ameweka chuki na yanga

Mpuuze na mm huwa siwez sikiliza redio ya majizo
 
Kampuni ya LIVIDA inayojishughulisha na masuala ya Sheria za michezoni na ushauri (Sports law & consultancy) ambayo wanasheria wake wanamsimamia mshambuliaji mpya wa PYRAMIDS FC FISTON KALALA

MAYELE imesema usajili wa Star huyo kutoka Congo DR ulihusisha mamlaka mbalimbali (mult jurisdictional transfer) uliohusisha AS MANIEMA UNION FC ya Congo, YOUNG AFRICANS SC ya Tanzania's a PYRAMIDS FC ya Misri.

Kauli hi inathibitisha usemi wa kwamba Mayele alikuwa Yanga kwa MKOPO ndiyo maana usajili wake umehusisha pia klabu yake mama ya AS Maniema Union FC a Young Africans (Yanga) vinginevyo kama asingekuwa Yanga kwa mkopo basi usajili ungefanyika kati ya Yanga na Pyramids FC tu.

Kwa maana hiyo basi hata pesa aliyosajiliwa nayo huko Pyramids FC imeenda kwa AS Maniema Union FC a Young Africans SC (Yanga). Tukisema huwa tuna maanisha na tunakuwa na vyanzo sahihi, hakuna chuki ila nia ni kuwekana sawa na kujenga tu.

BIN KAZUMARI (The voice of the voiceless)

===

Baada ya sakata nyingi sana ambazo amekua akizivalia njuga kuliko timu yoyote leo nimeona bonge la kituko kutoka kwake. Anasema kwa kunukuu kutoka chanzo fulani kwamba As Maniema wamepata fungu kwenye mauzo ya mayele kwenda pyramids. Lakini je tuseme hicho kinaweza kua kigezo cha kusema mayele alikua yanga kwa mkopo? Ni jambo ambalo ni wazi kwamba chuki na misimamo isiyo na maana inamfanya apambane kuprove mawazo yake.

Mfano mzuri tu samata kwenye mauzo yote ya kwenda ulaya, simba wanafaidika je ndo tuseme Samata anaenda hizo timu kwa mkopo?

Mbona hili halihitaji hata akili ya uwakala? Na wachezaji wanaomwamini jamaa hivi wanatumia vigezo gani? Hivi wanajielewa kweli? Au wanaelewa akili ya huyu jamaa kweli?
Wapi inaonyesha kazumari anachuki ametoa facts za fiston kuwa club mbili nawe toa zako kusema nii adui wa club hii
 
Hapo ameongea ubaya upi
Ubaya wake ni kuwa mayele hakuWA Yanga Kwa mkopo...yeye anadhan kwakuwa TIMU ya zaman imehusishwa katika mauzo ya mayele ANAJUA Yuko Kwa mkopo...KUMBE INAWEZEKANA KUNA KIPENGERE WALIKIWEKA KUWA AKIUZWA WAPEWE ASILIMIA.FULANI...HILI HUYU MPUMBAVU HALIJUI?
 
Wapi inaonyesha kazumari anachuki ametoa facts za fiston kuwa club mbili nawe toa zako kusema nii adui wa club hii
Fact zipi? Kwamba kisa maniema wamefaidika na pesa za mayele ndo tuseme alikua kwa mkopo?
 
Mtume alisema husda ni kama kipande cha ukuni kwenye moto.
Chenyewe ndio kinateketea.

Mie mshabiki wa simba ila huyu jemedari nishamuona miyeyusho, chuki za nini. Kuna mambo si ya kuvalia njuga, si mara moja si mara 2, ikafika hatua ukurasa wake nikawa sipiti tena.
Yanga mwenzangu umehamia Simba kwa mkopo
 
Habari utopwinyo wasizo penda kuzisikia[emoji23]
 
Nonda alipouzwa Yanga hawakuambulia hata sumni, tusidanganyane hapa. Tena alitoroshwa afadhali hata sasa hivi tuna huu utaratibu wa kinafki wa kutoa "Thank You". Sikilizeni niwambie, kwenye mauzo ya mchezaji, wakati mwingine unapewa option, kuna option ya ununuzi wa jumla au kama huu unaofanana na mkopo maana hauna umiliki wa 100% wa mchezaji huyo. Hii inasaidia kumpata mchezaji huyo kwa gharama nafuu zaidi ingawa option ya kumpata moja kwa moja kwa gharama kubwa zaidi bado unapewa. Tunaita mkopo kwa sababu hizo. Pia mchezaji wa mkopo hauwezi kumuuza bila idhini ya timu hiyo nyingine. Au nyie mnadhani kumpata mchezaji kwa mkopo kunafananaje? Mnadhani mchezaji unayempata kwa mkopo haumlipii chochote?

Hata Max amekuja Yanga kwa mkataba wa namna hiyo hiyo. Nilikuwa mtu wa kwanza kusema hili la mkopo wa Mayele kabla hata ya hawa kina Jemedari au mtu mwingine yoyote, nakumbushia tu.
Waongopee mazuzu wa kariba yako, umeanza kupuyanga kwa taarifa za Nonda Shaabani. Kama Nonda alitoroshwa kwenda kucheza Vaalprofesional pale south Africa na ICT yake nayo ili toroshwa? Aliwezaje kucheza ligi ya South bila ICT? Yaani mnaona watu woote mazuzu kama nyinyi!!
Nonda aliuzwa mwaka 1995 chini ya mwenyekiti mpondela kwa dola 10,000/= kwenda Vaal professional nao 1996 wakamuuza dola 150,000/=kwenda fcZurich ya uswiss, nao waka muuza dola 900,000/=kwa Renees ya france nao waka muuza dola milioni 25 kwa Monaco n.k sass tusiongopeane.
 
Kampuni ya LIVIDA inayojishughulisha na masuala ya Sheria za michezoni na ushauri (Sports law & consultancy) ambayo wanasheria wake wanamsimamia mshambuliaji mpya wa PYRAMIDS FC FISTON KALALA

MAYELE imesema usajili wa Star huyo kutoka Congo DR ulihusisha mamlaka mbalimbali (mult jurisdictional transfer) uliohusisha AS MANIEMA UNION FC ya Congo, YOUNG AFRICANS SC ya Tanzania's a PYRAMIDS FC ya Misri.

Kauli hi inathibitisha usemi wa kwamba Mayele alikuwa Yanga kwa MKOPO ndiyo maana usajili wake umehusisha pia klabu yake mama ya AS Maniema Union FC a Young Africans (Yanga) vinginevyo kama asingekuwa Yanga kwa mkopo basi usajili ungefanyika kati ya Yanga na Pyramids FC tu.

Kwa maana hiyo basi hata pesa aliyosajiliwa nayo huko Pyramids FC imeenda kwa AS Maniema Union FC a Young Africans SC (Yanga). Tukisema huwa tuna maanisha na tunakuwa na vyanzo sahihi, hakuna chuki ila nia ni kuwekana sawa na kujenga tu.

BIN KAZUMARI (The voice of the voiceless)

===

Baada ya sakata nyingi sana ambazo amekua akizivalia njuga kuliko timu yoyote leo nimeona bonge la kituko kutoka kwake. Anasema kwa kunukuu kutoka chanzo fulani kwamba As Maniema wamepata fungu kwenye mauzo ya mayele kwenda pyramids. Lakini je tuseme hicho kinaweza kua kigezo cha kusema mayele alikua yanga kwa mkopo? Ni jambo ambalo ni wazi kwamba chuki na misimamo isiyo na maana inamfanya apambane kuprove mawazo yake.

Mfano mzuri tu samata kwenye mauzo yote ya kwenda ulaya, simba wanafaidika je ndo tuseme Samata anaenda hizo timu kwa mkopo?

Mbona hili halihitaji hata akili ya uwakala? Na wachezaji wanaomwamini jamaa hivi wanatumia vigezo gani? Hivi wanajielewa kweli? Au wanaelewa akili ya huyu jamaa kweli?
ngoja nikamtie kwenzi za nguvu mpuuzi huyu. Nitamfuata huko huko studioni kwake nikantie kwenzi za utosini bila huruma.
 
Mbona hili halihitaji hata akili ya uwakala?
Bin Kazumari ni MBUMBUMBU na anaiwakilisha vyema bendera yao. Hivi umesahau kuwa alikula zero kwenye mtihani wa uwakala wa wachezaji wanaotambuliwa na FIFA? Kwahiyo alivyo bin Kazumari ndivyo walivyo wanasimba wote.
 
Kampuni ya LIVIDA inayojishughulisha na masuala ya Sheria za michezoni na ushauri (Sports law & consultancy) ambayo wanasheria wake wanamsimamia mshambuliaji mpya wa PYRAMIDS FC FISTON KALALA

MAYELE imesema usajili wa Star huyo kutoka Congo DR ulihusisha mamlaka mbalimbali (mult jurisdictional transfer) uliohusisha AS MANIEMA UNION FC ya Congo, YOUNG AFRICANS SC ya Tanzania's a PYRAMIDS FC ya Misri.

Kauli hi inathibitisha usemi wa kwamba Mayele alikuwa Yanga kwa MKOPO ndiyo maana usajili wake umehusisha pia klabu yake mama ya AS Maniema Union FC a Young Africans (Yanga) vinginevyo kama asingekuwa Yanga kwa mkopo basi usajili ungefanyika kati ya Yanga na Pyramids FC tu.

Kwa maana hiyo basi hata pesa aliyosajiliwa nayo huko Pyramids FC imeenda kwa AS Maniema Union FC a Young Africans SC (Yanga). Tukisema huwa tuna maanisha na tunakuwa na vyanzo sahihi, hakuna chuki ila nia ni kuwekana sawa na kujenga tu.

BIN KAZUMARI (The voice of the voiceless)

===

Baada ya sakata nyingi sana ambazo amekua akizivalia njuga kuliko timu yoyote leo nimeona bonge la kituko kutoka kwake. Anasema kwa kunukuu kutoka chanzo fulani kwamba As Maniema wamepata fungu kwenye mauzo ya mayele kwenda pyramids. Lakini je tuseme hicho kinaweza kua kigezo cha kusema mayele alikua yanga kwa mkopo? Ni jambo ambalo ni wazi kwamba chuki na misimamo isiyo na maana inamfanya apambane kuprove mawazo yake.

Mfano mzuri tu samata kwenye mauzo yote ya kwenda ulaya, simba wanafaidika je ndo tuseme Samata anaenda hizo timu kwa mkopo?

Mbona hili halihitaji hata akili ya uwakala? Na wachezaji wanaomwamini jamaa hivi wanatumia vigezo gani? Hivi wanajielewa kweli? Au wanaelewa akili ya huyu jamaa kweli?
Unapinga kwa ushahidi upi acha mihemko toa facts na data
 
Nonda alipouzwa Yanga hawakuambulia hata sumni, tusidanganyane hapa. Tena alitoroshwa afadhali hata sasa hivi tuna huu utaratibu wa kinafki wa kutoa "Thank You". Sikilizeni niwambie, kwenye mauzo ya mchezaji, wakati mwingine unapewa option, kuna option ya ununuzi wa jumla au kama huu unaofanana na mkopo maana hauna umiliki wa 100% wa mchezaji huyo. Hii inasaidia kumpata mchezaji huyo kwa gharama nafuu zaidi ingawa option ya kumpata moja kwa moja kwa gharama kubwa zaidi bado unapewa. Tunaita mkopo kwa sababu hizo. Pia mchezaji wa mkopo hauwezi kumuuza bila idhini ya timu hiyo nyingine. Au nyie mnadhani kumpata mchezaji kwa mkopo kunafananaje? Mnadhani mchezaji unayempata kwa mkopo haumlipii chochote?

Hata Max amekuja Yanga kwa mkataba wa namna hiyo hiyo. Nilikuwa mtu wa kwanza kusema hili la mkopo wa Mayele kabla hata ya hawa kina Jemedari au mtu mwingine yoyote, nakumbushia tu.
Wewe ni jemedari chawa wa moooo
 
Unapinga kwa ushahidi upi acha mihemko toa facts na data
Sasa umwekewa hapo hadi nukuu yake hio moja, pili kanukuu chanzo kimoja kinachosema pesa aliyouzwa mayele maniema wamepata mgao lakini ameconclude kwamba ni kweli alikua yanga kwa mkopo jaman huo ni mkopo wa aina gani? Je hakuna wachezaji ambao hua wanauzwa ila timu yake mama bado inakua inafaidika na mgao? Je hio ndo tuseme mchezaji huyo anakua ni wa mkopo kweli?
 
Bin Kazumari ni MBUMBUMBU na anaiwakilisha vyema bendera yao. Hivi umesahau kuwa alikula zero kwenye mtihani wa uwakala wa wachezaji wanaotambuliwa na FIFA? Kwahiyo alivyo bin Kazumari ndivyo walivyo wanasimba wote.
🤣🤣🤣Hajielew na nashangaa sana wachezaji wanaomwamini kuwasimamia
 
Sasa umwekewa hapo hadi nukuu yake hio moja, pili kanukuu chanzo kimoja kinachosema pesa aliyouzwa mayele maniema wamepata mgao lakini ameconclude kwamba ni kweli alikua yanga kwa mkopo jaman huo ni mkopo wa aina gani? Je hakuna wachezaji ambao hua wanauzwa ila timu yake mama bado inakua inafaidika na mgao? Je hio ndo tuseme mchezaji huyo anakua ni wa mkopo kweli?
Toa facts na data za kukataa kwamba Mayele hakuwa Yanga SC kwa mkopo, kuna kesi gani hapo kukopa ni kesi?au tatizo lako ni muda wa mkopo?
 
Nenda post no. 29 sikiliza hio interview

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Huyu jamaa ubongo wake una funza. Et nitoe fact utafikri uyo anayemtetea naye ana fact au hio data. Fact kwetu tosha ni mayele kuhudumu yanga kwa mkataba wa miaka miwili akibakisha mwaka mmoja. Sasa sijui anataka data gan tena
 
Back
Top Bottom