Jemedari Said ana kisasi cha hovyo sana dhidi ya Yanga

Ile issue ya kunajisiwa ilimharibu akili Jemedari Said, kibaya zaidi aliye mnajisi yuko mtaani mpaka leo
 
ana njaa sana huyu
 


Wewe mleta uzi na hao wahusika, mbona mnayoyaandika hayana maana?
 
Mwambie Yanga ni kubwa kuchukia ni ujinga wake
Mchezaji kama mayele timu imtoe kwa mkopo
Sasa awe kwa mkopo asiwe kwa mkopo yeye anafaidika na lipi?
Ametolewa kwa mkopo jean scoringmachine baleke itakuwa fiston goalshy mayele?
 
YANI MTU UKITAKA MACHIZI SOKA YAKUCHUKIE KUWA MKWELI.

Yani we CHIZI soka unanichukia JEMEDARI.
 
Einstein gani ambaye huna akili kwanini unajipa jina ambalo huwezi kulibeba?umepewa mifano ya samatta, Halaand bado huelewi

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kumbuka huyu ni yule Einstein wa Tanzania! Yaani Einstein mwenye pua pana kama ya bata! 😃 Na siyo ile pua ya kuchongoka!

Hivyo automatically lazima tu akili na pia IQ zao zitatofautiana.
 
YANI UNAISHI NA MTUME BADO TU HUJAMSHTUKIA!!!!!????

Koran 5;51. Enyi mlio amini! (Waislamu) Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.

SATANIC VERCE.

Jikite kwenye hoja ya mayele kuuzwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…