Jenerali Mabeyo amuaga Rais Mwinyi. Ajiandaa kustaafu June 2022

Asante kwa utumishi wako.

Na kila la heri katika mambo yako Mengine.
 

Jenerali Mabeyo unaondoka ila umetuachia Rais wa Ajabu ambaye hajawahi kuonekana​

 
Tunamshukuru kwa utumishi wake uliotukuka na kudumisha nidhamu ya Jeshi la wananchi wa Tanzania JWTZ..
 

Jenerali Mabeyo ikiwezekana malizia utumishi wako na Huyo mama amalize Muda wake.​

 
Moja ya Wakuu wa jeshi niliyetokea kumu 'admaya' sana. CDF Mabeyo tutakuheshimu na kukuenzi daima kwa mchango wako katika jeshi,kanisa,jamii na taifa kiujumla.Vitabu vyako ulivyoandika ni kumbukumbu njema sana.Salute Soldier [emoji870]
Naomba vitabu vyake nivione
 
Mbona gafla hivyo, kwani yeye hapunguzi umri
 
Mkuu GENTAMYCINE hujawahi kukwama na comment zako za kiwaki [emoji28][emoji28][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Thank you for your service General

Ukaongeze muda wa ibada na kutubu pia kucheza na wajukuu sasa, sio kuanza kukuona majukwaani kuangaika kugombea nafasi za kisiasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…