Hongera Gen Venace Mabeyo kwa kusimamia uweledi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera Gen Venace Mabeyo kwa kusimamia uweledi
Wajuaji Na Wafafanuzi Na Mje
Mkuu asante kwa hii Input. Sasa ndio nimekuelewa. Anajaribu kutuma ujumbe fulani kwa MteuajiMjeshi anapostaafu na kujiandaa kuwa mwanasiasa hapo baadae lazima atafute kiki za namna hii…usitafute sifa kwa kutimiza wajibu wako…
Wapo chini yakeHapo kasema yeye akiwakilisha JWTZ inamaana DIGIS na IGP wao walisimamia upande gani?? najaribu kuwaza tu.
Wapo chini yake. Hata CIA ni kitengo cha Jeshi la Marekani.Wapo chini yake
jinga kubwa wewe. kila kitu mnaingiza siasa.Mjeshi anapostaafu na kujiandaa kuwa mwanasiasa hapo baadae lazima atafute kiki za namna hii…usitafute sifa kwa kutimiza wajibu wako…
Kuna jambo huyu mzee kaongea kiungwana sana.Inamaana bila jeshi mambo yangeenda ndivyo sivyo
He talks too much mpaka atatoa na siri za jinsi rais alivyofariki. Anamaliza muda wake basi aondoke tu kwa amani....Utumishi uliotukuka!
mbowe hakuwahi kugombea urais.Katiba ya Tanzania ni kifungu gani kinasema Rais lazima awe na degree..
Mbona mbowe hana degree ila anagombea urais ?
Mama nina jambo sitalisema hapa bali nitakuja ofisini kwako... Gen Mabeyo
Namshukur sana Mungu aka kajamaa kalikufaHe talks too much mpaka atatoa na siri za jinsi Jiwe alivyofariki. Anamaliza muda wake basi aondoke tu kwa amani....Utumishi uliotukuka!
View attachment 2270187
Una uhakika na hichi ubachopinga? Ina maana haujui kama Mbowe hajawahi kugombea urais?mbowe hakuwahi kugombea urais.
kumbe na wewe ni kila,za
Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
Really!!?..mbona hawakusimama kidete kulinda katiba wakati Magufuli alipokuwa hai na akiisigina katiba?
Afande keshakuwa mwana siasa, hawezi sema kweli.Mbona Supika anavunja Katiba na Jeshi liko kimya...!!? au KATIBA ipi anazungumzia !??
jiwe alikuwa nazo za mchongo na watu walipohoji hilo walipotezwaKatiba ya Tanzania ni kifungu gani kinasema Rais lazima awe na degree..
Mbona mbowe hana degree ila anagombea urais ?
cdm wagombeambowe hakuwahi kugombea urais.
kumbe na wewe ni kila,za
Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app