Jenerali Muhoozi Kainerugaba ni dhahiri sasa amelewa madaraka. Ni kweli kwamba hajui madhara ya kauli aliyotoa kuhusu kuivamia Kenya?

Huyu kijana nilishataka kuweka uzi humu kuwa kuna siku akipata madaraka anaweza kuja kuzusha vita nyingine, cha kwanza hana hekima wala ustaarabu na cha pili anajiamini kupitiliza na ni mtu wa choko choko
Alizaliwa vitani. Amelelewa vitani. Amesomea viatani. Amekulia vitani. Amefanya kazi vitani. Mlifikiri atafikiria nini zaidi ya vita?
 
Mkuu bado unamtambua Muhoozi kama Kamanda wa Vikosi vya ardhini? Hujui kuwa "aliishastaafu" na anakisubiri kwa hamu Kiti cha Enzi alichoandaliwa?
 
Nimeridhika na ufafanuzi wako mkuu

Thanks..Kazi njema!!
 
ivi huwa unafatilia mambo kweli mambo yanabadilika sana !!labda tuwashinde kwa manenoView attachment 2376555
Yani na wewe umeamini huu utoporo Tz ina Tanks 42 kweli , Tanks zipo nyingi sana kuna siku Mwanza pale nimekuta zinasafirishwa kwa reli Tanks zaidi ya 20 ,fikiria kuna kambi ngapi za jeshi nchi hii na kila moja ina Tanks, taarifa hizi ni za sili unakuta hata waziri wa ulinzi mwenyewe hajui
 
Anaona Kenya ni poyoyo??
Mbona hasemi Tz
Mlevi huyo tumnyooshe kama ndugu yake amini nduli

Ahame nchi yake na afie huko porini
Pumbavu kabsaaa ole wake aiguse Kenya
Yeye alewe mataputapu yake halafu amguse jiran yetu bila kosa lolote

Tutamnyoosha
Hekaya za enzi ya mwalimu
 
ivi huwa unafatilia mambo kweli mambo yanabadilika sana !!labda tuwashinde kwa manenoView attachment 2376555

Na wewe unaamini kuwa Tanzania yote bara, visiwani na mikoa yake tuna vifaru 49 tu??
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Atakuja kusema hivi

"Ni kama movie ni kama video."
 
Ukiona mtu anaalikwa anaenda na choo chake ujue na wanawe akili hazipo kabisa....ngoja tuone wajameni
 
Idiot general!
U r fucked up....we don't need wars
Go and https://jamii.app/JFUserGuide ur mom
 
Na baada ya kutoa kauli hio kapandishwa cheo kutoka lieutenant general na Sasa ni general.

Hatutaki vita na Wala si jambo jema Kwa stability ya East Africa. Lakini itakuwa vipi ngoma ikivuma sana na mwishowe kupasuka, Kenya itaweza kuuzima mziki wa Uganda ?
 
Niki connect dots za vita ya wanamgambo wa Al shabab inayoendelea mpaka Sasa na tukio la Westgate napata wasiwasi kama Kenya wataiweza mikiki mikiki ya jeshi la Uganda...
 
Niki connect dots za vita ya wanamgambo wa Al shabab inayoendelea mpaka Sasa na tukio la Westgate napata wasiwasi kama Kenya wataiweza mikiki mikiki ya jeshi la Uganda...

Hakuna jeshi lolote Afrika limekumbana na changamoto ambazo Kenya ilipambana nazo na mpaka kushinda, sio rahisi kupigana na majitu ya kidini yaliyolishwa mafundisho yakaiva kiasi cha kujitoa mhanga.
 
Hakuna jeshi lolote Afrika limekumbana na changamoto ambazo Kenya ilipambana nazo na mpaka kushinda, sio rahisi kupigana na majitu ya kidini yaliyolishwa mafundisho yakaiva kiasi cha kujitoa mhanga.
Jeshi letu la uganda ni imara haitachukua hata week mbili kuichukua Kenya yote.
 
Mbona hajaisema Tanzania tukamnyonye macho huyo maana hata mm sio mjeshi ila nitaingia tu dharau hizi maana amekosa adabu east africa sasa ni ndugu haya mambo ya vita tuyaache na kauli kama hizi ni za kichochezi wakenya mfinyeni huyo kimya kimya huko huko kwa baba yake ila km kuna kenge mwingine analeta dharau asirudie
 
Kwa hiyo bado kidogo tupate uzi wa yanayojiri Kenya, au hawakupendezwa na aliyeshinda?
 
Usiwe kilaza wewe mtoa mada hiyo ni fake akaunti
Fake account wakati ina blue tick kwa maana ipi verified. Halafu kama ni fake kwanini serikali ya Uganda iombe radhi kwa Wakenya kupitia kauli hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…