Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Ukimwi umeisha ndugu yanguTunajua basi.
Ni kama enzi za ukimwi.
Kila MTU akifa utasikia ukimwi huo
Ninaweza kuthibitisha pasi na shaka ya kwamba wakati unatuma komenti yako ulikiwa unakunywa na kulewa K Vant za bure!Huyu Tumainieli kiwelu ndie aliyekua mkuu wa mkoa wa Iringa aliyemuua Mwamwindi?
Duh...kazi ipo kwa kweliHuyu Tumainieli kiwelu ndie aliyekua mkuu wa mkoa wa Iringa aliyemuua Mwamwindi?
Bwana haya mambo ya Kijeshi hata sijui yanakwendaje kama umestaafu lkn najua bado kuna Jenerali Sarakikya na ana nguvu tu na ndio waliokuwa wamebaki na Jeneral Tumainieli Kiwelu na wana NYOTA 4Poleni sana wanafamilia, JWTZ na Watanzania kumpoteza Gen. Kiwelu.
Naomba kukumbushwa, mpaka anastaafu ukuu wa mkoa wa Kagera, mtajwa alikuwa na rank ya Maj. Gen. (Mstaafu); ni lini alipandishwa rank na kuwa full Gen. mwenye kumbukumbu naomba mnitujuze.
Maombi na sala zangu faraja ya Mungu alie juu na iwe juu ya wote ambao smiba huu unatuhusu.
4 star general ambaye hakuwahi kuwa Mkuu wa Majeshi!
All in all utumishi wake jeshini ulitukuka!
Acha kuchanga habari Kiwelu hajawahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa na ni Mwamwindi ndiye Aliyemuua Mkuu wa Mkoa Wilbert Kleruu ndio Alikuwa mkuu wa Mkoa wa IringaHuyu Tumainieli kiwelu ndie aliyekua mkuu wa mkoa wa Iringa aliyemuua Mwamwindi?
Mungu Ampe Pumziko la Milele Nilimfahamu akiwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa na Ndiye Aliyeujenga UWANJA WA NELSON MANDELA SUMBAWANGAJenerali Tumainiel Kiwelu amefariki tarehe 18 Mei 2021 na atazikwa shambani kwake Mbezi Luis Dar es salaam tarehe 22 May 2021
Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe.
Historia ya Jenerali Tumainiel Kiwelu
Leo nimeona mahojiano yenye ya mwandishi Livingstone Ruhere na Jenerali Tumaniel Kiwelu kwenye gazeti la Raia Mwema la jana ambae anaweza kuileta hapa naomba afanye hivyo kwa faida ya wana JF na kizazi cha sasa. Mimi nimekuwa nikimsikia huyu mtu akisifika kwa uzalendo na uchapakazi. Alipokuwa...www.jamiiforums.com
Historia ya Jenerali Tumainiel Kiwelu
Leo nimeona mahojiano yenye ya mwandishi Livingstone Ruhere na Jenerali Tumaniel Kiwelu kwenye gazeti la Raia Mwema la jana ambae anaweza kuileta hapa naomba afanye hivyo kwa faida ya wana JF na kizazi cha sasa. Mimi nimekuwa nikimsikia huyu mtu akisifika kwa uzalendo na uchapakazi. Alipokuwa...www.jamiiforums.com
View attachment 1792046
View attachment 1792059
Oog jamaniAlinyongwa
Huenda kidogo sasa Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi akapumua ( na nashangaa katika Kitabu chake hajazungumzia Mkwara aliopigwa na Marehemu ) wakati alipokuwa Rais wa Tanzania 1985 hadi 1995 kwani Marehemu alikuwa ni Shupavu, Makini, Asiyeogopa kama Haki na Sheria vyote viko upande wake na mwenye Kujiamini kama ilivyo Sifa Mama ya Mwanamedani ( Mwanajeshi ) yoyote yule duniani.Jenerali Tumainiel Kiwelu amefariki tarehe 18 Mei 2021 na atazikwa shambani kwake Mbezi Luis Dar es salaam tarehe 22 May 2021
Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe.
Historia ya Jenerali Tumainiel Kiwelu
Leo nimeona mahojiano yenye ya mwandishi Livingstone Ruhere na Jenerali Tumaniel Kiwelu kwenye gazeti la Raia Mwema la jana ambae anaweza kuileta hapa naomba afanye hivyo kwa faida ya wana JF na kizazi cha sasa. Mimi nimekuwa nikimsikia huyu mtu akisifika kwa uzalendo na uchapakazi. Alipokuwa...www.jamiiforums.com
Historia ya Jenerali Tumainiel Kiwelu
Leo nimeona mahojiano yenye ya mwandishi Livingstone Ruhere na Jenerali Tumaniel Kiwelu kwenye gazeti la Raia Mwema la jana ambae anaweza kuileta hapa naomba afanye hivyo kwa faida ya wana JF na kizazi cha sasa. Mimi nimekuwa nikimsikia huyu mtu akisifika kwa uzalendo na uchapakazi. Alipokuwa...www.jamiiforums.com
View attachment 1792046
View attachment 1792059
Aliyeuawa na Mamwindi Ni Dr. Kleerruu. Kiwelu alikua mkuu wa mikoa ya Rukwa na Kagera enzi za Mwinyi.Huyu Tumainieli kiwelu ndie aliyekua mkuu wa mkoa wa Iringa aliyemuua Mwamwindi?
Sasa naelewa kwa nini alikuja kuondolewa jeshini wakaona heri wampe vyeo vya kisiasa ili ajifunze nidhamu ya kiraia pia.Huenda kidogo sasa Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi akapumua ( na nashangaa katika Kitabu chake hajazungumzia Mkwara aliopigwa na Marehemu ) wakati alipokuwa Rais wa Tanzania 1985 hadi 1995 kwani Marehemu alikuwa ni Shupavu, Makini, Asiyeogopa kama Haki na Sheria vyote viko upande wake na mwenye Kujiamini kama ilivyo Sifa Mama ya Mwanamedani ( Mwanajeshi ) yoyote yule duniani.
Ni kwamba Kipindi hicho cha Awamu ya Pili ( ya Rais Mwinyi ) Mishahara kwa Wanajeshi ilikuwa inachelewa sana Kulipwa hadi kupelekea Wanajeshi kuanza ' Kujisevia ' Bidhaa Madukani kwa Ubabe na wengine hata Kujiingiza katika Uratibu wa Uhalifu ili tu waweze Kujikimu.
Hali ilipozidi kuwa mbaya ( na hapa naiongelea 1985 hadi 1995 ) Marehemu huyu Afande Kiwelu alienda moja kwa moja kuonana na Rais Mwinyi ambapo alimweleza kuwa anampa Masaa machache tu awe ameshawalipa Mishahara yao Wanajeshi vinginevyo ' wanamtimbia ' mazima mazima pale Ikulu hali iliyomfanya Rais Mwinyi ' aufyate ' na Kuwatafutia Mishahara yao alikokujua na kuwapa mara moja ambapo Heshima ya Marehemu ndani ya Jeshi ( JWTZ ) iliongezeka maradufu na kuwa Mmoja wa Makamanda waliopendwa zaidi na Wanajeshi Kipindi chake cha Utendaji.
Na ni Juhudi hizi hizi za Marehemu Afande Kiwelu ndiyo zilisababisha tokea Siku hiyo Awamu zote za Marais mpaka sasa ( leo ) watacheza na Mishahara ya Kada zingine zote kwa Kuwacheleweshea ila siyo kwa Wanajeshi ( JWTZ ) na nahisi Rais Mstaafu Mzee Mwinyi alihakikisha kila Rais anayechukuwa nchi basi anapewa Angalizo hilo ndiyo maana tokea Awamu yake hadi sasa sijasikia Upuuzi huo ukijitokeza tena.
Mwambieni Rais Mstaafu Mzee Mwinyi akifanyie ' editing ' Kitabu chake alichokizindua hivi karibuni na aliweke hili Tukio kwani lina Umuhimu sana kwa Watu kujua na wale ambao Kipindi hicho mlikuwa bado katika Zipu za Baba zenu na wale walioko pia Zipuni kwa sasa ili wakizaliwa wakutane nayo.
Kwani ni Jambo ( Tukio ) ambalo lilitokea ( lilimtokea ) Mzee wa Watu achilia mbali na lile la ' Kuwambwa ' Kwake Makofi akiwahutubia Waislamu alipowagusia Kutumia Condoms pale Wakitiana ( Wakitinduana ) ili Kujiepusha na Maambukizi ya UKIMWI ambao miaka hiyo ulikuwa umepamba sana Moto na ' Unawafyeka ' mno Watanzania.
Poleni sana wanafamilia, JWTZ na Watanzania kumpoteza Gen. Kiwelu.
Naomba kukumbushwa, mpaka anastaafu ukuu wa mkoa wa Kagera, mtajwa alikuwa na rank ya Maj. Gen. (Mstaafu); ni lini alipandishwa rank na kuwa full Gen. mwenye kumbukumbu naomba mnitujuze.
Maombi na sala zangu faraja ya Mungu alie juu na iwe juu ya wote ambao smiba huu unatuhusu.
R.I.p dingi, huyu dingi alitujengea uwanja wa Nelson Mandela hapa swax miaka hiyo ,tukampa na mtaa KWA jina lake kabisa (mtaa wa kiwelu) upo mpaka leo, pumzika salama mzazi.Jenerali Tumainiel Kiwelu amefariki tarehe 18 Mei 2021 na atazikwa shambani kwake Mbezi Luis Dar es salaam tarehe 22 May 2021
Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe.
Historia ya Jenerali Tumainiel Kiwelu
Leo nimeona mahojiano yenye ya mwandishi Livingstone Ruhere na Jenerali Tumaniel Kiwelu kwenye gazeti la Raia Mwema la jana ambae anaweza kuileta hapa naomba afanye hivyo kwa faida ya wana JF na kizazi cha sasa. Mimi nimekuwa nikimsikia huyu mtu akisifika kwa uzalendo na uchapakazi. Alipokuwa...www.jamiiforums.com
Historia ya Jenerali Tumainiel Kiwelu
Leo nimeona mahojiano yenye ya mwandishi Livingstone Ruhere na Jenerali Tumaniel Kiwelu kwenye gazeti la Raia Mwema la jana ambae anaweza kuileta hapa naomba afanye hivyo kwa faida ya wana JF na kizazi cha sasa. Mimi nimekuwa nikimsikia huyu mtu akisifika kwa uzalendo na uchapakazi. Alipokuwa...www.jamiiforums.com
View attachment 1792046
View attachment 1792059