Jenerali Ulimwengu (2021): Samia Haijui Tanzania. Prof. Mwandosya (2015) Magufuli haijui CCM, hajawahi hata kuwa Mjumbe

Jenerali Ulimwengu (2021): Samia Haijui Tanzania. Prof. Mwandosya (2015) Magufuli haijui CCM, hajawahi hata kuwa Mjumbe

Viongozi wetu wanapatikanaje?
Na tunapimaje uwezo wao wa kuongoza? Je tuna mfumo wa kuwatengeneza? Job Description ya Kuwa Rais, Waziri Mkuu, Spika kwa Tanzania inataka vitu gani?

Nimekumbuka hayo kutoka kwa hawa Nguli wawili. Mwaka 2015 baada ya vikao vya CCM DODOMA, Prof na Mwalimu wangu, Prof Mwandoshya alikuja na mshangao kwa CCM na Vikao vyake "kwanini tumemchagua mtu ambaye haijui CCM, hajawahi hata kuwa mjumbe wa kamati ya Siasa ya Tawi" kauli hii ilimtia matatani sana, akaamua kutumia muda mwingi nyumbani kwake Matema Beach Kyela ili pia Kujilinda. Yaliyofuatia wana CCM Wanayajua.

Mwaka 2021 baada ya kifo cha Hayati Magufuli akashika kijiti Mama Samia. Akaibuka Nguli Mwingine, Jenerali Ulimwengu, akamwambia Mama "Kaa kwa kutulia, Tanzania huijui" alimshauri Mama kupata wasaa kuijua Tanzania. Wakati ule sikumwelewa vema Jenerali, lkn sasa naanza kumwelewa.

Hawa watu wawili Prof. Mwandosha na Jenerali Ulimwengu ni watanzania wanaoijua nchi. Kauli zao zinaonesha chngamoto kubwa ya kuwapata viomgozi wetu.

Je, hawa wanaotuongoza wanajua wanakotupeleka?
Huu ujinga wa kukijua chama badala ya kuijua serikali na nchi na matatizo ya Wananchi ndiyo mzizi wa umasikini ulipo.Kwani wanaokijua chama wametusaidia nini?
Kenya waliweka kando KANU na wanasonga sisi bado tunaabudu CCM!
Huyo Mwandosya Barabara ya kutoka Tukuyu kwenda kwao haina lami toka tupate Uhuru, kashindwa ata na Mwakyembe kwao Kyela lami kibao na ukumbuke Mwakyembe na yeye hakijui chama pia.
Tukatae utapeli wa CCM,nadhani kamati ya Bashiru ilifichua ubadhirifu wa Mali za chama,Je hao wanaokijua chama walikuwa wanajua kuwa Mali za chama zinatafunwa na wachache?Ni Magufuli asiyekijua chama ndiyo alikuja kuwafungua macho Wana CCM;sasa mtu ambaye hajui chama alijuaje kuwa chama kina Mali!
 
Samahanini maana inawezekana mimi ndio sijui, hivi ukiwa mbunge unapaswa uhudhurie vikao vingapi vya chama???

Hivi unakuwaje Mbunge na hukijui chama ilhali una maelfu ya vikao unahudhuria kuanzia vya jimbo mpaka ngazi ya Taifa, vile vya siri mpaka vya figisu za uchaguzi, vya kura za maoni mpaka teuzi???

Hili la Magufuli kutokijua chama naonaga ni pumba ambayo haijawahi make sense kabisa kwangu
Alijuaje kuwa chama kina Mali na zinaliwa kama hakijui!
 
Samia anasemwa kwa ubaya tu ila makosa ni ya wataramu wake yaani baraza,chama,bunge,wanasheria na dola.
Jaribu kuwa rais alafu uone
Hivi unatambua kwamba hiki ulichokiandika hapa, japo unajinasibu unapinga kimantiki ni kama UNAKAZIA ulichoquote hapo juu!?

Hebu soma tena comment yako chief.
 
Huu ujinga wa kukijua chama badala ya kuijua serikali na nchi na matatizo ya Wananchi ndiyo mzizi wa umasikini ulipo.Kwani wanaokijua chama wametusaidia nini?
Kenya waliweka kando KANU na wanasonga sisi bado tunaabudu CCM!
Huyo Mwandosya Barabara ya kutoka Tukuyu kwenda kwao haina lami toka tupate Uhuru, kashindwa ata na Mwakyembe kwao Kyela lami kibao na ukumbuke Mwakyembe na yeye hakijui chama pia.
Tukatae utapeli wa CCM,nadhani kamati ya Bashiru ilifichua ubadhirifu wa Mali za chama,Je hao wanaokijua chama walikuwa wanajua kuwa Mali za chama zinatafunwa na wachache?Ni Magufuli asiyekijua chama ndiyo alikuja kuwafungua macho Wana CCM;sasa mtu ambaye hajui chama alijuaje kuwa chama kina Mali!
Kwahiyo Kenye wana uongozi Mzuri? Vipi Zambia ambako Vyama vinabadilika kila uchaguzi?
Au je walioko CHADEMA, ACT, CUF, etc ninbora kuliko hawa walioko Madarakani ?

Hao wanaoongozwa na hao katika hivyo vyma wanaonaje ? Kuna rushwa? Nani kachukuliwa hatua ? Je tunapataje viongozi ?
 
Samia hakutakiwa kuwa kiongozi wa hili taifa, hayupo aliyetarajia hili kutokea, ni bahati mbaya ndio imemfanya awepo hapo alipo, na matokeo ya hiyo bahati mbaya ndio sasa anatuonesha kwa vitendo vile alivyo dhaifu asiye na mwelekeo, mjinga ambaye anashindwa hata kulinda rasilimali za taifa, tuna bahati mbaya sana watanganyika.

Huyu mwanamke ataliacha taifa kwenye hali mbaya sana, anaharibu pakubwa ambapo athari za uharibifu wake zitaenda moja kwa moja kuumiza mpaka vizazi vijavyo vya hili taifa, ni jambo baya na la hatari sana pale kiongozi mharibifu anapojigeuza bubu, akijidanganya hiyo ndio hekima, kumbe ni ujinga mtupu, kiongozi lazima uoneshe njia kwa kauli na matendo.
Masikini Samia anakutesa mwenyewe.
 
Viongozi wetu wanapatikanaje?
Na tunapimaje uwezo wao wa kuongoza? Je tuna mfumo wa kuwatengeneza? Job Description ya Kuwa Rais, Waziri Mkuu, Spika kwa Tanzania inataka vitu gani?

Nimekumbuka hayo kutoka kwa hawa Nguli wawili. Mwaka 2015 baada ya vikao vya CCM DODOMA, Prof na Mwalimu wangu, Prof Mwandoshya alikuja na mshangao kwa CCM na Vikao vyake "kwanini tumemchagua mtu ambaye haijui CCM, hajawahi hata kuwa mjumbe wa kamati ya Siasa ya Tawi" kauli hii ilimtia matatani sana, akaamua kutumia muda mwingi nyumbani kwake Matema Beach Kyela ili pia Kujilinda. Yaliyofuatia wana CCM Wanayajua.

Mwaka 2021 baada ya kifo cha Hayati Magufuli akashika kijiti Mama Samia. Akaibuka Nguli Mwingine, Jenerali Ulimwengu, akamwambia Mama "Kaa kwa kutulia, Tanzania huijui" alimshauri Mama kupata wasaa kuijua Tanzania. Wakati ule sikumwelewa vema Jenerali, lkn sasa naanza kumwelewa.

Hawa watu wawili Prof. Mwandosha na Jenerali Ulimwengu ni watanzania wanaoijua nchi. Kauli zao zinaonesha chngamoto kubwa ya kuwapata viomgozi wetu.

Je, hawa wanaotuongoza wanajua wanakotupeleka?
shida ya samia kafanya kazi sana kwenye NGO's kwa mitazamo ya NGO anaileta kwenye nchi, na NGO nyingi zinaamini haziwezi kufanya vitu bila misaada, na assistance kutoka nje ya system zao, hawawezi kuchakata rasilimali zao na wakasepa, na shida ya Magu aliamini sana tunaweza kufanya wenyewe bila msaada wa wengine.
 
shida ya samia kafanya kazi sana kwenye NGO's kwa mitazamo ya NGO anaileta kwenye nchi, na NGO nyingi zinaamini haziwezi kufanya vitu bila misaada, na assistance kutoka nje ya system zao, hawawezi kuchakata rasilimali zao na wakasepa, na shida ya Magu aliamini sana tunaweza kufanya wenyewe bila msaada wa wengine.
Sasa tukitaka kuwapata ambao ni bora kuliko Samia au Magufuli tufanyaje ? Au tuanzie wapi ?
 
Viongozi wetu wanapatikanaje?
Na tunapimaje uwezo wao wa kuongoza? Je tuna mfumo wa kuwatengeneza? Job Description ya Kuwa Rais, Waziri Mkuu, Spika kwa Tanzania inataka vitu gani?

Nimekumbuka hayo kutoka kwa hawa Nguli wawili. Mwaka 2015 baada ya vikao vya CCM DODOMA, Prof na Mwalimu wangu, Prof Mwandoshya alikuja na mshangao kwa CCM na Vikao vyake "kwanini tumemchagua mtu ambaye haijui CCM, hajawahi hata kuwa mjumbe wa kamati ya Siasa ya Tawi" kauli hii ilimtia matatani sana, akaamua kutumia muda mwingi nyumbani kwake Matema Beach Kyela ili pia Kujilinda. Yaliyofuatia wana CCM Wanayajua.

Mwaka 2021 baada ya kifo cha Hayati Magufuli akashika kijiti Mama Samia. Akaibuka Nguli Mwingine, Jenerali Ulimwengu, akamwambia Mama "Kaa kwa kutulia, Tanzania huijui" alimshauri Mama kupata wasaa kuijua Tanzania. Wakati ule sikumwelewa vema Jenerali, lkn sasa naanza kumwelewa.

Hawa watu wawili Prof. Mwandosha na Jenerali Ulimwengu ni watanzania wanaoijua nchi. Kauli zao zinaonesha chngamoto kubwa ya kuwapata viomgozi wetu.

Je, hawa wanaotuongoza wanajua wanakotupeleka?

Hakuna mtu anaitwa ‘ Mwandosha au Mwandoshya’ kama ulivyoandika na sidhani kweli kama ni Mwalimu wako, maana haiwezekanif ukakosea kuandika jina la Mwl wako!
 
"

Tanzania haijawahi kupata rais bora kama SAMIA Kuanzia nyerere na waliomfuata. Tanzania inamhitaji zaidi Samia kwa sasa kuliko hata wakati wote. Samia anasemwa kwa ubaya tu ila makosa ni ya wataramu wake yaani baraza,chama,bunge,wanasheria na dola.
Jaribu kuwa rais alafu uone
Hao wasaidizi wanamshauri vibaya huku yeye anawatazama tu, amejigeuza bubu, ndio maana nimemuita mjinga dhaifu, mimi siwezi kuwa kiongozi nikafanya vibaya kama yeye.[/QUOTE]

Mawazo ya bwege ndiyo hayaa jamani!
 
Huu ujinga wa kukijua chama badala ya kuijua serikali na nchi na matatizo ya Wananchi ndiyo mzizi wa umasikini ulipo.Kwani wanaokijua chama wametusaidia nini?
Kenya waliweka kando KANU na wanasonga sisi bado tunaabudu CCM!
Huyo Mwandosya Barabara ya kutoka Tukuyu kwenda kwao haina lami toka tupate Uhuru, kashindwa ata na Mwakyembe kwao Kyela lami kibao na ukumbuke Mwakyembe na yeye hakijui chama pia.
Tukatae utapeli wa CCM,nadhani kamati ya Bashiru ilifichua ubadhirifu wa Mali za chama,Je hao wanaokijua chama walikuwa wanajua kuwa Mali za chama zinatafunwa na wachache?Ni Magufuli asiyekijua chama ndiyo alikuja kuwafungua macho Wana CCM;sasa mtu ambaye hajui chama alijuaje kuwa chama kina Mali!

Kenya! Imesonga kwenda wapi au ni Kenya gani unayoitamka hapa! Huko ndiko kumejaa vurugu mechi, kila siku ni maandamano na kutwangana tu!
 
Viongozi wetu wanapatikanaje?
Na tunapimaje uwezo wao wa kuongoza? Je tuna mfumo wa kuwatengeneza? Job Description ya Kuwa Rais, Waziri Mkuu, Spika kwa Tanzania inataka vitu gani?

Nimekumbuka hayo kutoka kwa hawa Nguli wawili. Mwaka 2015 baada ya vikao vya CCM DODOMA, Prof na Mwalimu wangu, Prof Mwandoshya alikuja na mshangao kwa CCM na Vikao vyake "kwanini tumemchagua mtu ambaye haijui CCM, hajawahi hata kuwa mjumbe wa kamati ya Siasa ya Tawi" kauli hii ilimtia matatani sana, akaamua kutumia muda mwingi nyumbani kwake Matema Beach Kyela ili pia Kujilinda. Yaliyofuatia wana CCM Wanayajua.

Mwaka 2021 baada ya kifo cha Hayati Magufuli akashika kijiti Mama Samia. Akaibuka Nguli Mwingine, Jenerali Ulimwengu, akamwambia Mama "Kaa kwa kutulia, Tanzania huijui" alimshauri Mama kupata wasaa kuijua Tanzania. Wakati ule sikumwelewa vema Jenerali, lkn sasa naanza kumwelewa.

Hawa watu wawili Prof. Mwandosha na Jenerali Ulimwengu ni watanzania wanaoijua nchi. Kauli zao zinaonesha chngamoto kubwa ya kuwapata viomgozi wetu.

Je, hawa wanaotuongoza wanajua wanakotupeleka?
Ukisikia wanasema huyu haijui CCM basi jua kuijua CCM inabidi uwe mnafiki, ambae unapiga dili kwa kushirikiana na wenzio
 
Hao wasaidizi wanamshauri vibaya huku yeye anawatazama tu, amejigeuza bubu, ndio maana nimemuita mjinga dhaifu, mimi siwezi kuwa kiongozi nikafanya vibaya kama yeye.

Mawazo ya bwege ndiyo hayaa jamani!
[/QUOTE]
Kama mtu anaweza kukushauri katika jambo la kipumbavu nawewe ukakaa kimya maana yake wewe pia ni mpumbavu tukuka🤣!

Mtu akushauri umuuzie nyumba ili akupangishe uanze kumlipa kodi na wewe unaupokea ushauri huo na kutekeleza bila reasoning yoyote. Halafu useme mtu kakushauri vibaya si uzwazwa huo.
 
Viongozi wetu wanapatikanaje?
Na tunapimaje uwezo wao wa kuongoza? Je tuna mfumo wa kuwatengeneza? Job Description ya Kuwa Rais, Waziri Mkuu, Spika kwa Tanzania inataka vitu gani?

Nimekumbuka hayo kutoka kwa hawa Nguli wawili. Mwaka 2015 baada ya vikao vya CCM DODOMA, Prof na Mwalimu wangu, Prof Mwandoshya alikuja na mshangao kwa CCM na Vikao vyake "kwanini tumemchagua mtu ambaye haijui CCM, hajawahi hata kuwa mjumbe wa kamati ya Siasa ya Tawi" kauli hii ilimtia matatani sana, akaamua kutumia muda mwingi nyumbani kwake Matema Beach Kyela ili pia Kujilinda. Yaliyofuatia wana CCM Wanayajua.

Mwaka 2021 baada ya kifo cha Hayati Magufuli akashika kijiti Mama Samia. Akaibuka Nguli Mwingine, Jenerali Ulimwengu, akamwambia Mama "Kaa kwa kutulia, Tanzania huijui" alimshauri Mama kupata wasaa kuijua Tanzania. Wakati ule sikumwelewa vema Jenerali, lkn sasa naanza kumwelewa.

Hawa watu wawili Prof. Mwandosha na Jenerali Ulimwengu ni watanzania wanaoijua nchi. Kauli zao zinaonesha chngamoto kubwa ya kuwapata viomgozi wetu.

Je, hawa wanaotuongoza wanajua wanakotupeleka?
Huyu ndugu Ulimwengu huyu.....

Ni kuchanganyikiwa?!!!

Ni nini hasa ?!!

Yaani yeye aijue Tanzania ZAIDI ya mh.Rais SSH ?!!!

Asichokijua ni kuwa KAZI yake ilishamalizika..... hayati baba wa taifa Nyerere "aliwapa" kazi wengi....wengi tu....wenye asili ya "nchi jirani"....wakaifanya kazi yao....kwa maslahi mtambuka ya taifa hili bora afrika.....

Mzee wetu atulie....atulie kama maji ya mtungi na kufurahia "uraia" wa Tanzania......

#SiempreJMT[emoji120]

#Mama Kaja[emoji7]
 
Back
Top Bottom