PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Mafala wa jamiiforum wapo wengi Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jenerali Ulimwengu ni mmoja wa wasomi wa hovyo wa kizazi kilichopita.Huyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!
Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.
Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.
Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.
Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.
Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.
Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.
Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!
Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.
Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.
Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
[emoji23]Akili hii haina tofauti na Gigy Money
Midahalo hujengwa uwezo wa kufikiri,huongeza elimu,ilikuwepo tangu tungali s/msingi,huko walikoendelea hawajaacha huu utaratibu,shida siku hizi hata vyuoni presentation hakuna,chukia tu wasomi wa vyuo uganye nao mjadala uone walivyo weupeHuyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!
Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.
Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.
Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.
Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.
Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.
Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.
Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!
Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.
Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.
Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
Bichwa lenyewe lina Komwe litakuwa na akili kweli?Huyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!
Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.
Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.
Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.
Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.
Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.
Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.
Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!
Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.
Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.
Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
Lina maakili sanaBichwa lenyewe lina Komwe litakuwa na akili kweli?
Nimeishia FOM FOONa wewe umehitimu chuo kikuu (achilia mbali UDSM?
Yawezekana hata shule ya kata hukutoboa
Kwa kilugha chetu, MADUEKE maana yake ni KIMBA LA ALFAJIRI.Jamani JamiiForums tuoneeni huruma watu wazima
Anakumbuka shuka kumekucha.Jenerali Ulimwengu ni mmoja wa wasomi wa hovyo wa kizazi kilichopita.
Umeandika upuuzi mwingi sanaKwanini?
Kumuelewa Jenerali Ulimwengu....angalau elimu iwe imekukomboa...vinginevyo nakupa pole.Huyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!
Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.
Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.
Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.
Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.
Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.
Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.
Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!
Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.
Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.
Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
Samahani, wewe ni Ke au Me?Huyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!
Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.
Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.
Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.
Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.
Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.
Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.
Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!
Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.
Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.
Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.