Jenerali Ulimwengu amepitwa na wakati; Huu sio muda wa harakati za kisiasa

Jenerali Ulimwengu amepitwa na wakati; Huu sio muda wa harakati za kisiasa

Huyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!

Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.

Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.

Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.

Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.

Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.

Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.

Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!

Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.

Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.

Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
Jenerali Ulimwengu ni mmoja wa wasomi wa hovyo wa kizazi kilichopita.
 
Naona baada ya kuambiwa mjibu hoja yake kwamba UDSM ni extended school mmeanza kumjibu vikali kwa kujititimu huku mkijifanya ukweli aliousema hamuujui. Mnajibu hoja kipovu mno mtakosea kupangua hoja yake na kubaki yeye ndiye bingwa
 
Huyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!

Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.

Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.

Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.

Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.

Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.

Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.

Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!

Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.

Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.

Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
Midahalo hujengwa uwezo wa kufikiri,huongeza elimu,ilikuwepo tangu tungali s/msingi,huko walikoendelea hawajaacha huu utaratibu,shida siku hizi hata vyuoni presentation hakuna,chukia tu wasomi wa vyuo uganye nao mjadala uone walivyo weupe
 
Huyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!

Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.

Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.

Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.

Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.

Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.

Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.

Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!

Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.

Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.

Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
Bichwa lenyewe lina Komwe litakuwa na akili kweli?
 
Huyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!

Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.

Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.

Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.

Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.

Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.

Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.

Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!

Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.

Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.

Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
Kumuelewa Jenerali Ulimwengu....angalau elimu iwe imekukomboa...vinginevyo nakupa pole.
 
Huyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!

Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.

Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.

Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.

Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.

Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.

Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.

Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!

Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.

Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.

Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
Samahani, wewe ni Ke au Me?
 
Back
Top Bottom