EEEeeeHEEEeeee HEEeee!Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
BICHWA TUPU?Huyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!
Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.
Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.
Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.
Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.
Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.
Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.
Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!
Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.
Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.
Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
Haelewi kuwa hizi ni zama za watu kusomea ujinga, au sivyo?Huyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!
Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.
Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.
Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.
Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.
Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.
Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.
Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!
Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.
Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.
Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
Ndo maana amewasema kumbe ni kweli mna digriii fake.Huyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!
Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.
Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.
Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.
Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.
Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.
Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.
Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!
Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.
Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.
Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
Naona chawa wanaozalishwa na vyuo vikuu wameanza kutoka mafuchoni!Huyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!
Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.
Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.
Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.
Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.
Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.
Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.
Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!
Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.
Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.
Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
Mzee wetu huyu mpendwa utadhani ndio anabalekhe saivi yuko influenced na generation ambayo sio yakeHuyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!
Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.
Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.
Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.
Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.
Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.
Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.
Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!
Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.
Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.
Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
Umeandika kama unavuta bangi/sakramenti.Huyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!
Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.
Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.
Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.
Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.
Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.
Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.
Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!
Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.
Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.
Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
Kazi za midahalo ni kuanzisha na kuchochea fikra mpya zitakazotoa uelekeo/njia sahihi ya kufikia hayo maendeleo.Huyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!
Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.
Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.
Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.
Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.
Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.
Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.
Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!
Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.
Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.
Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
Mleta uzi anapendelea kusutana mtaani.Midahalo hapendelei kabisa.Kazi za midahalo ni kuanzisha na kuchochea fikra mpya zitakazotoa uelekeo/njia sahihi ya kufikia hayo maendeleo.
Kusema midahalo ni kwa ajili ya kuwapinga mabeberu ni kukosa uelewa tu.
Hata vyuo vikubwa huko duniani huandaa midahalo mingi ya namna hii.
Shule za Kata zimeharibu uwezo wa kufikiri. Uchawa umetamalaki.Jenerali Ulimwengu ni mmoja wa wasomi wa hovyo wa kizazi kilichopita.
Bora yake anajulikana msomi.Wewe ni msomi wa magazeti ya udaku.Jenerali Ulimwengu ni mmoja wa wasomi wa hovyo wa kizazi kilichopita.
Wewe kwenu unakwenda lini???Alikuwa kimya muda mrefu mi nikadhani ameenda kwao!
Niko kwetu sijaenda kokote bwasheeWewe kwenu unakwenda lini???
At least umekuwa ushahidi unaoishi wa mtu aliyekuwa mjinga akaenda kusoma akatudi akiwa MPUMBAVU.Huyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!
Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.
Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.
Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.
Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.
Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.
Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.
Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!
Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.
Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.
Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
Mawazo chanya? Hasi yatatoka wapi?Kazi za midahalo ni kuanzisha na kuchochea fikra mpya zitakazotoa uelekeo/njia sahihi ya kufikia hayo maendeleo.
Midahalo inatoa mawazo chanya ya namna ya kukabiliana na matatizo yanayotukwamisha na hatua za kuchukua ili kuyaepuka au kuzuia yasijirudie tena.
Midahalo ni nafasi inayoweza kutumiwa nawenye nchi kuwashauri wenye mamlaka kuhusu mustakabali wa nchi wanaouhitaji.
Midahalo pia ni njia nzuri ya kutoa elimu ya uraia kwa wananchi.
Midahalo ndio njia nzuri ya kukutanisha pande zenye fikra tofauti kinzani ili kuzalisha uelekeo mmoja utakaokubaliwa na wengi.
Midahalo ndio njia nzuri ya wananchi na wanazuoni kuwashauri viongozi wao.
Kusema midahalo ni kwa ajili ya kuwapinga mabeberu tu ni kukosa uelewa.
Hata vyuo vikubwa huko duniani huandaa midahalo mingi ya namna hii.
Dah! Hii bangi umevuta sijui ni ya wapi lkn imekuharibu sana. Hata hivyo hujachelewa. Iache.Huyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!
Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.
Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.
Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.
Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.
Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.
Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.
Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!
Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.
Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.
Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
Aendenkwao ana hamu nako? Na kujifanya mjuaji kwenye nchi ya watu kwao hathubutu kutia mguu!Alikuwa kimya muda mrefu mi nikadhani ameenda kwao!
Namfahamu Ulimwengu kuliko unavyodhani.Shule za Kata zimeharibu uwezo wa kufikiri. Uchawa umetamalaki.