Jenerali Ulimwengu: Kuna Mtanzania alitufanya Mazuzu

Dume zima kuendelea kumsimanga marehemu ni dalili za uoga.
Je si kweli kuwa Watanzania walifanywa mazuzu?
Kwamba COVID walilazimishwa kuita changamoto ya kupumua! huu kama si ujinga ni kitu gani!
Kwamba, watu wachemshe nyasi ili kuepuka changamoto ya kupumua, huu si ujinga ni kitu gani!
Kwani yule waziri aliyesafiri kwenda kunywa mchachai madagascar kama haukuwa uzuzu ni nini?
Kwamba, tunatumia fedha za ndani wakati deni la Taifa linaongezeka. Huu si uzuzu ni kitu gani!
Kwamba, uchumi unakuwa leo Mwigula anatuambia ulikuwa taabani, kama si uzuzu ni nini
Kwamba, maiti za kutoka South Africa zinasafiri hadi Coco Beach! huu kama si uzuzu ni nini
Orodha inaendelea

Hata hivyo, JPM kama kiongozi hana immunity yu kutosemwa kwa kisingizio cha Marehemu
Nyerere ni marehemu miaka 23 na kila siku anasemwa kwa mazuri na mabaya, seuse JPM
JPM aliishi kwa gharama za umma yeye ni public figure, watu wana haki ya kusema

Alichosema Jenerali Ulimwengu ni ukweli mtupu! hata kama unauma bado ni ukweli
 
Unaweza ukaenda Ulaya au kusoma Ulaya ukawa huna bado exposure. Kujadili kwako hoja kunaonesha ulivyo. Kuongea kijerumani si hoja hizo lugha tumeziongea tukiwa bado wadogo, hadi Kirusi. Na usiseme kuna kundi dogo Ujerumani. Unasema kwa dhania. Mtu mwenye akili timamu uwezi kuongelea mtu badala ya maendeleo. Kuna watu wanasoma lakini kawajaelimika. So unadhani ukimsema vibaya mtu ndo maendeleo. This is Rubish!

Na nikuonye, hakuna sehemu niliyosema JPM ni Mungu wangu. Narudia, nakuonya.... Nina Mungu mmoja tu ninae mtumikia, nae haringanishwi na kitu chochote. Sasa ukiingia huko kwenye swala la imani, kuwa makini usije kuharibikiwa. Nakuonya!

Mungu ninae mwamini achezewi wala kudhihakiwa. Sasa endelea kama wewe ulijileta hapa duniani na unajiona unauwezo wa kuropoka, na kusema lolote unalodhani utaenjoy moyoni mwako.
 
Nimekuelewa lakini si mara ya kwanza Jenerali kuongea anayoyaongea. Na mrengo wake unajulikana siku zote.
 
Wewe ni zwazwa a.k.a sukuma gang
Tahahira siku zote udhani yeye ni mjanja, na chakushangaza ujiona mjanjaaa kumbe ni mbumbumbu wa kutupwa. Usukuma gang nikiwa nao ni jambo jema. Make sukuma ni kabila Tanzania. So linaubaya gani. Wasukuma ni kama makabila mengine. Kila kabila linamazuri na mabaya yake. Nadhani umenielewa weye kunguni.
 
Kusolve tatizo lazima uwe na pa kuanzia.
Msingi wa uendeshaji wa nchi ni KATIBA!
KATIBA mbovu ndo imechangia kuwafanya hao Watanzania kuwa jinsi walivyo!!
Mimi naamini huku kudai sana hiyo katiba mpya ni katika sehemu ya ujinga wetu kwa maana ya kwamba tunajiaminisha kuwa matatizo yetu yote Tanzania ni kwa sababu hatuna katiba nzuri, kwamba tukiwa na katiba nzuri basi kila kitu kitakaa sawa chenyewe. Mtazamo huo unatufanya tujione sisi kama wananchi kuwa hatuna tatizo lolote bali tatizo ni kukosekana kwa katiba nzuri tu, sijajua nje ya Tanzania wenzetu wanatutazama vp au wana mtazamo gani kwenye hili kwamba wenzetu nao wanaona kuwa watanzania wale tatizo lao wamekosa katiba nzuri tu ndio maana wako vile walivyo? Sidhani, ila nachojua ni kwamba ujinga wetu unaonekana dhahiri hata hivi jinsi tunavyoidai hiyo katiba mpya.

Tunaamini sisi hatuhitaji kubadilika bali tunahitaji mabadiliko ya katiba tu na katiba ndio itatubadilisha.
 
Hata hivyo sio ajabu maana waafrika hadi leo bado wanalalamikia utumwa(kama ni wao tu pekee ndio walifanywa kuwa watumwa) na kuona kuwa ndio umewafanya wasiendelee.
 
Then hiyo kutokuipenda ionesheni kwenye kuikosoa vikali ccm.
Jamii inapaswa ijue maovu ya chama hicho!!

Hamna mtu asiyejua maovu ya sisiem. Hata wanaotekeleza maovu ya sisiem wanalijua hilo. Na ndiyo maana mgombea wa urais kwa tiketi ya chama hicho mwaka 2015 hakuwahi sema chagua sisiem.
 
German East Africa, Rwanda na Burundi zilikuwa part ya Tsnganyika.
Unaongelea mambo ya kabla ya mwaka 1914 ...Dark days...

Kwa hiyo Nyerere ndio alitaka ateue Rais wa Rwanda enzi hizo ?
 
Umeandika gazeti reeefu!! Uzuzu mtupu! Wewe ni yale mazuzu ya Magu yaliyojificha
 
Uli ni mediocre, ndio maana hayuko popote, he is a loser!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…