Jenerali Ulimwengu ni mtu Hatari sana kwa Ustawi wa Taifa Staarabu. Ana Uhatari Mkubwa katika kauli zake

Jenerali Ulimwengu ni mtu Hatari sana kwa Ustawi wa Taifa Staarabu. Ana Uhatari Mkubwa katika kauli zake

Jenerali Ulimwengu ukimsikiliza utagundua yeye hudhani ni very smart. Hudhani ana akili kuliko wengi. Kauli ambazo anatoa huwa hazina staha na si za kisomi.

Ni kauli za kijivuni na kibri ya hali ya juu. Ukiangalia maeneo mengi ambayo Jenerali atakuja zungumza ni pale ambapo kuna maslahi yake yameminywa sehemu na Utawala husika.

Kinyume na hapo huyu huyu Jeneral huwapamba Watawala hao kupitia Magazeti yake tokea enzi ya gazeti la Rai hadi Raia Mwema. Wakipishana naye hasa kwenye suala la Maslahi utaanza ona anavyoandika kwa kuponda na kutoa matamko yasiyo na staha.

Kuna mambo mengi namuunga mkono.suala la katiba mpya ni mojawapo. Lakini suala la kudhani yeye ana akili kuliko WATANZANIA wengie au wa Asili ni dharau kubwa kwetu.

Pengine afundishwe kutumia lugha ya staha ya kisomi na yenye kuendana na umri wake. Kukosoa ni jambo jema...na linajenga afya ya nchi. Lakini lugha stahiki ni jambo muhimu pia. Kama wanavyofanya akina Prof Shivji, Mzee Warioba, Mzee Bujiku, Prof Safari n.k.

Kwa tabia ya Ujibuni ya Jenerali Ulimwengu ipo siku wale wanaomshabikia sasa watakuja anza kumponda.

Sababu atakuja ongea maneno ya kuwasema vibaya. Jenerali Ulimwengu hana tofauti na Mambe Kimangi na Fatma Karume. Ana tabia ya kudhani yeye ni smart kuliko wengine around him. Mtakuja niambia.
Peleka pumba zako kwa mama yako
 
Peleka pumba zako kwa mama yako
Dada mbona una makasiriko? Nyie watoto wa mtaani huwa wengi mlikosa malezi mazuri ni matokeo mazuri ya watu kutotumia mpira wakati wa sex.hivyo sishangai mnapokuwa na makasiriko wakati wote na kutaka dandia kila mwanaume.wewe humjui mama yako kama yeye ambavyo hamjui baba yako ni yupi kati ya wote wale. Kunywa maji utulize akili..usirudie makosa yaliyofanywa kwako.
 
Jenerali Ulimwengu ukimsikiliza utagundua yeye hudhani ni very smart. Hudhani ana akili kuliko wengi. Kauli ambazo anatoa huwa hazina staha na si za kisomi.

Ni kauli za kijivuni na kibri ya hali ya juu. Ukiangalia maeneo mengi ambayo Jenerali atakuja zungumza ni pale ambapo kuna maslahi yake yameminywa sehemu na Utawala husika.

Kinyume na hapo huyu huyu Jeneral huwapamba Watawala hao kupitia Magazeti yake tokea enzi ya gazeti la Rai hadi Raia Mwema. Wakipishana naye hasa kwenye suala la Maslahi utaanza ona anavyoandika kwa kuponda na kutoa matamko yasiyo na staha.

Kuna mambo mengi namuunga mkono.suala la katiba mpya ni mojawapo. Lakini suala la kudhani yeye ana akili kuliko WATANZANIA wengie au wa Asili ni dharau kubwa kwetu.

Pengine afundishwe kutumia lugha ya staha ya kisomi na yenye kuendana na umri wake. Kukosoa ni jambo jema...na linajenga afya ya nchi. Lakini lugha stahiki ni jambo muhimu pia. Kama wanavyofanya akina Prof Shivji, Mzee Warioba, Mzee Bujiku, Prof Safari n.k.

Kwa tabia ya Ujibuni ya Jenerali Ulimwengu ipo siku wale wanaomshabikia sasa watakuja anza kumponda.

Sababu atakuja ongea maneno ya kuwasema vibaya. Jenerali Ulimwengu hana tofauti na Mambe Kimangi na Fatma Karume. Ana tabia ya kudhani yeye ni smart kuliko wengine around him. Mtakuja niambia.
Ulimwengu ni Mnyarwanda. Yupo kwenye mission ( as a sleeper) ya kuiondolea amani Tanzania na mission hii haijawahi kufanikiwa na haitafanikiwa.
 
Jenerali Ulimwengu ukimsikiliza utagundua yeye hudhani ni very smart. Hudhani ana akili kuliko wengi. Kauli ambazo anatoa huwa hazina staha na si za kisomi.

Ni kauli za kijivuni na kibri ya hali ya juu. Ukiangalia maeneo mengi ambayo Jenerali atakuja zungumza ni pale ambapo kuna maslahi yake yameminywa sehemu na Utawala husika.

Kinyume na hapo huyu huyu Jeneral huwapamba Watawala hao kupitia Magazeti yake tokea enzi ya gazeti la Rai hadi Raia Mwema. Wakipishana naye hasa kwenye suala la Maslahi utaanza ona anavyoandika kwa kuponda na kutoa matamko yasiyo na staha.

Kuna mambo mengi namuunga mkono.suala la katiba mpya ni mojawapo. Lakini suala la kudhani yeye ana akili kuliko WATANZANIA wengie au wa Asili ni dharau kubwa kwetu.

Pengine afundishwe kutumia lugha ya staha ya kisomi na yenye kuendana na umri wake. Kukosoa ni jambo jema...na linajenga afya ya nchi. Lakini lugha stahiki ni jambo muhimu pia. Kama wanavyofanya akina Prof Shivji, Mzee Warioba, Mzee Bujiku, Prof Safari n.k.

Kwa tabia ya Ujibuni ya Jenerali Ulimwengu ipo siku wale wanaomshabikia sasa watakuja anza kumponda.

Sababu atakuja ongea maneno ya kuwasema vibaya. Jenerali Ulimwengu hana tofauti na Mambe Kimangi na Fatma Karume. Ana tabia ya kudhani yeye ni smart kuliko wengine around him. Mtakuja niambia.
Ukoo wakonwote mkiji hangs vichwa vyenu hamwezi kifikia 1% ya akili ya Jenerali Ulimwenhu.
Yuko very smart upstairs! Likewise Fatma Karume
 
Kwamba mtu kama Generali hakuwa na kitu hata kimoja kizuri kuhusu Mkapa, ilionesha ni mtu mbinafsi na mwenye chuki za kina, kama makundi mawili ya nchi jirani! BBC walirudia swali Mara kadhaa, na yeye akendelea kumponda Marehemu, hivyo hivyo Kwa Magufuli! Waliowaruhusu kuweka mpaka account za benki za watu magazetini, kama sehemu ya Uhuru na demokrasia, kwake ndio wanaofaa, lakini nchi ikawa ovyooooo!
 
Jenerali Ulimwengu ukimsikiliza utagundua yeye hudhani ni very smart. Hudhani ana akili kuliko wengi. Kauli ambazo anatoa huwa hazina staha na si za kisomi.

Ni kauli za kijivuni na kibri ya hali ya juu. Ukiangalia maeneo mengi ambayo Jenerali atakuja zungumza ni pale ambapo kuna maslahi yake yameminywa sehemu na Utawala husika.

Kinyume na hapo huyu huyu Jeneral huwapamba Watawala hao kupitia Magazeti yake tokea enzi ya gazeti la Rai hadi Raia Mwema. Wakipishana naye hasa kwenye suala la Maslahi utaanza ona anavyoandika kwa kuponda na kutoa matamko yasiyo na staha.

Kuna mambo mengi namuunga mkono.suala la katiba mpya ni mojawapo. Lakini suala la kudhani yeye ana akili kuliko WATANZANIA wengie au wa Asili ni dharau kubwa kwetu.

Pengine afundishwe kutumia lugha ya staha ya kisomi na yenye kuendana na umri wake. Kukosoa ni jambo jema...na linajenga afya ya nchi. Lakini lugha stahiki ni jambo muhimu pia. Kama wanavyofanya akina Prof Shivji, Mzee Warioba, Mzee Bujiku, Prof Safari n.k.

Kwa tabia ya Ujibuni ya Jenerali Ulimwengu ipo siku wale wanaomshabikia sasa watakuja anza kumponda.

Sababu atakuja ongea maneno ya kuwasema vibaya. Jenerali Ulimwengu hana tofauti na Mambe Kimangi na Fatma Karume. Ana tabia ya kudhani yeye ni smart kuliko wengine around him. Mtakuja niambia.
Weka facts , huyu mzee Jenerali ni hatari kwa lipi? Au kwa kuwa hanaga hulka za kinafiki na kwake ni mwiko kumung'unya maneno ! .
 
Back
Top Bottom