Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mtazamo wa kupinga na kukosoa kilichofanyika; kwa umri kama huo, si sawasawa.
Kuna umri ukifika unapaswa kuonesha njia na si kukosoa.
Kukosoa kosoa tuwaachie vijana.
Wazee wanapaswa kuonesha muelekeo wa nini kifanyike!
Vijana ndio hao wamegeuka chawa ili kupata uteuzi. Inabidi wazee wazibe hilo ombwe.