Jenerali Ulimwengu ni mtu Hatari sana kwa Ustawi wa Taifa Staarabu. Ana Uhatari Mkubwa katika kauli zake

Jenerali Ulimwengu ni mtu Hatari sana kwa Ustawi wa Taifa Staarabu. Ana Uhatari Mkubwa katika kauli zake

Kuhusu Ngorongoro wenye akili wanajuwa sheria imasema nini kuhusu ardhi pia wanajuwa kuwa wafugaji wa Kenya ndiyo wenye yale maelfu ya ng'ombe wanaolishwa majani ya Ngorongoro na hivyo kuhatarisha hiyo world heri
Hebu kwanza.

Ni huko huko ile mifugo/ng'ombe wa hao jamaa walipopigwa mnada au?

Hivi wakenya waliendelea kupeleka mifugo yao huko?

Kama ni hivyo, si basi hili ni jambo la kuongelewa na huyo huyo Ulimwengu, au vipi?
 
Sasa ndiyo hiyo tabia yake ya kujiona tunayoisema, kwaiyo yeye alikuwa sahihi na RC na RDD ambao ndiyo wakuu wake wa kazi kiprotokali walikuwa hawajui kitu!!
Angekuwa na nidhamu ya uongozi angekuja kuwa ata RC au Waziri.Ulimwengu ana matatizo!
Uwaziri bila wajibu ni kazi bure,Rushwa ni adui wa haki,Cheo ni dhamana,sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.
 
Ukiona mtu anaona kila mtu hayuko sawa basi ujue yeye ndiye hayuko sawa!
Taifa linazidi kupoteza wazee wenye hekima na busara. Siasa zinameza akili za wazee wetu!
Maskini Tz!
 

Attachments

  • Screenshot_20220714-210849_1657822483756.jpg
    Screenshot_20220714-210849_1657822483756.jpg
    58.6 KB · Views: 3
Kipo kitu kinachofuata kwa general si bure kwa hii trend yake japo ni mtu wa media. Time will tell, si bure
 
Hajarogwa ni mitazamo yake
Mtazamo wa kupinga na kukosoa kilichofanyika; kwa umri kama huo, si sawasawa.

Kuna umri ukifika unapaswa kuonesha njia na si kukosoa.
Kukosoa kosoa tuwaachie vijana.
Wazee wanapaswa kuonesha muelekeo wa nini kifanyike!
 
Mtazamo wa kupinga na kukosoa kilichofanyika; kwa umri kama huo, si sawasawa.

Kuna umri ukifika unapaswa kuonesha njia na si kukosoa.
Kukososa kosoa tuwaachie vijana.
OK OK sawa
 
Ukiona mtu anaona kila mtu hayuko sawa basi ujue yeye ndiye hayuko sawa!
Taifa linazidi kupoteza wazee wenye hekima na busara. Siasa zinameza akili za wazee wetu!
Maskini Tz!

mi mwenyewe naona kama hayuko sawa
 
Kwani amepatwa na shida gani huyu mzee? Halafu mbona amevimba macho [emoji848]
 
Back
Top Bottom