Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kudhaniwa bali ni Mrundi kama Kibu Denis. Ilibidi apate uraia wa kuandikishwa. Ki ukweli huyo Jenerali Ulimwengu simpendi kwa tabia zake za kujifanya anajua sana kuliko Watanzania woteMkapa alimwondolea uraia.
Inadhaniwa ni mtutsi.
jamaa hana ukubwa wowote kiherehere tu waaandishi wa habari kujikutaga much know ndo maana huwaga wanafanywa mbaya.. propaganda za kijinga huwaga zinapelekea machafuko nchiniSi kudhaniwa bali ni Mrundi kama Kibu Denis. Ilibidi apate uraia wa kuandikishwa. Ki ukweli huyo Jenerali Ulimwengu simpendi kwa tabia zake za kujifanya anajua sana kuliko Watanzania wote
sio ajabu, watu wa upeo wako lazima wamuone hivyo.Jenerali Ulimwengu ukimsikiliza utagundua yeye hudhani ni very smart. Hudhani ana akili kuliko wengi. Kauli ambazo anatoa huwa hazina staha na si za kisomi.
Ni kauli za kijivuni na kibri ya hali ya juu. Ukiangalia maeneo mengi ambayo Jenerali atakuja zungumza ni pale ambapo kuna maslahi yake yameminywa sehemu na Utawala husika.
Kinyume na hapo huyu huyu Jeneral huwapamba Watawala hao kupitia Magazeti yake tokea enzi ya gazeti la Rai hadi Raia Mwema. Wakipishana naye hasa kwenye suala la Maslahi utaanza ona anavyoandika kwa kuponda na kutoa matamko yasiyo na staha.
Kuna mambo mengi namuunga mkono.suala la katiba mpya ni mojawapo. Lakini suala la kudhani yeye ana akili kuliko WATANZANIA wengie au wa Asili ni dharau kubwa kwetu.
Pengine afundishwe kutumia lugha ya staha ya kisomi na yenye kuendana na umri wake. Kukosoa ni jambo jema...na linajenga afya ya nchi. Lakini lugha stahiki ni jambo muhimu pia. Kama wanavyofanya akina Prof Shivji, Mzee Warioba, Mzee Bujiku, Prof Safari n.k.
Kwa tabia ya Ujibuni ya Jenerali Ulimwengu ipo siku wale wanaomshabikia sasa watakuja anza kumponda.
Sababu atakuja ongea maneno ya kuwasema vibaya. Jenerali Ulimwengu hana tofauti na Mambe Kimangi na Fatma Karume. Ana tabia ya kudhani yeye ni smart kuliko wengine around him. Mtakuja niambia.
Hana uzalendo wowote ndani yake.
Cheo cha ukuu wa wilaya alishindwa kuonyesha uzalendo wake hata kwenye eneo dogo tu la wilaya!!
NGOMA IKILIA SANA .......................
Ni ishu ya muda tu.
Aliziingiza kwenye masuala ya kimaendeleo, na kwanini mpaka leo usifanyike uchunguzi zilienda wapi zule pesa'wapiga dili' ndiyo kichaka mnachojifichia akikosolewa yule psycho...alitafuna 1.7 tr zetu
Sasa ndiyo hiyo tabia yake ya kujiona tunayoisema, kwaiyo yeye alikuwa sahihi na RC na RDD ambao ndiyo wakuu wake wa kazi kiprotokali walikuwa hawajui kitu!!Umesimuliwa na asiyejua lolote.
Alipokuwa DC aligundua anapishana na wenzake ndani ya serikali hasa RC na RDD (RAS kwa sasa) kwa kutokufanya kazi kiubunifu bali kwa mazoea hivyo akajiuzulu.
Nilikuwepo Singida wakati huo kama kijana mtumishi wa Umma (serikali). Wote tulisifu maamuzi yake ya kishujaa lakini watawala huku wakiujua ukweli walifadhaika
Mbwakoko wa yule dhalim aliyeko motoni hamtaki kuambiwa ukweliJenerali Ulimwengu ukimsikiliza utagundua yeye hudhani ni very smart. Hudhani ana akili kuliko wengi. Kauli ambazo anatoa huwa hazina staha na si za kisomi.
Ni kauli za kijivuni na kibri ya hali ya juu. Ukiangalia maeneo mengi ambayo Jenerali atakuja zungumza ni pale ambapo kuna maslahi yake yameminywa sehemu na Utawala husika.
Kinyume na hapo huyu huyu Jeneral huwapamba Watawala hao kupitia Magazeti yake tokea enzi ya gazeti la Rai hadi Raia Mwema. Wakipishana naye hasa kwenye suala la Maslahi utaanza ona anavyoandika kwa kuponda na kutoa matamko yasiyo na staha.
Kuna mambo mengi namuunga mkono.suala la katiba mpya ni mojawapo. Lakini suala la kudhani yeye ana akili kuliko WATANZANIA wengie au wa Asili ni dharau kubwa kwetu.
Pengine afundishwe kutumia lugha ya staha ya kisomi na yenye kuendana na umri wake. Kukosoa ni jambo jema...na linajenga afya ya nchi. Lakini lugha stahiki ni jambo muhimu pia. Kama wanavyofanya akina Prof Shivji, Mzee Warioba, Mzee Bujiku, Prof Safari n.k.
Kwa tabia ya Ujibuni ya Jenerali Ulimwengu ipo siku wale wanaomshabikia sasa watakuja anza kumponda.
Sababu atakuja ongea maneno ya kuwasema vibaya. Jenerali Ulimwengu hana tofauti na Mambe Kimangi na Fatma Karume. Ana tabia ya kudhani yeye ni smart kuliko wengine around him. Mtakuja niambia.
Na magu alikuwa MhutuMkapa alimwondolea uraia.
Inadhaniwa ni mtutsi.
Alikuwa anamkosoa mkapa kwaHao wasomali Mkapa hakuwaondolea uraia.
Kuna sababu zenye mashiko kwa nini Jenerali aliondolewa uraia.
Mkapa kama ilivyokuwa kwa magufuli hakuwa anapenda kukosolewa. Alijihisi binadamu mwenye akili kuliko wote. Gazeti la rai kipindi hicho lilikuwa la moto. Likawa linampa za uso. Ilichorwa katuni moja ikimuonesha mkapa kama mtoto mdogo ananyonya dole huku akiimba msaadaNakubaliana na ww Ulimwengu anakuwa kama siyo msomi. Anapenda sana personal attacks kwa watu asiokubaliana nao kimawazo.
Mkuu, 'Komeo Lachuma', hili uliloandika hapo kwenye mstari mmoja ndilo linalotakiwa kufanywa na ambao anawaponda yeye. Hapo nadhani ngoma itakuwa 'droo'.Kwa tabia ya Ujibuni ya Jenerali Ulimwengu ipo siku wale wanaomshabikia sasa watakuja anza kumponda.
Huku kusema, "kujidhani yeye ni 'very smart'; why not? Wewe mwenyewe hujidhani kuwa 'smart'? Utakuwa unaupungufu mkubwa kama unajiona wewe ni bwege tu hivi.Jenerali Ulimwengu ukimsikiliza utagundua yeye hudhani ni very smart. Hudhani ana akili kuliko wengi. Kauli ambazo anatoa huwa hazina staha na si za kisomi.
Mbona unalia lia tu ulikua unataka kesemaje Kwa mfanoJenerali Ulimwengu ukimsikiliza utagundua yeye hudhani ni very smart. Hudhani ana akili kuliko wengi. Kauli ambazo anatoa huwa hazina staha na si za kisomi.
Ni kauli za kijivuni na kibri ya hali ya juu. Ukiangalia maeneo mengi ambayo Jenerali atakuja zungumza ni pale ambapo kuna maslahi yake yameminywa sehemu na Utawala husika.
Kinyume na hapo huyu huyu Jeneral huwapamba Watawala hao kupitia Magazeti yake tokea enzi ya gazeti la Rai hadi Raia Mwema. Wakipishana naye hasa kwenye suala la Maslahi utaanza ona anavyoandika kwa kuponda na kutoa matamko yasiyo na staha.
Kuna mambo mengi namuunga mkono.suala la katiba mpya ni mojawapo. Lakini suala la kudhani yeye ana akili kuliko WATANZANIA wengie au wa Asili ni dharau kubwa kwetu.
Pengine afundishwe kutumia lugha ya staha ya kisomi na yenye kuendana na umri wake. Kukosoa ni jambo jema...na linajenga afya ya nchi. Lakini lugha stahiki ni jambo muhimu pia. Kama wanavyofanya akina Prof Shivji, Mzee Warioba, Mzee Bujiku, Prof Safari n.k.
Kwa tabia ya Ujibuni ya Jenerali Ulimwengu ipo siku wale wanaomshabikia sasa watakuja anza kumponda.
Sababu atakuja ongea maneno ya kuwasema vibaya. Jenerali Ulimwengu hana tofauti na Mambe Kimangi na Fatma Karume. Ana tabia ya kudhani yeye ni smart kuliko wengine around him. Mtakuja niambia.
Nilisita sana kuku'quote', lakini nimejikuta nikilazimika, kwa sababu ya hilo neno "Mzalendo".Kwani Kinana, Bashe, Rage hawa si Wasomali?
Tushindane naye kwa hoja, anaweza hata asiwe na uraia wa nchi yoyote person non granta lakini yeye ni Mzalendo wa nchi yetu kuliko mzaramo Jafo.