Jenga Greenhouse kwa gharama nafuu

Jenga Greenhouse kwa gharama nafuu

Mamana naomba unisaidie, mi nna kiwanja heka moja huko kigamboni lkn ardhi yake ni kichanga na nnataka kununua greenhouse huku uingereza. ..je naweza watumia nyie kwa kuifunga na kufanya tathmini nyingine za ulimaji? Gharama zake hapo zinaweza kuwa kiasi gani kwa kukisia?
Karibu sana,
Swala lako linawezekana kabisa, sasa naomba unipe link ya greenhuse unayotarajia kununua ili nisome description then nikupe maelezo kamili.
Ardhi ya kichanga sio tatizo, Tuwasiliane tuone jinsi gani nitapata sample na kuipeleka lab ili niweze kukushauri tutalimaje hapo.
NB: Kuwa muangalifu usije kununua Polytunnel. They dont work well in our hot-humid environment.
 
asante mamana ,ila tu tatizo langu niko (kizimkazi zanzibar)na ardhi yangu ni mawe ila huwa na mwaga udongo kwanza jee green house itafaa?naje itawezekana kutest udongo ninaoutumia ,naje hizo nguzo kwetu ni rahisi mno kupatikana na tank pia ninalo la lita 100,lakini naweza kusaiwa project ya kupata mkopo kidogo wa utengenezaji wa green house mama
 
asante mamana ,ila tu tatizo langu niko (kizimkazi zanzibar)na ardhi yangu ni mawe ila huwa na mwaga udongo kwanza jee green house itafaa?naje itawezekana kutest udongo ninaoutumia ,naje hizo nguzo kwetu ni rahisi mno kupatikana na tank pia ninalo la lita 100,lakini naweza kusaiwa project ya kupata mkopo kidogo wa utengenezaji wa green house mama

Kila kitu kinawezekana, tafadhali nipigie simu tuongee.
 
Hii idea nimeipenda sana hasa kwenye matumizi ya mbolea na dawa zisizo za kikemikali,ila hivi hii kitu kwenye maeneo yenye baridi kama Njombe inafaa? by the way nami naomba nitumie mchanganuo kwenye tommiejay58@gmail.com
 
MamaNa nakupongeza kwa kujitolea kutukwamua hasa sisi wastaafu. Nina kijana wangu yupo Urusi amenitaka nimpatie specifications za material zote kwa ajili ya greenhouse ili anitumie. Je, unaweza kunitumia ili nimpelekee avilete ili uje kunijengea. Mimi nipo Kerege, Bagamoyo. E mail yangu ni drgshoo@gmail.com. Natanguliza shukrani.
 
MamaNa nakupongeza kwa kujitolea kutukwamua hasa sisi wastaafu. Nina kijana wangu yupo Urusi amenitaka nimpatie specifications za material zote kwa ajili ya greenhouse ili anitumie. Je, unaweza kunitumia ili nimpelekee avilete ili uje kunijengea. Mimi nipo Kerege, Bagamoyo. E mail yangu ni drgshoo@gmail.com. Natanguliza shukrani.

Karibu sana mzee wangu,
Naweza kukutumia aina ya material yanayostahili lakini sidhani kama urusi yatakuwepo kwani hali ya hewa ya huko na hapa ni tofauti kabisa. Kuna material tofauti kwa kila ukanda wa dunia.
Pili vipimo vya kila material vitakukanganya kwasababu kila ukubwa wa greenhouse na kipimo chake, kila ujenzi na kipimo chake hivyo ni vema ukanipa kipimo cha ukubwa unaotarajia kujenga ili nikusaidie kucalculate material yanayohusika.
Je ardhi yako iko tambarare?
Mwisho kabisa ni vema ukapima udongo na maji yako kabla ya kuagiza hizo materials kwani vitakusaidia katika maamuzi. unaweza kuingia gharama ya kununua material kumbe ardhi na maji yako havifai kwa kilimo hiki.
Karibu sana.
 
Hii idea nimeipenda sana hasa kwenye matumizi ya mbolea na dawa zisizo za kikemikali,ila hivi hii kitu kwenye maeneo yenye baridi kama Njombe inafaa? by the way nami naomba nitumie mchanganuo kwenye tommiejay58@gmail.com

Njombe na maeneo mengine yenye baridi kali inafaa kabisa. Kilimo hiki kimeanzia italy kwenye baridi kali wakati wa winter na sababu ya uvumbuzi ilikuwa ni kupambana na baridi.
Kuna vitu vya ziada utahitaji kama baridi linafika chini ya 15 degrees. Gharama ya ujenzi haiyokuwa sawa na sehemu zenye joto kwani itahitaji double layer ya materials, kwenye ventilation kutakuwa na mapazia ya kuzuia baridi wakati wa winter.
Tuwasiliane kwa simu kwa ufafanuzi zaidi.

Karibu sana.
Nb: mchanganuo nimeuandika hapa hapa kwenye post no 164.
 
Njombe na maeneo mengine yenye baridi kali inafaa kabisa. Kilimo hiki kimeanzia italy kwenye baridi kali wakati wa winter na sababu ya uvumbuzi ilikuwa ni kupambana na baridi.
Kuna vitu vya ziada utahitaji kama baridi linafika chini ya 15 degrees. Gharama ya ujenzi haiyokuwa sawa na sehemu zenye joto kwani itahitaji double layer ya materials, kwenye ventilation kutakuwa na mapazia ya kuzuia baridi wakati wa winter.
Tuwasiliane kwa simu kwa ufafanuzi zaidi.

Karibu sana.
Nb: mchanganuo nimeuandika hapa hapa kwenye post no 164.

Chanzo Kikubwa cha Maji cha hizi Greenhouses ni Mto au Kisima,

Nami nina eneo Liko Kibamba CCM karibu na Mradi wa Muhimbili ambalo halina Mto, hivyo option iliyobaki ni Kisima, sasa nitajuaje kama nikichimba hapo nitapata maji?

Pili eneo lina mwinuko kiasi, litafaa kweli?

Tatu nikitaka nikakuonyeshe eneo hilo ili unipe ushauri kabla ya kuanza michakato mengine utanichaji "sete visit" ya kiasi gani (Kama vipi nijibu PM)
 
Njombe na maeneo mengine
yenye baridi kali inafaa kabisa. Kilimo hiki kimeanzia italy kwenye
baridi kali wakati wa winter na sababu ya uvumbuzi ilikuwa ni kupambana
na baridi.
Kuna vitu vya ziada utahitaji kama baridi linafika chini ya 15 degrees.
Gharama ya ujenzi haiyokuwa sawa na sehemu zenye joto kwani itahitaji
double layer ya materials, kwenye ventilation kutakuwa na mapazia ya
kuzuia baridi wakati wa winter.
Tuwasiliane kwa simu kwa ufafanuzi zaidi.

Karibu sana.
Nb: mchanganuo nimeuandika hapa hapa kwenye post no 164.

Asante MamaNa, mi nina eneo lingine kibaha kama robo hekari ila ishu ni maji je naweza pata msaada wa jinsi gani ya kuchimba kisima ikiwezekana na kusurvey eneo kabla ya kuanza uchimbaji,nategemea msaada wako,Thanks..
 
Chanzo Kikubwa cha Maji cha hizi Greenhouses ni Mto au Kisima,

Nami nina eneo Liko Kibamba CCM karibu na Mradi wa Muhimbili ambalo halina Mto, hivyo option iliyobaki ni Kisima, sasa nitajuaje kama nikichimba hapo nitapata maji?

Pili eneo lina mwinuko kiasi, litafaa kweli?

Tatu nikitaka nikakuonyeshe eneo hilo ili unipe ushauri kabla ya kuanza michakato mengine utanichaji "sete visit" ya kiasi gani (Kama vipi nijibu PM)

Lady Ra, si kweli kwamba chanzo kikubwa ni mto au kisima. Maji yoyote yale yanafaa ilimradi yawe yamepimwa na kujua nini kipo ndani yake. Kuhusu kujua kama maji yapo au la, Makampuni ya wachimba visima yanavyo vifaa vinavyofanya kazi hii. Wanajua maji yapo wapi na umbali gani. Ukiwasiliana nao watakusaidia.

Eneo lenye muinuko sio tatizo sana kama muinuko sio mkali (less than 20 degrees angle), Linaweza kusawazishika kwa kujaza topsoil kutoka eneo jingine na kuwekewa msingi kidogo, japo eneo lisilo na muinuko ndio ideal kwa shughuli hii.

Site visit inategemea na sehemu unayotaka kuweka greenhouse ilipo, inategemea na KM nitakazoendesha kuja kwako. Mostly ni hela ya mafuta tu kama ni dar es salaam au nje kidogo ya mji, kwa mikoani itatofautiana na mkoa una umbali gani kutoka Dar, mf bei ya kwenda mwanza itatofautiana na bei ya kwenda kilwa, zanzibar au morogoro nk... Ushauri ni bure kabisa, haulipiwi.
 
Back
Top Bottom