Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #181
Pamoja Kaka keisangora, soon naandika andiko jingine kubwa🙏💪Mfano mie my beliefs, mindset, thoughts Naona Kama twaendana Mana tuko the same planet travel journey. We can share stories,Mana siwezi kuleta za kula kimasihara wakati My 🧲 domains aren't alligned to it.
Once you share the same beliefs,etc automatic mnakuwa marafiki.
Urafiki una gharama ndani yake, wengi hatulijui.umeandika kitu kizuri sana cha kujifunza hapa tunachanganya kati ya washikaji na marafiki. inawezekana wengi tunawashikaji na si marafiki na tunawakubali kuwa ni marafiki.
binafsi kipindi cha nyuma kuna rafiki zangu waliniumiza tokea wakati huo siwezi tena kumwamini mtu yeyote kwa yote na nimejikuta nimekuwa kama mhindi nafikiri imesaidia.
ifike wakati lazima tujue huyu rafiki niliye naye ana nini cha kwangu na kwangu anaweza kuhitaji nini?
ifike wakati tujue tunachotaka kwa kuwa tukijua tunachotaka tutajua thamani yake na pia tutatafuta jinsi ya kukupata na nani atusaidie kufikia tunachotaka na kwa njia zipi?
lakini gharama yake ikoje? je tupo tayari kulipa gharama ya anayetutegemeza kufikia lengo kusudiwa kwa kiasi gani?
ukienda uanacho cha kutoa utakuwa jasiri na utafanikiwa zaidi sio tuwe kama bahari inayotegemea maji toka kwenye mito na haikumbuki kutoa gawio kwa mito hata wakati wa kiangazi!
Hizi ndo info zinazotakiwa, na sio story za kutembea na mke wa mtu.Soon andiko lingine la kiwango Cha ma great thinker Lina kuja
Soon mkuu, soon tuna amshana ma great thinkers.Nimeshaihariri tayari, lakini pia usisahau kuni-tag ukiweka bandiko jingine mkuu.
Pamoja Kaka, Kikubwa tupambanie Malengo yetu💪Hizi ndo info zinazotakiwa, na sio story za kutembea na mke wa mtu.
Ni kweli kaka.Pamoja Kaka, Kikubwa tupambanie Malengo yetu
Mkuu EMMYGUY, keisangora, Mafian cartel, mna eza mkaleta maoni yenu.Ni kweli kaka.
Onyesha graduate aliyeko mtaani Hana hata Mia mfukoni Ila kichwani anayo maarifa anavyoweza kubadilisha to cash.Mkuu EMMYGUY, keisangora, Mafian cartel, mna eza mkaleta maoni yenu.
👉Tuzungumzie nini katika andiko jipya, coz shida sio kuandika ila ni kuwaasilisha kitu Cha uhakika.🙏💪
Hiyo idea ya 2 keisangora ni Kama ume nigusa Kaka.Onyesha graduate aliyeko mtaani Hana hata Mia mfukoni Ila kichwani anayo maarifa anavyoweza kubadilisha to cash.
Pia mwajiriwa afanyeje biashara gani za uhakika ambazo hatokuwa anapigwa,Mana siku hizi Kuna watu wanafanya kazi ,anasevu hela later anafungua biashara anampa ndugu,rafiki,anaajiri mtu Bali Ila wote hao wanampiga ,kiasilia watu Ni wavivu ndio Mana wizi hautoisha milele na hakuna dini itakayokomesha wizi.
Unampa boda,hiace Kijana wiki ya kwanza anakuwa very active later unaletewa maneno,ama dukani bidhaa zinaisha na Hakuna hela unaambiwa akakopesha
Hii inawagusa wengi mno ,humu ukigusa kila mtu Ni mhanga,me too,Kuna jamaa alizira duka la boda spear parts,yaani hii inawaumiza wengi mno nakuambia. Umeona alichokiweka Kigwangallah InstagramHiyo idea ya 2 keisangora ni Kama ume nigusa Kaka.
👉Nime choma tu pesa twangu twa maji, mpaka nikatolewa katika mstari.
Situmii ig, AME sema kuhusu nini🤔Hii inawagusa wengi mno ,humu ukigusa kila mtu Ni mhanga,me too,Kuna jamaa alizira duka la boda spear parts,yaani hii inawaumiza wengi mno nakuambia. Umeona alichokiweka Kigwangallah Instagram