Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hii ni Hotel ya Azam pale Zanzibar, ni 5star hotelJina la hotel Kama mzizi was bange😂🤣🤣
Inaonekana iko vizuri sana, ngoja Pension yangu itoke niende nikapumzike na Bibi yenu 🤪🤪
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni Hotel ya Azam pale Zanzibar, ni 5star hotelJina la hotel Kama mzizi was bange😂🤣🤣
Dogo acha kuota😂🤣, we Kama Bata kale.Hii ni Hotel ya Azam pale Zanzibar, ni 5star hotel
Inaonekana iko vizuri sana, ngoja Pension yangu itoke niende nikapumzike na Bibi yenu 🤪🤪
Tupe ushauri pia, ili tujifunze wote💪Thanks
Correct mind set..... Hili limenisaidia pia na linaendelea kunisaidia, kuna wakati mfumo unashindwa kukusaidia kuudhihirisha ubora uliopo ndani yako .Njia sahihi ni imani, tangu nasoma nilikuwa naamuni Mimi ni mtu Bora na nitakuwa mtu mkubwa.
👉Sijawai kujichukulia simple, licha ya kukutana na mazingira mabovu.
Mkuu Kuna kipindi nili pigika, nothing was going right.Correct mind set..... Hili limenisaidia pia na linaendelea kunisaidia, kuna wakati mfumo unashindwa kukusaidia kuudhihirisha ubora uliopo ndani yako .
trusting in process na kujiongezea thamani(kujifunza vitu vipya) kunakuandaa kwa fursa yoyote ya kuonyesha ubora kwa baadae.
All the best expertYeah na jifunze kuto kubali kutolewa mchezoni, katika maisha yako.
👉Iwe na nafsi yako, jirani, rafiki, mchumbaa na hata familia yenu.
👉Soon nta andikaa andiko, kuhusiana na Hilo💪 YoungPastor
Jitihada zako na mahangaiko haziwahusu.... Ngoja waone matokeo mhhhhhhhhhh utamjua mpaka shangazi wa shangazi yake shangazi. Ndivyo tulivyo binaaadam. Anyway hongera kwa mitihani ya maisha.Mkuu Kuna kipindi nili pigika, nothing was going right.
👉Wanao kuzungukwa ndo majanga pia.
👉Ila still nili weza kushinda na kuwa tofauti nao
Though it's not done, ila tutafika tu💪Dunu
Jitihada zako na mahangaiko haziwahusu.... Ngoja waone matokeo mhhhhhhhhhh utamjua mpaka shangazi wa shangazi yake shangazi. Ndivyo tulivyo binaaadam. Anyway hongera kwa mitihani ya maisha.
Ndoo maana akasema yule aliemuona "msifungwe nira pamoja na wasio amini". Kumbe inafaa tubaguane ilikuleta mchanganyiko wenye tija.Rafiki bora ni Yesu Pekee wengine ni uongo hata mganga anayekutibu sio wakumuani , licha hawa masnitch marafiki ni masnitch hana haya wanaharibu , anaboa tu yaani . So kuwa na wasela ni bora . Kuliko rafiki unayemwamini
Hapa nahitaji kamusi tafadhali?YoungPastor Kikubwa usibebe jitihada zako, katika kikapu kimoja.
👉Ume Elewa?
USI pende kuweka juhudi zako zote katika Jambo moja, I we biashara au kazi YoungPastor .Hii
Hapa nahitaji kamusi tafadhali?
Hakunaga angalia hii filamu "ROMEO MUST DIE " Angalia huyo muafrika alovyogeukwa na mtu anayemwamini hata wewe ulibwagwa na rafiki yako .Ndoo maana akasema yule aliemuona "msifungwe nira pamoja na wasio amini". Kumbe inafaa tubaguane ilikuleta mchanganyiko wenye tija.
Sio kila mtu ni rafiki, wengine ni watu tunaofahamiana nao tu...
Wawezaje kutembea njia moko wasipokuwa wamepatana
Ndege wanaofanana ..............
Marafiki ni watu wa kuwa nao makiniHakunaga angalia hii filamu "ROMEO MUST DIE " Angalia huyo muafrika alovyogeukwa na mtu anayemwamini hata wewe ulibwagwa na rafiki yako .
Eti eh!Marafiki ni watu wa kuwa nao makini
Yeah, wanaweza kuinua au kuzamisha boti yako.Eti eh!