Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Mkuu kwa hiyo umeleta hili tangazo kwa kuotea tu. Hii ni shida kwa wafanya biashara wengi mnashikwa hasira mkulizwa bei ya bidhaa mnayotangaza mtandaoni. Shida ni nini?Wengi waulizaji tu seriously person atakuchek kwenye cm ipo pale
Umesema mwenyewe huo ujenzi ni wa gharama nafuu mtu anakuuliza mpaka hapo imegharimu kiasi gani hutaki kusema.