Jenga nyumba ya hivi kupunguza gharama za ujenzi

Jenga nyumba ya hivi kupunguza gharama za ujenzi

Wengi waulizaji tu seriously person atakuchek kwenye cm ipo pale
Mkuu kwa hiyo umeleta hili tangazo kwa kuotea tu. Hii ni shida kwa wafanya biashara wengi mnashikwa hasira mkulizwa bei ya bidhaa mnayotangaza mtandaoni. Shida ni nini?

Umesema mwenyewe huo ujenzi ni wa gharama nafuu mtu anakuuliza mpaka hapo imegharimu kiasi gani hutaki kusema.
 
Mkuu kwa hiyo umeleta hili tangazo kwa kuotea tu. Hii ni shida kwa wafanya biashara wengi mnashikwa hasira mkulizwa bei ya bidhaa mnayotangaza mtandaoni. Shida ni nini?

Umesema mwenyewe huo ujenzi ni wa gharama nafuu mtu anakuuliza mpaka hapo imegharimu kiasi gani hutaki kusema.
Hayupo seriously
 
Jenga nyumba imara usipunguze gharama za ujenzi

Fanya kitu kieleweke kidumu usifanye kujaribu jaribu.

Nmejifunza haya baada ya kujengewa hovyo na fundi aliekua anapunguza gharama
 
Asante kwa mchanganuo mzuri, lakini hiyo gharama ya vifaa vya ujenzi kutozidi 18 milioni sio halisi, umepunja bei.

Kwa mfano.
-Cement 6.5tonnes wastani 2milioni
-Tofali 5570 ni wastani 6milioni
-Kokoto na mchanga wastani 1.5milioni
-Nondo ni wastani wa 3milioni
-Mbao ni wastani wa 4milioni
-Bati ni wastani wa 4.5milioni
-Vifaa vingine ni wastani 1milioni
JUMLA ni wastani wa shilingi milioni 22
Nmeainisha kwa vijijini na kwa mjini
 
Asante kwa mchanganuo mzuri, lakini hiyo gharama ya vifaa vya ujenzi kutozidi 18 milioni sio halisi, umepunja bei.

Kwa mfano.
-Cement 6.5tonnes wastani 2milioni
-Tofali 5570 ni wastani 6milioni
-Kokoto na mchanga wastani 1.5milioni
-Nondo ni wastani wa 3milioni
-Mbao ni wastani wa 4milioni
-Bati ni wastani wa 4.5milioni
-Vifaa vingine ni wastani 1milioni
JUMLA ni wastani wa shilingi milioni 22
Hiyo nyumba mpaka ikamilike Kwa kiwango Cha kizuzi 100+m inakata
 
Back
Top Bottom