chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Sahihi kabisa, hujaweka fensi,Hiyo nyumba mpaka ikamilike Kwa kiwango Cha kizuzi 100+m inakata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisa, hujaweka fensi,Hiyo nyumba mpaka ikamilike Kwa kiwango Cha kizuzi 100+m inakata
Hesabu zake mtu akiingia kichwakichwa na pesa za kuunga atakimbia huo ujenziSahihi kabisa, hujaweka fensi,
Nasisitiza ghalama za hapo ni kujenga na kupauu
Umesomeka mkuu lakini kwa hizo inputs mteja wako aandae 22-27MHatua iliyowekwa hapo ni kujenga boma tu na kupaua.Samahani sikusema hapo
Nakubaliana weweUliandika, nami nalikuelewa, lakini bado hiyo milioni 18 ni ndogo, labda useme kujenga boma tu pasipo kupaua.
Paa la hiyo nyumba nadhani linaweza kutafutana kati ya 7-10 milioni, nje ya Ufundi.
Narudia tathmini iliyowekwa hapo ni ya kujenga boma na kupaua tuHizi gharama sio halisia, kwa mfano mende mbili za mchanga hazimalizi hii kazi.
NdioUmesomeka mkuu lakini kwa hizo inputs mteja wako aandae 22-27M
Hiyo nyumba ina gharama zaidi ya mil 55Asante kwa mchanganuo mzuri, lakini hiyo gharama ya vifaa vya ujenzi kutozidi 18 milioni sio halisi, umepunja bei.
Kwa mfano.
-Cement 6.5tonnes wastani 2milioni
-Tofali 5570 ni wastani 6milioni
-Kokoto na mchanga wastani 1.5milioni
-Nondo ni wastani wa 3milioni
-Mbao ni wastani wa 4milioni
-Bati ni wastani wa 4.5milioni
-Vifaa vingine ni wastani 1milioni
JUMLA ni wastani wa shilingi milioni 22
Anamaanisha boma tuWewe jamaa ni liongo. Paa tu hilo ni almost 15 million. Bado tofali ni almost mil 3, ceiling board almost 4 million, yaani hiyo nyumba ni 70 million. Unawadanganya wenzako uwatapeli
Kwa kijijin ni sawaUliandika, nami nalikuelewa, lakini bado hiyo milioni 18 ni ndogo, labda useme kujenga boma tu pasipo kupaua.
Paa la hiyo nyumba nadhani linaweza kutafutana kati ya 7-10 milioni, nje ya Ufundi.
Njoo nikukabidhi hela unijenge hio nyumba, zikipungua ujazie wewe.Narudia tathmini iliyowekwa hapo ni ya kujenga boma na kupaua tu
😁😁😁😁Hamna hela 😅
Tuwasiliane 0743257669Njoo nikukabidhi hela unijenge hio nyumba, zikipungua ujazie wewe.
huu ni ukweli kabisa,Wewe jamaa ni liongo. Paa tu hilo ni almost 15 million. Bado tofali ni almost mil 3, ceiling board almost 4 million, yaani hiyo nyumba ni 70 million. Unawadanganya wenzako uwatapeli
Ni kweli hatutaki mambo ya buyer be aware hapa jukwaani, alipaswa atoe makisio ya gharama zoteAnamaanisha boma tu
Sure sema ni muhimu kuelewa makisio yako unapoleta hapa jukwani ni makataba wa purchase vs sale agreement ya service yako sasa unapokuwa na kitu kichojificha wanajukwaa hawapaswi kuumbuka na buyer be aware hapo baadaye kwa kuanza kusema eti nilikuwa kila nikichovya ni shs 100 (wale jamaa wa kiwi matapeli hapa Dar na kumbe kachovya kwenye dawa mara 20).Sijapigia mm nyumba nzima
Nyumba hiyo kukmalka kabusa lazima ujiandae million 100Wewe jamaa ni liongo. Paa tu hilo ni almost 15 million. Bado tofali ni almost mil 3, ceiling board almost 4 million, yaani hiyo nyumba ni 70 million. Unawadanganya wenzako uwatapeli
Ni kweli mkuu, tena na zaidiNyumba hiyo kukmalka kabusa lazima ujiandae million 100
Mam naona uko verifiesHuku wakituma hela za ujenzi zinaliwa.
Jikalieni huko huko wachukueni na wazazi na msisahau mashangazi.