The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Daaah kiongozi ndio ninacho pitia kwa sasa pesa inakata vitu uvioni kabisa. Frem za milango,top za milango na madilisha, tiles sink za choo
KAZI ni kipimo cha UTU
Hongera sana. Nuru inakaribia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah kiongozi ndio ninacho pitia kwa sasa pesa inakata vitu uvioni kabisa. Frem za milango,top za milango na madilisha, tiles sink za choo
KAZI ni kipimo cha UTU
Weka Bei ya hivi vitu huko kulikoUONGO
mnaichukulia pia 100m?
Na pia inategemea kiwanja kipo tambarare au inabidi kirekebishwe kama sio kuwekeza kwenye gharama kubwa za msingi. Bila kusahau aina ya udongo, Kuna maeneo udongo wa mfinyanzi unapasuka balaa. Ujenzi wake hauwezi fanana na ardhi yenye mchanga.Hatua iliyowekwa hapo ni kujenga boma tu na kupaua.Samahani sikusema hapo
Siyo Lazimalazima kujenga
Unataka kujustify hiyo nyumba ni mil 100 au?Weka Bei ya hivi vitu huko kuliko
1. Nondo 12mm
2. Mifuko wa saruji
3. Mende (lori la mchanga)
4. Lori la kokoto
5. Maji 1000 lita
Tuanzie hapo kwanza kabla hatujaja kwenye vifaa vya finishing ( umeme, mfumo wa maji, milango na madirisha).
Hii ina vyumba vingapi na inacost shillingi ngapiView attachment 3049756
Jenga nyumba ya hivi kupunguza gharama za ujenzi ila zile za hidden roof ni hatari kama ukipata fundi mbaya hizi hakuna nondo nyingi.
Kama unataka kuwasiliana na mimi 0743257669
Weka designs zako zoteView attachment 3049756
Jenga nyumba ya hivi kupunguza gharama za ujenzi ila zile za hidden roof ni hatari kama ukipata fundi mbaya hizi hakuna nondo nyingi.
Kama unataka kuwasiliana na mimi 0743257669
Nyumba nzuri ila hamna gardens
Mi nataka nijenge kama hiyo but chumba kimoja na sebule
Madirisha yameniacha hoi, naamini tukiwatafuta waliotekwa angalau mmoja tutamkuta humu.View attachment 3049756
Jenga nyumba ya hivi kupunguza gharama za ujenzi ila zile za hidden roof ni hatari kama ukipata fundi mbaya hizi hakuna nondo nyingi.
Kama unataka kuwasiliana na mimi 0743257669
Hakuna bati iliyokatwa, mbao za kenchi ni chache sana ila madirisha kama ya vyoo vyaAhaaa Flat roof okay okay
Unafuu wake unaingia Kwenye uchache wa mbao za paa ama unafuu upo Kwenye nini boss ?
Nikujengee mpenziUnaambiwa milioni moja tu unahamia.....
Nijengee my wangu wiki ijayo nihamieNikujengee mpenzi
Tafuta plotNijengaa my wangu wiki ijayo nihamie
Tuchange laki tano tano tuijengeUnaambiwa milioni moja tu unahamia.....