Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Mkuu kwa hiyo umeleta hili tangazo kwa kuotea tu. Hii ni shida kwa wafanya biashara wengi mnashikwa hasira mkulizwa bei ya bidhaa mnayotangaza mtandaoni. Shida ni nini?Wengi waulizaji tu seriously person atakuchek kwenye cm ipo pale
Hayupo seriouslyMkuu kwa hiyo umeleta hili tangazo kwa kuotea tu. Hii ni shida kwa wafanya biashara wengi mnashikwa hasira mkulizwa bei ya bidhaa mnayotangaza mtandaoni. Shida ni nini?
Umesema mwenyewe huo ujenzi ni wa gharama nafuu mtu anakuuliza mpaka hapo imegharimu kiasi gani hutaki kusema.
Sijapigia mm nyumba nzimaWewe jamaa ni liongo. Paa tu hilo ni almost 15 million. Bado tofali ni almost mil 3, ceiling board almost 4 million, yaani hiyo nyumba ni 70 million. Unawadanganya wenzako uwatapeli
Nmeainisha kwa vijijini na kwa mjiniAsante kwa mchanganuo mzuri, lakini hiyo gharama ya vifaa vya ujenzi kutozidi 18 milioni sio halisi, umepunja bei.
Kwa mfano.
-Cement 6.5tonnes wastani 2milioni
-Tofali 5570 ni wastani 6milioni
-Kokoto na mchanga wastani 1.5milioni
-Nondo ni wastani wa 3milioni
-Mbao ni wastani wa 4milioni
-Bati ni wastani wa 4.5milioni
-Vifaa vingine ni wastani 1milioni
JUMLA ni wastani wa shilingi milioni 22
Kwa hiyo sisi tusio diaspora hatuwezi hiyo gharama??
Hiyo nyumba mpaka ikamilike Kwa kiwango Cha kizuzi 100+m inakataAsante kwa mchanganuo mzuri, lakini hiyo gharama ya vifaa vya ujenzi kutozidi 18 milioni sio halisi, umepunja bei.
Kwa mfano.
-Cement 6.5tonnes wastani 2milioni
-Tofali 5570 ni wastani 6milioni
-Kokoto na mchanga wastani 1.5milioni
-Nondo ni wastani wa 3milioni
-Mbao ni wastani wa 4milioni
-Bati ni wastani wa 4.5milioni
-Vifaa vingine ni wastani 1milioni
JUMLA ni wastani wa shilingi milioni 22
Asanteeee kwa mchango wako mkuuHiyo nyumba mpaka ikamilike Kwa kiwango Cha kizuzi 100+m inakata
Asanteeee Kwa mchango wako mkuuKwa hiyo sisi tusio diaspora hatuwezi hiyo gharama??
Hata kujenga na kupaua hazitoshiNasisitiza ghalama za hapo ni kujenga na kupaua tu
Uliandika, nami nalikuelewa, lakini bado hiyo milioni 18 ni ndogo, labda useme kujenga boma tu pasipo kupaua.Hatua iliyowekwa hapo ni kujenga boma tu na kupaua.Samahani sikusema hapo