Mara hii amekuwa siyo shujaa tena ???Alitaka kulibomoa alipokuwa waziri, JK na Pinda wakamzuia! Alipopata Uboss akabomoa makusudi ili kuwaonesha yeye ni nani!! Kati ya dhambi CCM hawatakuja kusamehewa ni kutuletea yule jamaa awe Rais wetu
Hata mchanga nao ni madiniHahahaha, Prof kawa mdogo sana sasa hivi! Ila mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Prof ana madini mengi sana kichwani
Bila shaka ulitaka kuandika "Majini" simu ikafanya autocorrectionHahahaha, Prof kawa mdogo sana sasa hivi! Ila mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Prof ana madini mengi sana kichwani
Mzilankende MuyangoUsituvuruge Wewe
Akiwa Kayanga Karagwe Huko Ni Kwa Wazilankende
Akiwa Chettle, Mwanza Ni Ngosha Chapa Ng'ombe
Shujaa wa nani?Mara hii amekuwa siyo shujaa tena ???
Si alikuwa shujaa wenu ??Shujaa wa nani?
Mkuu Prof yupo vizuri sana kwa kichwa, sema alikengeuka kidogo kipindi cha jamaaBila ulitaka kuandika "Majini" simu ikafanya autocorrection
Mtu anayeweza kuweka kando matumizi ya kichwa na kutumia tumbo kufikiri unamweka kwenye kundi gani ?Mkuu Prof yupo vizuri sana kwa kichwa, sema alikengeuka kidogo kipindi cha jamaa
Umeniquote vibaya, Nina misimamo mi3 humu;1. Against Marehemu 2. Pro Samia (Kama yeye, siyo chama chake) 3. CCM na Upinzani wote siwaelewi.....Si alikuwa shujaa wenu ??
Mchumia tumbo....Mtu anayeweza kuweka kando matumizi ya kichwa na kutumia tumbo kufikiri unamweka kwenye kundi gani ?
Sina muda wa kufukua makaburi mkuu.Umeniquote vibaya, Nina misimamo mi3 humu;1. Against Marehemu 2. Pro Samia (Kama yeye, siyo chama chake) 3. CCM na Upinzani wote siwaelewi.....
Mchumia tumbo anaweza kuwa na madini ?Mchumia tumbo....
Tafuta makaburi yote unayoyajua mkuu, ila siku zote hiyo ndiyo misimamo yangu! Mimi nilikuwa mtu wa kwanza kabisa kuonesha nimechanja (Kabla hata chanjo hazijaja huko TZ), I posted a picture here, unaweza kuifukua pia......Sina muda wa kufukua makaburi mkuu.
Siku zote uvccm huwa mnabadilika kulingana na mwenendo wa SPONSOR.
Ukiitwa taahi.ra jitafakari sana, maandiko yanasema ficha upumbafu wako usiifiche hekima yako, hakuna kipya uloandika hapo, nifatilie huko nyuma utajua unaargue na nani, hayo tulishiriki huko nyuma kuwaambia myaandike, waziri anauza nyumba? lakini waziri mkuu alikuwa nani vile? vipi kuhusu mchakato mzima bungeni? unajua hao unaoandika kwa niaba yao hapa walochukuwa by then ukilinganisha ni hizo nyumba mbili unazodai za JPM?Unajua kama aliingilia mchakato wa uuzaji wa nyumba za serikali na kuwauzia nyumba kwa upendeleo baadhi ya watu ambao hawakuwa na sifa ya kuuziwa nyumba hizo akiwemo hawara wake na mdogo wake,pia alihusika na ufisadi katika ununuzi wa boti tena kwa gharama za juu boti iliyokusudiwa kufanya safari zake kati ya Dar na Bagamoyo kwa kununua boti mbovu ambayo haikuwahi kufanya kazi iliyokusudiwa hata siku moja hadi alipokuwa rais kwa kuficha aibu hiyo kubwa aliamua kuitoa kwa jeshi,hiyo ni machache tu lakini kafanya mengi.
Chief Mtu mwenye madini anaweza kujitoa ufahamu pia, Ref. Mbowe kwa Lowasa 2015Mchumia tumbo anaweza kuwa na madini ?
Kwani Mbowe aliamua peke yake hilo suala ?Chief Mtu mwenye madini anaweza kujitoa ufahamu pia, Ref. Mbowe kwa Lowasa 2015
Ukiitwa taahi.ra jitafakari sana, maandiko yanasema ficha upumbafu wako usiifiche hekima yako, hakuna kipya uloandika hapo, nifatilie huko nyuma utajua unaargue na nani, hayo tulishiriki huko nyuma kuwaambia myaandike, waziri anauza nyumba? lakini waziri mkuu alikuwa nani vile? vipi kuhusu mchakato mzima bungeni? unajua hao unaoandika kwa niaba yao hapa walochukuwa by then ukilinganisha ni hizo nyumba mbili unazodai za JPM?
Unamfahamu mnufaika wa hiyo unayoiita boti ambayo JPM baada ya kuwa Rais akaitaifisha na kuigawa Jeshini? alisema acheni wazee wapumzike, anzeni kuyaamsha mtafurahi.
Jibu swali,jiwe hakuuzia nyumba hawara au aliuzia? Hakununua meli bom au alinunua? mengine unajaribu kutaja wezi wenzie tuUkiitwa taahi.ra jitafakari sana, maandiko yanasema ficha upumbafu wako usiifiche hekima yako, hakuna kipya uloandika hapo, nifatilie huko nyuma utajua unaargue na nani, hayo tulishiriki huko nyuma kuwaambia myaandike, waziri anauza nyumba? lakini waziri mkuu alikuwa nani vile? vipi kuhusu mchakato mzima bungeni? unajua hao unaoandika kwa niaba yao hapa walochukuwa by then ukilinganisha ni hizo nyumba mbili unazodai za JPM?
Unamfahamu mnufaika wa hiyo unayoiita boti ambayo JPM baada ya kuwa Rais akaitaifisha na kuigawa Jeshini? alisema acheni wazee wapumzike, anzeni kuyaamsha mtafurahi.
Hahaha, Mkuu hilo jambo ni la kuandikia Thesis kabisa ya PhD in political science, I don't want to go deep into itKwani Mbowe aliamua peke yake hilo suala ?