Jengo la TANESCO alilobomoa Magufuli, mpaka leo sielewi!

Si alikuwa shujaa wenu ??
Umeniquote vibaya, Nina misimamo mi3 humu;1. Against Marehemu 2. Pro Samia (Kama yeye, siyo chama chake) 3. CCM na Upinzani wote siwaelewi.....
 
Umeniquote vibaya, Nina misimamo mi3 humu;1. Against Marehemu 2. Pro Samia (Kama yeye, siyo chama chake) 3. CCM na Upinzani wote siwaelewi.....
Sina muda wa kufukua makaburi mkuu.

Siku zote uvccm huwa mnabadilika kulingana na mwenendo wa SPONSOR.
 
Sina muda wa kufukua makaburi mkuu.

Siku zote uvccm huwa mnabadilika kulingana na mwenendo wa SPONSOR.
Tafuta makaburi yote unayoyajua mkuu, ila siku zote hiyo ndiyo misimamo yangu! Mimi nilikuwa mtu wa kwanza kabisa kuonesha nimechanja (Kabla hata chanjo hazijaja huko TZ), I posted a picture here, unaweza kuifukua pia......
 
Ukiitwa taahi.ra jitafakari sana, maandiko yanasema ficha upumbafu wako usiifiche hekima yako, hakuna kipya uloandika hapo, nifatilie huko nyuma utajua unaargue na nani, hayo tulishiriki huko nyuma kuwaambia myaandike, waziri anauza nyumba? lakini waziri mkuu alikuwa nani vile? vipi kuhusu mchakato mzima bungeni? unajua hao unaoandika kwa niaba yao hapa walochukuwa by then ukilinganisha ni hizo nyumba mbili unazodai za JPM?

Unamfahamu mnufaika wa hiyo unayoiita boti ambayo JPM baada ya kuwa Rais akaitaifisha na kuigawa Jeshini? alisema acheni wazee wapumzike, anzeni kuyaamsha mtafurahi.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Jibu swali,jiwe hakuuzia nyumba hawara au aliuzia? Hakununua meli bom au alinunua? mengine unajaribu kutaja wezi wenzie tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…