Jengo la TRA Mnazi Mmoja laungua moto

Kuna mengi Sana mkuu..Kuna walakini mkubwa.
 
Inamuhusu nini kuungua kwa jengo?

Mna roho mbaya kwa Uislam wake tu.

Tuliokueepo wakati wa nyerere, ilichomwa moto benki kuu na wizara ya mambo ya ndani na hakuna aliyenyua sauti.

Msifikiri mahasidi hatuwafahamu.
Nyenyuaโœ–๏ธ

Nyanyuaโœ”๏ธ

Halafu sauti hainyanyuliwi ni "kupaza sauti"

Hivi huko Canada ulienda kusomea ujinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ