Tetesi: Jerry Muro na William Malecela ndani ya mpango wa hatari wa kuidhibiti timu ya Fiesta

Ila Kuna mmoja wao mwisho wake mbaya sana
Huyo financier pia ipo siku atajuta
 
Mkuu hilo walishalishindwa...! bashite ni bata batani!
 
Hayo mabishi yao hayana tija kwetu wala kutupunguzia machungu ya kusoma namba, me nilidhani ni mambo makubwa ya kitaifa.
 


Siku ya tukio la Lissu kushambuliwa kwa SMG hawa watu watatu walikuwa wapi???
 
Busara ni kusogeza mbele kimoja tumechoka na kelele zenu mbona hamkui jamani.
 
Ndio inatakiwa hiyo,walizoea vya kunyonga sana
 
Idadi ya walijitokeza kuhitaji msaada wa miguu bandia ofisi ya mkuu wa mkoa Dar ni zaidi ya wanainchi 1,300

Fiesta ni starehe tu kwa vijana na biashara kwa waandaaji.

Kila mmoja awajibike sehemu yake
 
Kila mmoja apambane na hali yake maana hakuna namna sasa
 

Makonda Anaendeleza Uhuni kwa Upumbavu wa Chadema, I wish I was the guy with final say in Chadema. Kitendo cha kupotea Ben Saanane by the way mdogo wangu! Na kupigwa Risasi Lissu kiliwajastify wamalize huu uhuni once and for all! But Wako kimya. Hii itafanya Mhuni aone uhuni Unalipa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…