Tetesi: Jerry Muro na William Malecela ndani ya mpango wa hatari wa kuidhibiti timu ya Fiesta

Tetesi: Jerry Muro na William Malecela ndani ya mpango wa hatari wa kuidhibiti timu ya Fiesta

a673ebf4086c3ba2c259951c6d8b0204.jpg


Siku ya tukio la Lissu kushambuliwa kwa SMG hawa watu watatu walikuwa wapi???
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] le mutuz alivyolibeba hilo Tumbo lake na hiyo mikono sasa dah kama ana mimba vile
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] acha kujidanganya hao clouds fm walibebwa sana kipind cha kikwete na kujikuta wao ni miungu watu . full kuwafanyia vitina wasani na kiukwel clouds ni wanafiki wa kiwango cha PhD . sasa hiv ni lazima washushwe ili mwingine apande kipind hiki utawala huu . naona E fm wataendelea kupanda kama kawaida mwanzo mwisho

Binafsi nasema hiv acha wanyoshwe wapuzi hao

Safi sana makonda
Walibebwa kivip mkuu em fafanua zaidi, hizo fitina ni fitina zipi? Kuwa na mgogoro na wasanii wawili sio kigezo cha kisema hawa jamaa ni wafitini.
 
Hao wapumbavu ni wanafiki sana kipindi wanamlamba matako hawakujua kua yeye ni KAA sasa hivi wanataka huruma zetu...
Sijawai kumkubali Albert Bashite ila kwa hili nasema Albert waue baba wamalize kabisa
 
Du kumbe kweli nahisi Kuna watu hawampendi huyu jamaaa kwelikweli
 
Bashite bashite,yaani hiyo inaitwa vita tembo dhidi ya sungura
 
Na kitendo cha Clouds kumuita "KAA" Makonda, pia kimechangia kumfanya awe Mbogo.
 
Wakuu kuna ishu inaendelea huko makao makuu ya Polisi kuhusu jeshi la Polisi kutumika Kwa matakwa ya mtu binafsi.

Huu ujumbe nimepenyezewa kwamba mambo si shwari kabisa.

"Kuna hatari mbele kuelekea 25.11.2017 Makonda anatakiwa kutambua hili-huku nikutugawa maofisa wa Jeshi vipande vipande na mwisho wa siku jeshi zima.

Ni vizuri sasa hali hii isijirudie na kuelekea 25.11.2017. OCD wa Kinondoni alihamishwa kitengo kingine kuepusha purukushani wakati wa sekeke la Uvamizi wa Clouds na kulinda heshima kati ya IGP na Maofisa wadogo.

Kwa upande wa Wananchi subira ya vuta heri-hatua na uamuzi uliofanywa katika Fiesta siyo kuwakomoa ni kuwanyima wakazi wa Dar burudani tunapaswa kuwa na busara sana lakini tusinyamaze.

Nimemuandikia bwana mdogo Email juu ya kuchukua hatua ya kuuarifu umma na kutoa Taarifa rasmi kwenye mamlaka husika juu ya huu unyama, ikibidi nimemuambia azungumze kwenye kipindi kesho.

Kufanya hivi kutawafungulia milango mbele ya Safari kuwa ni nani mchawi na nani anastahili kubeba Mzigo haiwezekani tutumiwe na mtu mmoja Kwa maslahi yake binafsi. Ugomvi ule ulimalizika sielewi kwanini sasa kuna vita hivi na sisi Polisi tutaoneka wabaya tukitumika kwa matakwa ya mtu binafsi.

Kesho tuonane Collesum, Nipo Safarini kwasasa.

Huo ndiyo ujumbe nilionyetishwa wakuu.
 
Wakuu kuna ishu inaendelea huko makao makuu ya Polisi kuhusu jeshi la Polisi kutumika Kwa matakwa ya mtu binafsi.

Huu ujumbe nimepenyezewa kwamba mambo si shwari kabisa.

"Kuna hatari mbele kuelekea 25.11.2017 Makonda anatakiwa kutambua hili-huku nikutugawa maofisa wa Jeshi vipande vipande na mwisho wa siku jeshi zima.

Ni vizuri sasa hali hii isijirudie na kuelekea 25.11.2017. OCD wa Kinondoni alihamishwa kitengo kingine kuepusha purukushani wakati wa sekeke la Uvamizi wa Clouds na kulinda heshima kati ya IGP na Maofisa wadogo.

Kwa upande wa Wananchi subira ya vuta heri-hatua na uamuzi uliofanywa katika Fiesta siyo kuwakomoa ni kuwanyima wakazi wa Dar burudani tunapaswa kuwa na busara sana lakini tusinyamaze.

Nimemuandikia bwana mdogo Email juu ya kuchukua hatua ya kuuarifu umma na kutoa Taarifa rasmi kwenye mamlaka husika juu ya huu unyama, ikibidi nimemuambia azungumze kwenye kipindi kesho.

Kufanya hivi kutawafungulia milango mbele ya Safari kuwa ni nani mchawi na nani anastahili kubeba Mzigo haiwezekani tutumiwe na mtu mmoja Kwa maslahi yake binafsi. Ugomvi ule ulimalizika sielewi kwanini sasa kuna vita hivi na sisi Polisi tutaoneka wabaya tukitumika kwa matakwa ya mtu binafsi.

Kesho tuonane Collesum, Nipo Safarini kwasasa.

Huo ndiyo ujumbe nilionyetishwa wakuu.
😀😀😀Yaani hawa maafande njaa kwa hili sekeseke la Bashite na CMG ndo wanajifanya kuzinduka..? waache unafiki wapuuzi hawa, kazi yao ni moja tu......kufuata kauli ya maliyamungu na malaika mkuu fullstop!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] le mutuz alivyolibeba hilo Tumbo lake na hiyo mikono sasa dah kama ana mimba vile
Mungu anipe uzima tu siku nije nione serikali mpya hawa watu ndio watajuwa mji una wenyewe.
 
MIAKA KADHAA NYUMA CLOUDS WALIKUA JEURI SANA SANA SANA
WAULIZE
SUGU
JIDE

MNAKUMBUKA JIDE ALIANZISHA SHOW MOJA CLOUDS WAKAPANGA YAO SIKU HIYOHIYO

WAKAFANYA PROMO SANA
JIDE AKABADILI
NAO WAKABADILI

JIDE AKAPANGA SIKU NYINGINE
CLOUDS WAKAPANGA SIKU HIYOHIYO

HUKU JAYDEE VS MWANAFA WA CLOUDS
NA WAKADANGANYA RAIA ANGELETWA MSANII KUTOKA NJE
HAIKUA HIVYO

WAHENGA WAKIZUNGU WANASEMA
'WHATS GOING AROUND COMES AROUND '

walikua KAA sasa wanawaona wenzao ndio KAA
me sitasahau miaka 5 iliyopita walivyowaharibiaga timesfm waliandaa tamasha wakaleta na msanii kutoka nje sikumbuki alikuwa nani, huwezi amini clouds nao wakaandaa tamasha tarehe hiyo hiyo wakawaleta nakumbuka ilikuwa p square enzi hizo ndo wanavuma balaa, yani lile tamasha la timesfm ilikuwa hadi huruma jukwaa lililkuwa tupu kabisaaa watuu waote waliishia kwenye tamasha la clouds, alafu baada ya hapo wanaweka jingo za kejeli, acheni yawapate na bado mana makonda ana hasira nao hatari
 
Ruge na Clouds mmehujumu vipaji vya wasanii wengi sana mpk wengine wakatumbukia kwenye madawa ya Kulevya kwa stress mlizowapa .


hayo ni baadhi tu ya malipo kutokana na uovu wenu na kuna wengine makubwa yatafuata soon.....
 
Itapendeza ikiwa mwisho saa sita. Tunauguza wagonjwa majumbani eboo!!! Hata isingekuwepo maana ni kuhamasisha zinaa tu.
 
Tatizo clouds wanataka kunyenyekewa kama ndio wako peke yao hapa kwenye tasinia ya habari, kunawasanii wangapi wamekorofishana nao na ukifuatilia huoni hata chanzo kikubwa cha tatizo, wanaomba huruma ya wananchi, mda wao nao wakunyoshwa umefika
 
Hata wangefungiwa tu, kwani inafaida gani zaidi ya kusambaza UKIMWI. wasambaza ukimwi wakubwa hao.
 
Wote hao wanafki E.fm na hao clouds fm hawana maana yoyote zaidi ya kujikomba tu
 
Back
Top Bottom