Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Aisee!!!CCM kwa CCM, ulitegemea nini? Ni marufuku kada kumwajibisha kada, ufumbuzi hutafutwa pole pole na kimya kimya mradi kazi iendelee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee!!!CCM kwa CCM, ulitegemea nini? Ni marufuku kada kumwajibisha kada, ufumbuzi hutafutwa pole pole na kimya kimya mradi kazi iendelee!
Angalia Millad AyoCCM kwa CCM, ulitegemea nini?
Ni marufuku kada kumwajibisha kada.
Ufumbuzi hutafutwa pole pole na kimya kimya
Huwezi kuamini tuna awamu ya sita badala ya tano.
Chama kile kile, watu wale wale na kazi inaendelea.
Na hivyo imeisha au siyo? Plea bargain au?Angalia Millad Ayo
Amekutana na waziri ofisini kwake wizarani na waziri amemwambia arudishe viwanja.
Mkuu mpaka Chino Wanaman nae ana chawa wake.Nchi hii bhana ! Makonda naye ana chawa
Gentamycine; alazwe mahali pema peponi Sophia Yamola.Mkimalizana nae katika hili Mamlaka nyingine imkamate kwa Kosa la Kudhulumu Mishahara na Stahiki za Wafanyakazi ( Waandishi wa Habari ) wa iliyokuwa Media ( hasa Gazeti ) akiongozwa na Marehemu Dada Yamola.