Jerry Silaa kutolewa ardhi, tutarajie tena migogoro ya ardhi kuanza kuibuka upya na matapeli wa ardhi kuanza kutembea vifua mbele

Mkuu na ww umeamua kuwa upande wa matapeli wa ardhi ambao usiku na mchana wanampiga vita Silaa na kumzushia uongo mbali mbali?
Bahati nzuri namfahamu vizuri sn Silaa, mtu wa maana alikuwa ni Lukuvi akapigwa vita na mafisadi
 
Sijasema wote, ila wengi wao, mfano wizara ya ardhi, lukuvi, na hata yulo slaa walijitahidi kiasi fulani, kulinganisha na wengine, lakini hawakudumu, nenda, wizara ya mambo ya ndani, afya, na jenista wanatembelea ngekewa tu
Ya nimekuelewa mkuu πŸ˜ƒπŸ˜‚
 
watu wa sampuli hizi ndio ccmu wanawapenda
 

Attachments

  • 84629a3e6ea9add71c5ec3941d245808.mp4
    8.1 MB
Hata mimi ninahisi hivyo...pesa ni kama shetani,pengine Jerry alishakula kwa urefu wa kamba yake kama Makamba
kwan mnamuona mama yenu ni mtu mzur ? kuna kero gan kaishughulikia ? mama ashamuona dogo anajizolea umaarufu kaamua kumtulia kisomi , sasa huko kwenye habari si kama mtu katolewa Mpakani kapelekwa Mlimba akafie Mbele sababu alikuwa anazuia madili ya watu mipakani huko .
 
Huyo Slaa anapungukiwa na communication skills. Hiyo Wizara asingeiweza.
mwiz huwa mnatumia communication skills gan kumhukumu ? ifike muda muache utapeli na ufisadi na sio kutaka mupigiwe magoti kuombwa kuacha uhaini wenu kwa watu wa daraja la chini
 
Bahati nzuri namfahamu vizuri sn Silaa, mtu wa maana alikuwa ni Lukuvi akapigwa vita na mafisadi
tatizo lenu waswahili huwa mnaangalia maisha binafsi ya mtu na sio utendaj wake , kwa upuuz huu mzungu aliwatawala na sasa mwarab anarudi kiwatawala tena mpk mpate akilo ya kujua mnataka kiongoz mweny lifestyle utakayo au anaetimiza mahitaji yako ya msingi
 
Wale Watu wameanza kufurahia huku
 
Kama Kafulila ni mzalendo umewahi kumuona anapinga Mwarabu kuuziwa raslimali za nchi au ndiyo mpiga debe wa uuzaji? DP World alikuwa anashangilia kupita kiasi ndiyo uzalendo wake?
 
Mama anashauriwa na matakataka! Yameoma Jerry Silaa ameyabana yameamua kumfitini kwa mama! Mama naye sijui hashughulishi ubongo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…