Jerry Silaa kutolewa ardhi, tutarajie tena migogoro ya ardhi kuanza kuibuka upya na matapeli wa ardhi kuanza kutembea vifua mbele

Fact
Hii sio sawa kabisa
Rais Samian sikuhizi mrudishe Jerry slaa
 
Ni mtendaji mzuri sana ila mm nahisi uligusa pabaya sana ila nakuamini na unataka kuweka hadharani ndio imekutoa hapo ulipo songa mbele hakuna upinzani ila ni ndani ya Ccm
 
Wizara ya ardhi sio ya kukurupuka.
Ni Wizara ambayo ili iende vizuri, jenga mifumo tu, basi. Ni kama ilivyo Wizara ya Katiba na Sheria, Wizara ya Ulinzi, au ya Fedha.
 
Tanzania yangu mizizi ya upigaji inaanzia jumba jeupe!

Sasa ikijifanya kuwashungulikia dagaa!! utashangaa kambale wenye ndevu wanakuonya kwa kuhamishwa wizara!

Raisii wa type ya Magufuli ndo ilikuwa kiboko yao
 
Very true
 
Tanzania yangu mizizi ya upigaji inaanzia jumba jeupe!

Sasa ikijifanya kuwashungulikia dagaa!! utashangaa kambale wenye ndevu wanakuonya kwa kuhamishwa wizara!

Raisii wa type ya Magufuli ndo ilikuwa kiboko yao
Itabidi tumwe keze Mama yetu anajua ni msikivu na anapenda mawazo yetu
 
Kweli angeonywa tuu sio kuondolewa kabisa.
 
ok waambie wizara sio mtu ni system
 
Mtaje kwa jina ni Waziri gani aliyewahi kufanyia kazi mawazo hayo ya ndoto zako.
 
dah kiukwel nimewazq sana.slaa aliwaweza wizaran.kutwa alikua anashinda field. anayekuja ni big kweli kweli
 
Yani mambo mengine yanasikitisha sana ki ukweli.
 
Mtaje kwa jina ni Waziri gani aliyewahi kufanyia kazi mawazo hayo ya ndoto zako.
Huyu uliemuuliza hawezi kukupa jibu la maana zaidi ya kubwabwaja tu bila ushahidi. Inaonekana ni mmoja wa matapeli ya ardhi ambayo hayataki kuona tukimpigania waziri Silaa arudishwe w/ ya ardhi.

Anajua Silaa akirudishwa huenda na yeye atafikiwa na kunyang'anywa viwanja vyote alivyowadhulumu wanyonge. Huku si kuleta mzaha katika wizara nyeti na ngumu kama hiyo!!
 
dah kiukwel nimewazq sana.slaa aliwaweza wizaran.kutwa alikua anashinda field. anayekuja ni big kweli kweli
Anaekuja kutoka ofisini tu kwenda msalani ni shida, je ataweza pilika pilika za kuingia mtaani kusikiliza kero za wananchi kweli!
 
Huwa unakesha humu JF halafu hujui kwamba nchi ni mifumo! Watu tumesema hapa Jerry hatengenezi mifumo, anafanya show binafsi, kisha anapata milungula. Sasa Wizara imebaki kama ilivyo, hakuna substantial system aliyotengeneza
Ushahidi wa kupokea mlungula uko wapi mkuu? Au na ww umekuwa miongoni mwa watu wanaookota maneno mitaani na kuleta humu bila ushahidi na facts za kueleweka?

Yani kwa uzoefu wako hapa jukwaani nilitegemea ungekuja na ushahidi wa hiki ulichoandika ili sisi wote tumuhukumu. Kumbe ni porojo za kisiasa tu ambazo zinaonekana hazina ukweli wowote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…