GreenCity
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 5,796
- 4,497
Watanzania wengi wana uwezo mdogo sana wa kupima ufanisi wa kiongozi! Wanaridhika sana na kashkashi za kiongozi majukwaani/kwenye hadhara, na kuona kiongozi ni mchapakazi! Hizo mbwembwe!
Silaa ni kiongozi mbovu kabisa, msihadaike na mbwembwe zake. Hana weledi, hatii sheria, hana integrity wala consistency!
Amini, viongozi wa aina yake, walishafunga mkutano tu, hana muda tena na watu husika, anasepa kwenda kuibua lingine.
Akifuatwa wizarani, ndio wanashauriwa sasa watu waende mahakamani kama wana malalamiko.
Kiongozi sio kelele!
Silaa ni kiongozi mbovu kabisa, msihadaike na mbwembwe zake. Hana weledi, hatii sheria, hana integrity wala consistency!
Amini, viongozi wa aina yake, walishafunga mkutano tu, hana muda tena na watu husika, anasepa kwenda kuibua lingine.
Akifuatwa wizarani, ndio wanashauriwa sasa watu waende mahakamani kama wana malalamiko.
Kiongozi sio kelele!