Jerry Silaa kutolewa ardhi, tutarajie tena migogoro ya ardhi kuanza kuibuka upya na matapeli wa ardhi kuanza kutembea vifua mbele

Jerry Silaa kutolewa ardhi, tutarajie tena migogoro ya ardhi kuanza kuibuka upya na matapeli wa ardhi kuanza kutembea vifua mbele

Watanzania wengi wana uwezo mdogo sana wa kupima ufanisi wa kiongozi! Wanaridhika sana na kashkashi za kiongozi majukwaani/kwenye hadhara, na kuona kiongozi ni mchapakazi! Hizo mbwembwe!

Silaa ni kiongozi mbovu kabisa, msihadaike na mbwembwe zake. Hana weledi, hatii sheria, hana integrity wala consistency!

Amini, viongozi wa aina yake, walishafunga mkutano tu, hana muda tena na watu husika, anasepa kwenda kuibua lingine.

Akifuatwa wizarani, ndio wanashauriwa sasa watu waende mahakamani kama wana malalamiko.

Kiongozi sio kelele!
 
Watanzania tusiwe shallow minded, ni Nini Cha maana amefanya huyu waziri, kuvunja nyumba za watu na kuzuia kituo Cha mafuta ndio ilikuwa hitaji la watanzania, kutokuweza kuongoza Wizara yake na kuacha miji kuwa holela na yeye kutokuwa na Plan ya mbeleni Ndio tumsifie Kwa lipi!? Jamani tuwe serious
Amekaa muda gani huko ardhi mpaka awe na mipango miji? Wacha hizo wewe! Kwa muda mfupi tu anashughulikia migogoro mingapi? Silaa apewe maua yake! Namtaka mama amrudishe haraka kwenye hiyo wizara awanyooshe! Ndejembi ndiye angepewa wizara hiyo ya Nape!
 
Niaje waungwana

Japo hakuna mtu mwenye dhamana ya kumpangia raisi kile anachoamua, lakini katika hili la kumtoa Silaa ardhi na kwenda kumtupa huko kwenye habari kwa kweli Rais wetu amefanya kosa la kiufundi sana.

Jerry alikuwa ashaanza kuwashughulikia vibaka na matapeli wa ardhi wote, yaani mmoja baada ya mwingine hadi kupelekea wengine kutupwa ndani. Sasa leo anapotolewa na kupelekwa wizara nyingine ni kuwapa nafasi wale wote waliokuwa washaanza kurudisha ardhi walizotapeli kabla kiama hakijawashukia waendelee nazo na pengine kuendelea kutapeli na zingine kwani aliekuwa anawapa tumbo joto kaondolewa na kupelekwa kungine.

Najiuliza, kwanini hiyo wizara ya habari asingepewa hata Mwana FA, ili Silaa aendelee kuwanyoosha wezi na vibaka wa ardhi za watu!

Anyway acha tuone mwisho wa game utakuaje. Lakini mama kama unatusikia na kufanikiwa kusoma uzi huu tafadhali TUNAOMBA (kwa herufi kubwa) UMRUDISHE JERRY SILAA W/ ARDHI Biden wamemzuia kugombea urais kutokana na matatizo ya akili ila cha ajabu hapa tz tunaje mgonjwa wa akili kuliko biden ila kuna msifu kuwa anaupiga mwingi ...ukitazama kwa makini teuzi zake utagundua tatizo kubwa sana kwenye kichwa cha huyo mjalaana ....NO LOGIC KWENYE KILA HATUA ANAYO CHUKUA NI UPUMBAVU MYUPU HADI UNASHINDWA KUMUELEWA LENGO LAKE NI NINIHASA AU ANA SHIDA GANI AU ANATAKA NINI ...mfano ni kama hapo kumuondoa waziri wa ardhi...inajenga taswila gani kwa taifa ? Kwamba anapendezwa na dhuruma ndiyo maana kamuondoa huyo waziri ?.....jibu ni moja tu nalo ni ili nililo lisema sana hapa

👇
Mjalaana wa zanzibar
 
Watanzania wengi wana uwezo mdogo sana wa kupima ufanisi wa kiongozi! Wanaridhika sana na kashkashi za kiongozi majukwaani/kwenye hadhara, na kuona kiongozi ni mchapakazi! Hizo mbwembwe!

Silaa ni kiongozi mbovu kabisa, msihadaike na mbwembwe zake. Hana weledi, hatii sheria, hana integrity wala consistency!

Amini, viongozi wa aina yake, walishafunga mkutano tu, hana muda tena na watu husika, anasepa kwenda kuibua lingine.

Akifuatwa wizarani, ndio wanashauriwa sasa watu waende mahakamani kama wana malalamiko.

Kiongozi sio kelele!
Kama ni mbovu je anaye mpa uwaziri kila kukicha huyo ni mzima ?
 
Niaje waungwana

Japo hakuna mtu mwenye dhamana ya kumpangia raisi kile anachoamua, lakini katika hili la kumtoa Silaa ardhi na kwenda kumtupa huko kwenye habari kwa kweli Rais wetu amefanya kosa la kiufundi sana.

Jerry alikuwa ashaanza kuwashughulikia vibaka na matapeli wa ardhi wote, yaani mmoja baada ya mwingine hadi kupelekea wengine kutupwa ndani. Sasa leo anapotolewa na kupelekwa wizara nyingine ni kuwapa nafasi wale wote waliokuwa washaanza kurudisha ardhi walizotapeli kabla kiama hakijawashukia waendelee nazo na pengine kuendelea kutapeli na zingine kwani aliekuwa anawapa tumbo joto kaondolewa na kupelekwa kungine.

Najiuliza, kwanini hiyo wizara ya habari asingepewa hata Mwana FA, ili Silaa aendelee kuwanyoosha wezi na vibaka wa ardhi za watu!

Anyway acha tuone mwisho wa game utakuaje. Lakini mama kama unatusikia na kufanikiwa kusoma uzi huu tafadhali TUNAOMBA (kwa herufi kubwa) UMRUDISHE JERRY SILAA W/ ARDHI 🙏🙏
Biden wamemzuia kugombea urais kutokana na matatizo ya akili ila cha ajabu hapa tz tunaje mgonjwa wa akili kuliko biden ila tuna msifu kuwa anaupiga mwingi ...ukitazama kwa makini teuzi zake utagundua tatizo kubwa sana kwenye kichwa cha huyo mjalaana ....NO LOGIC KWENYE KILA HATUA ANAYO CHUKUA NI UPUMBAVU MTUPU HADI UNASHINDWA KUMUELEWA LENGO LAKE NI NINI HASA AU ANA SHIDA GANI AU ANATAKA NINI ...mfano ni kama hapo kumuondoa waziri wa ardhi...inajenga taswila gani kwa taifa ? Kwamba anapendezwa na dhuruma ndiyo maana kamuondoa huyo waziri ?.....jibu ni moja tu nalo ni ili nililo lisema sana hapa
👇
LAANA... SAMIA UMELANIWA KULIKO WANAWAKE WOTE NA ABDUL MZAWA WA TUMBO LAKO KALAANIWA ....TOKEA SASA VIZAZI VYOTE VITAKUITA MLAANIWA.

Niwazi kuwa tunaongozwa na MJALAANA NDIYO MAANA YUPO KUWA FURAHISHA WAHUNI NA MAFISADI NA WAARABU NA MABEBERU DHIDI YA WANANCHI ...PITIA HATA MAMBO YA CHANJO FEKI ZA KORONA.
Namna alivyo tumia nguvu kuwa tii mabeberu.
 
Migogoro ya ardhi iko nchi nzima na Tanzania siyo kijiji ufanyaji kazi wake ni wakishamba sana huwenda amesaidia watu mia mbili katika laki nane ambao walihitaji msaada wake unafikiri ingemchukua miaka mingapi kuwamaliza hao wote
Hajakuwa Kisomi, waziri msomi fanya Kisomi
Hana alichofanya zaidi ya kuwavimbia tu raia huko site
 
Yes alianza kujisahau. Mimi nilikuwa napenda ufanyaji kazi wake lkn nilivyoona kwanza tukio la kwanza mwananchi anamhoji maswali nae akajibu wanapenda kwenye ziara wanakutana na watu kama hawa wanaojitafutia sifa kuongea,nilianza kuona kiburi Cha MADARAKA kimemuamza. Tukio la pili ni la yule kijana aliekuwa analia anafatilia nyumba ya Babu yake ambae alikwenda mpaka ikulu, alipofika ofisini kwa Jerry akiwa na bibi yake..Jerry alionekana kukasirika kabisa na kwa dharau akimuliza kwann yy ndo afatilie na sio bibi
Tukio la mwisho na la kivhefuchefu ni lile anamwita ocd kamata huyu tia ndani kisa tu mwananchi anajielezea nae hajapendezwa na anachoongea mwananchi wakati ukimsikiliza ana hoja za msingi...mwache awekwe huko mawasiliano ambapo hatakutana na wananchi na kuwakaripia. Inshort wamemsaidia kumtoa hapo
Tukio baya lililomwondoa ni kuvamia wakazi wa CCT Morogoro na kuwatisha wananchi kuwaweka ndani bila kosa wakati wakielezea changamoto za ardhi yeye akadata kwa ujeuri wa madaraka akamfukuza mwanajeshi aliyekuwa akijieleza kwa dharau na hasira akishirikiana na dada mmoja mweupe hivi
 
Niaje waungwana

Japo hakuna mtu mwenye dhamana ya kumpangia raisi kile anachoamua, lakini katika hili la kumtoa Silaa ardhi na kwenda kumtupa huko kwenye habari kwa kweli Rais wetu amefanya kosa la kiufundi sana.

Jerry alikuwa ashaanza kuwashughulikia vibaka na matapeli wa ardhi wote, yaani mmoja baada ya mwingine hadi kupelekea wengine kutupwa ndani. Sasa leo anapotolewa na kupelekwa wizara nyingine ni kuwapa nafasi wale wote waliokuwa washaanza kurudisha ardhi walizotapeli kabla kiama hakijawashukia waendelee nazo na pengine kuendelea kutapeli na zingine kwani aliekuwa anawapa tumbo joto kaondolewa na kupelekwa kungine.

Najiuliza, kwanini hiyo wizara ya habari asingepewa hata Mwana FA, ili Silaa aendelee kuwanyoosha wezi na vibaka wa ardhi za watu!

Anyway acha tuone mwisho wa game utakuaje. Lakini mama kama unatusikia na kufanikiwa kusoma uzi huu tafadhali TUNAOMBA (kwa herufi kubwa) UMRUDISHE JERRY SILAA W/ ARDHI 🙏🙏


Kwa kweli wala si uongo.

Inasikitisha mno.
Unaweza kuzani Pengine labda hakuna seriousness ktk kuweka misingi ya haki kwenye maswala ya ardhi wakati hata Rais mstaafu JK aliwahi kusema kule ni shida kubwa,
Sasa kapatikana mwenye moyo wa utayari kujitoa mhanga kushughulikia anaondolewa?!
Maana yake ni nini?
 
Watanzania wengi wana uwezo mdogo sana wa kupima ufanisi wa kiongozi! Wanaridhika sana na kashkashi za kiongozi majukwaani/kwenye hadhara, na kuona kiongozi ni mchapakazi! Hizo mbwembwe!

Silaa ni kiongozi mbovu kabisa, msihadaike na mbwembwe zake. Hana weledi, hatii sheria, hana integrity wala consistency!

Amini, viongozi wa aina yake, walishafunga mkutano tu, hana muda tena na watu husika, anasepa kwenda kuibua lingine.

Akifuatwa wizarani, ndio wanashauriwa sasa watu waende mahakamani kama wana malalamiko.

Kiongozi sio kelele!
Wwe lazima utakua tapeli la Aridhi ulie guswa na mkono wa chuma wa Jerry, sasa unatopoka kwa hasira,achaa utapeli wa Aridhi!!!
 
Mpaka sasa sijaelewa kwann wamemtoa pale
Wakati aneshasaidia kesi kadhaa
Na alikuwa anaenda vzr.
Duh hii nchi sijui Huwa wanawaza nn jmn kabla hawajafanya mabadiriko.

Wanirudishe slaa
 
Wwe lazima utakua tapeli la Aridhi ulie guswa na mkono wa chuma wa Jerry, sasa unatopoka kwa hasira,achaa utapeli wa Aridhi!!!
Hoja yangu ni kusaidia wengi wenye kufurahia sarakasi za viongozi majukwaani, ukiwemo wewe!

Sasa mtu kama wewe nikikusanua kwamba Magufuli alikuwa kiongozi mbovu, utakubali? Au ndio utaanza kulia!
 
Niaje waungwana

Japo hakuna mtu mwenye dhamana ya kumpangia raisi kile anachoamua, lakini katika hili la kumtoa Silaa ardhi na kwenda kumtupa huko kwenye habari kwa kweli Rais wetu amefanya kosa la kiufundi sana.

Jerry alikuwa ashaanza kuwashughulikia vibaka na matapeli wa ardhi wote, yaani mmoja baada ya mwingine hadi kupelekea wengine kutupwa ndani. Sasa leo anapotolewa na kupelekwa wizara nyingine ni kuwapa nafasi wale wote waliokuwa washaanza kurudisha ardhi walizotapeli kabla kiama hakijawashukia waendelee nazo na pengine kuendelea kutapeli na zingine kwani aliekuwa anawapa tumbo joto kaondolewa na kupelekwa kungine.

Najiuliza, kwanini hiyo wizara ya habari asingepewa hata Mwana FA, ili Silaa aendelee kuwanyoosha wezi na vibaka wa ardhi za watu!

Anyway acha tuone mwisho wa game utakuaje. Lakini mama kama unatusikia na kufanikiwa kusoma uzi huu tafadhali TUNAOMBA (kwa herufi kubwa) UMRUDISHE JERRY SILAA W/ ARDHI 🙏🙏
Badirisha tittle mkuu, address Kwa rais
 
Mama anashauriwa na matakataka! Yameoma Jerry Silaa ameyabana yameamua kumfitini kwa mama! Mama naye sijui hashughulishi ubongo?
Tatizo la mama ni kupenda kuamini kila aliemzunguka. Hajui kwamba kuna wengine wapo pale kwa lengo la kumuhujumu na kumkwamisha kwa namna ambayo yeye hawezi kuiona.
 
Mifumo imara haitahitaji 'watu imara' itakuwa na watu sahihi. Tuboreshe la kwanza!
 
Back
Top Bottom