Jerry Silaa na matumizi mabaya ya Madaraka: Waziri kapata wapi mamlaka kuwaweka mahabusu watanzania?

Jerry Silaa na matumizi mabaya ya Madaraka: Waziri kapata wapi mamlaka kuwaweka mahabusu watanzania?

Jamaa hajui kuongea na authority.
Umevamia eneo, unaulizwa swali unaanza kupiga chenga na kuleta madharau.
Mimi naona Jerry Slaa yupo sawa. Imevamia eneo la serikali, utakamatwa na kufunguliwa mashtaka. Cha ajabu ni nini hapo?
 
1000138119.jpg
 
Kama hadharani wanaamlisha hivi watu wanaotofautiana nao huko gizani wanapanga mangapi juu yakudhuru watu wenye mitazamo tofauti na wanayoyataka wao?

We are not safe at all. Watu wanatumia vibaya sana nafasi zao pasipo kuangalia sheria wala taratibu
 
Katika hili tukio ambapo waziri wa ardhi Jerry Silaa anaamuru OCD kumkamata mzungumzaji kosa la anayezungumza ni nini?View attachment 3042185
vinaja wanalewa madaraka na wanakuwa na viburi utafikiri watafia humohumo kwenye madaraka. hata sijaelewa mwananchi huyo amekosea nini, kuzarauliwa hivyo mbele za watu, na huyo jerry, who is he na kwa mamlaka gani anasema OCD aondoke na yule jamaa? amekosa nini, na yeye ana mamlaka gani kisheria kuamuru mtu asiye na kosa akamatwe?
 
Ukweli Waziri alibugi
Hakuwa na sababu ya kupaniki

Ila unaonekana Waziri kaanza kukata pumzi

Rejea yule Mama aliye vamiwa na kaya 80 na ana amri ya Mahakama ya kuwaondoa
Waziri ana Pinga

Wakati walio vamia Ardhi ya Wazanzibari Bagamoyo wanaitwa wavamizi na waondoke kwenye iliyokuwa Ranchi iliyo filisika

Hapo ndiyo napoona undumilakuwili Waziri

Wavamizi wanaolindwa na ccm wanaambiwa wasiwe na taharuki
Hii imekaaje Nkuhungu broad acre Dodoma
 
Jamaa hajui kuongea na authority.
Umevamia eneo, unaulizwa swali unaanza kupiga chenga na kuleta madharau.
Mimi naona Jerry Slaa yupo sawa. Imevamia eneo la serikali, utakamatwa na kufunguliwa mashtaka. Cha ajabu ni nini hapo?
hiyo authority, wala sio authority, mwenye authority hapo ni mwananchi, jerry hata hilo shati kavaa kwa kodi za hao wananchi, na aliyemteua ameweka madarakani na hao wananchi. kwanini hampi nafasi ya kusikilizwa ili atatue tatizo?
 
Wanasema Boss hakosei...Kibongo bongo n Haramu kubishana na Boss mbele za watu
nina uhakika, aliko huko,kwa umri wake ukilinganisha na huyo mwananchi, akiona hii clip atajisikia vibaya sana, kwasababu hategemewi abehave namna hiyo. inawezekana kichwa kilichoka, si unajua sometimes ukichoka emotions zinapanda, ila hata yeye mwenyewe anajua amefanya upumbavu.
 
Back
Top Bottom