Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Jerry Silaa ni authority?Usipende kutumia neno
Ngoja kwanza
Kwani hukusikia?
Huelewi?
Sikiliza basi ...
Sasa si ndiyo nakwambia?
Kwani we unaonaje?
Hebu tuliza kwanza .... Etc ni maneno yanayoonyesha dharau kwa authority.