GwaB
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 4,291
- 5,786
Slaa anaumia kuona kama anaporwa nafasi ya kuhutubia....maana ni yeye tu anapaswa kuhutubia vinginevyo ataamrisha polisi wakufunge masaa 24.....Ndio zile za: " Hivi unanijua mimi ni nani"?.... Zimerudi kwa Kasi! 🤔Katika hili tukio ambapo waziri wa ardhi Jerry Silaa anaamuru OCD kumkamata mzungumzaji kosa la anayezungumza ni nini?View attachment 3042185