Mr. Purpose
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 1,468
- 2,767
Yetu macho. Hii nchi tuna safari ndefu sana,Wataomba waongezewe mshahara ndio waanze kukatwa
Mbunge wa Ukonga Jerry Slaa, amesema imefikia hatua Wabunge waanze kulipa kodi kupitia mishahara yao ili wapate uwezo wa kuwaambia Wananchi na wao walipe kodi.
Silaa ameyasema hayo katika mkutano wa hadhara uliowashirikisha wananchi wa Mzinga Ukonga jijini Dar es Salaam wakati akizungumzia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Maendeleo jimboni kwake.
"Mie nimeanza Ubunge juzi mwaka jana mwezi wa 11, kwahiyo nimekuta hayo yanayosemwa mengine yameshapitishwa tayari Bungeni na katika hili niungane na Mbunge wa Kinondoni, Abbas Tarimba kwamba vikiliwa vya Mwali na vya Kungwi viliwe”
“Ni wakati muafaka sisi Waheshimiwa Wabunge ili tupate uwezo wa kuwaambia Watu waanze kulipa kodi na sisi tuanze kulipa kodi katika mishahara yetu, hakuna sababu ya kuwa wengine wanalipa wengine hawalipi ukishakuwa haulipi unakosa ile nguvu ya kumwambia mwenzako alipe”
“Kwahiyo niseme tu kwamba kazi kubwa inayotakiwa tuifanye sisi kama viongozi ni kutowadanganya Watanzania kwamba tunaweza kuiendesha nchi bila Kodi, haitowezekana”-Jerry Silaa
View attachment 1864641
Jitahidi lakini huko CCM wenzio hawataki akili hizo. Kwanza hilo halimo kwenye ilani yenu.Namuunga mkono Mh.Mbunge wangu......
It's a waking up call.....
Wabunge waanze kukatwa Kodi katika mishahara yao!
#NikoNaMbungeWanguMh.Silaa
#KaziIendelee
Na maneno yake yakatunzwe katika maktaba kuu Dar es SalaamSanamu lake lichongwe na kuwekwa makao makuu Dodoma.
Bora huyu lakini inatakiwa hiyo hoja yake aipeleke kabisa bungeniMbunge wa Ukonga Jerry Slaa, amesema imefikia hatua Wabunge waanze kulipa kodi kupitia mishahara yao ili wapate uwezo wa kuwaambia Wananchi na wao walipe kodi.
Silaa ameyasema hayo katika mkutano wa hadhara uliowashirikisha wananchi wa Mzinga Ukonga jijini Dar es Salaam wakati akizungumzia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Maendeleo jimboni kwake.
"Mie nimeanza Ubunge juzi mwaka jana mwezi wa 11, kwahiyo nimekuta hayo yanayosemwa mengine yameshapitishwa tayari Bungeni na katika hili niungane na Mbunge wa Kinondoni, Abbas Tarimba kwamba vikiliwa vya Mwali na vya Kungwi viliwe”
“Ni wakati muafaka sisi Waheshimiwa Wabunge ili tupate uwezo wa kuwaambia Watu waanze kulipa kodi na sisi tuanze kulipa kodi katika mishahara yetu, hakuna sababu ya kuwa wengine wanalipa wengine hawalipi ukishakuwa haulipi unakosa ile nguvu ya kumwambia mwenzako alipe”
“Kwahiyo niseme tu kwamba kazi kubwa inayotakiwa tuifanye sisi kama viongozi ni kutowadanganya Watanzania kwamba tunaweza kuiendesha nchi bila Kodi, haitowezekana”-Jerry Silaa
View attachment 1864641
Na maneno yake yakatunzwe katika maktaba kuu Dar es Salaam
Inanukia wapi?Katiba mpya inanukia!
Si wanadai kuwa mishahara yao (wabunge) inatumika kulipia mahitaji ya wapiga kura wao, suala ambalo halina ukweli wowote. Hawana aibu hata kusema wapiga kura wao huwafuata mpaka bungeni kuwapelekea shida zao.Hivi kigezo gani kilitumika ili kusema wabunge wasilipe kodi?
This is very unfair kwa wananchi wengine. Wote tulipe kodi bila kubagua.
Sawa.....Jitahidi lakini huko CCM wenzio hawataki akili hizo. Kwanza hilo halimo kwenye ilani yenu.
Wanafiki wakubwa hawa, wakiwa bungeni wanakaa kimya wakija huku nje wanabwabwajaMbunge wa Ukonga Jerry Slaa, amesema imefikia hatua Wabunge waanze kulipa kodi kupitia mishahara yao ili wapate uwezo wa kuwaambia Wananchi na wao walipe kodi.
Silaa ameyasema hayo katika mkutano wa hadhara uliowashirikisha wananchi wa Mzinga Ukonga jijini Dar es Salaam wakati akizungumzia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Maendeleo jimboni kwake.
"Mie nimeanza Ubunge juzi mwaka jana mwezi wa 11, kwahiyo nimekuta hayo yanayosemwa mengine yameshapitishwa tayari Bungeni na katika hili niungane na Mbunge wa Kinondoni, Abbas Tarimba kwamba vikiliwa vya Mwali na vya Kungwi viliwe”
“Ni wakati muafaka sisi Waheshimiwa Wabunge ili tupate uwezo wa kuwaambia Watu waanze kulipa kodi na sisi tuanze kulipa kodi katika mishahara yetu, hakuna sababu ya kuwa wengine wanalipa wengine hawalipi ukishakuwa haulipi unakosa ile nguvu ya kumwambia mwenzako alipe”
“Kwahiyo niseme tu kwamba kazi kubwa inayotakiwa tuifanye sisi kama viongozi ni kutowadanganya Watanzania kwamba tunaweza kuiendesha nchi bila Kodi, haitowezekana”-Jerry Silaa
View attachment 1864670
TWALINGOJA kwenye bunge lenu.Sawa.....
Mh.Jerry Silaa ameanza nalo....
Litapokelewa tu vyema.....
#KaziIendelee
Kwani alipoliongelea hapo HATASIKIWA NA WABUNGE WENZAKE?!!Wanafiki wakubwa hawa, wakiwa bungeni wanakaa kimya wakija huku nje wanabwabwaja