B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,403
Ifike mahali walahi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikijaga kutokea hali hii baas utakua ni uzalendo wa hali ya juu kbs nasi tutashawishika kulipa kodi kwa maendeleo ya taifaMbunge wa Ukonga Jerry Slaa, amesema imefikia hatua Wabunge waanze kulipa kodi kupitia mishahara yao ili wapate uwezo wa kuwaambia Wananchi na wao walipe kodi.
Silaa ameyasema hayo katika mkutano wa hadhara uliowashirikisha wananchi wa Mzinga Ukonga jijini Dar es Salaam wakati akizungumzia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Maendeleo jimboni kwake.
"Mie nimeanza Ubunge juzi mwaka jana mwezi wa 11, kwahiyo nimekuta hayo yanayosemwa mengine yameshapitishwa tayari Bungeni na katika hili niungane na Mbunge wa Kinondoni, Abbas Tarimba kwamba vikiliwa vya Mwali na vya Kungwi viliwe”
“Ni wakati muafaka sisi Waheshimiwa Wabunge ili tupate uwezo wa kuwaambia Watu waanze kulipa kodi na sisi tuanze kulipa kodi katika mishahara yetu, hakuna sababu ya kuwa wengine wanalipa wengine hawalipi ukishakuwa haulipi unakosa ile nguvu ya kumwambia mwenzako alipe”
“Kwahiyo niseme tu kwamba kazi kubwa inayotakiwa tuifanye sisi kama viongozi ni kutowadanganya Watanzania kwamba tunaweza kuiendesha nchi bila Kodi, haitowezekana”-Jerry Silaa
View attachment 1864670
Hii kitu hata Mwl shulen hutoa msaada kwa wanafunzi wake pale tu anapkuja akiwa na shida lakin kodi iko palepale na mshahara wake kidogo.Si wanadai kuwa mishahara yao (wabunge) inatumika kulipia mahitaji ya wapiga kura wao, suala ambalo halina ukweli wowote. Hawana aibu hata kusema wapiga kura wao huwafuata mpaka bungeni kuwapelekea shida zao.
Mifumo ya kodi nchi hii Mimi naushangaaHuu ndio uzalendo lol
Kumbe? Ndio nasikia hili leoKwani alipoliongelea hapo HATASIKIWA NA WABUNGE WENZAKE?!!
Hayo ni maandalizi ya KULIONGEA BUNGENI.....
It's a waking up call....
#HayaNdiyoMambo
#NchiKwanza
#KaziInaendelea
Angalau huyu kaongea kitu kizuri. Waongezeke wabunge kama hawa wanaofikiria vizuri. Sio sabufa ana bwatuka tuu pwaa pwaaaMbunge wa Ukonga Jerry Slaa, amesema imefikia hatua Wabunge waanze kulipa kodi kupitia mishahara yao ili wapate uwezo wa kuwaambia Wananchi na wao walipe kodi.
Silaa ameyasema hayo katika mkutano wa hadhara uliowashirikisha wananchi wa Mzinga Ukonga jijini Dar es Salaam wakati akizungumzia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Maendeleo jimboni kwake.
"Mie nimeanza Ubunge juzi mwaka jana mwezi wa 11, kwahiyo nimekuta hayo yanayosemwa mengine yameshapitishwa tayari Bungeni na katika hili niungane na Mbunge wa Kinondoni, Abbas Tarimba kwamba vikiliwa vya Mwali na vya Kungwi viliwe”
“Ni wakati muafaka sisi Waheshimiwa Wabunge ili tupate uwezo wa kuwaambia Watu waanze kulipa kodi na sisi tuanze kulipa kodi katika mishahara yetu, hakuna sababu ya kuwa wengine wanalipa wengine hawalipi ukishakuwa haulipi unakosa ile nguvu ya kumwambia mwenzako alipe”
“Kwahiyo niseme tu kwamba kazi kubwa inayotakiwa tuifanye sisi kama viongozi ni kutowadanganya Watanzania kwamba tunaweza kuiendesha nchi bila Kodi, haitowezekana”-Jerry Silaa
View attachment 1864670
Kamfunga paka kengere na Mungu amlinde,Sasa yule mbunge alisema mshahara hautoshi akisikia hiki Tena🤣🤣Now we are talking ......... We finally, found someone who has the courage to speak it out!!
Sasa akaongelee hili swala bungeni ..... Ila nafikiri mpaka sasa atakuwa amepigiwa simu na akina Ndugai kumpiga mkwara!!