Jerry Silaa: Wabunge tuanze kukatwa kodi kwenye Mishahara yetu
Ni Jambo jema lililoongelewa na mbunge lakini pia waangalie na viwango vya Kodi navyo viangaliwe viwe rafiki vinavyasababisha mlipa Kodi kutafuta ofisi ya tra.badala ya Kodi kutafuta na mitutu ya bunduki
 
Angeliongelea bungeni tena kwa kupeleka muswaada binafsi....kuliongelea uraiani ni alama zile zile za kinafiki tu, kama kuongea tu hata sisi uraiani tunaliongelea sana...
 
Na mafao yenu mkichukua na miaka 55 itapendeza zaidi

ili muwe na nguvu ya kusema hilohilo kwa wananchi
 
Mbunge wa Ukonga Jerry Slaa, amesema imefikia hatua Wabunge waanze kulipa kodi kupitia mishahara yao ili wapate uwezo wa kuwaambia Wananchi na wao walipe kodi.

Silaa ameyasema hayo katika mkutano wa hadhara uliowashirikisha wananchi wa Mzinga Ukonga jijini Dar es Salaam wakati akizungumzia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Maendeleo jimboni kwake.

"Mie nimeanza Ubunge juzi mwaka jana mwezi wa 11, kwahiyo nimekuta hayo yanayosemwa mengine yameshapitishwa tayari Bungeni na katika hili niungane na Mbunge wa Kinondoni, Abbas Tarimba kwamba vikiliwa vya Mwali na vya Kungwi viliwe”

“Ni wakati muafaka sisi Waheshimiwa Wabunge ili tupate uwezo wa kuwaambia Watu waanze kulipa kodi na sisi tuanze kulipa kodi katika mishahara yetu, hakuna sababu ya kuwa wengine wanalipa wengine hawalipi ukishakuwa haulipi unakosa ile nguvu ya kumwambia mwenzako alipe”

“Kwahiyo niseme tu kwamba kazi kubwa inayotakiwa tuifanye sisi kama viongozi ni kutowadanganya Watanzania kwamba tunaweza kuiendesha nchi bila Kodi, haitowezekana”-Jerry Silaa
View attachment 1864670
huyu ataitwa na kamat ya Bunge.. pale ccm hakuna wabunge wapo kwa ajili ya matumbo yao
 
Mishahara yao ni ya kawaida 3.8M, ikikatwa kodi hawatahisi maumivu, pesa ipo kwenye posho zinazopelekea mbunge kulipwa 11M huko ndiko walikochepushia kodi nyingi ambayo ikikatwa ingewauma.
 
Mbunge wa Ukonga Jerry Slaa, amesema imefikia hatua Wabunge waanze kulipa kodi kupitia mishahara yao ili wapate uwezo wa kuwaambia Wananchi na wao walipe kodi.

Silaa ameyasema hayo katika mkutano wa hadhara uliowashirikisha wananchi wa Mzinga Ukonga jijini Dar es Salaam wakati akizungumzia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Maendeleo jimboni kwake.

"Mie nimeanza Ubunge juzi mwaka jana mwezi wa 11, kwahiyo nimekuta hayo yanayosemwa mengine yameshapitishwa tayari Bungeni na katika hili niungane na Mbunge wa Kinondoni, Abbas Tarimba kwamba vikiliwa vya Mwali na vya Kungwi viliwe”

“Ni wakati muafaka sisi Waheshimiwa Wabunge ili tupate uwezo wa kuwaambia Watu waanze kulipa kodi na sisi tuanze kulipa kodi katika mishahara yetu, hakuna sababu ya kuwa wengine wanalipa wengine hawalipi ukishakuwa haulipi unakosa ile nguvu ya kumwambia mwenzako alipe”

“Kwahiyo niseme tu kwamba kazi kubwa inayotakiwa tuifanye sisi kama viongozi ni kutowadanganya Watanzania kwamba tunaweza kuiendesha nchi bila Kodi, haitowezekana”-Jerry Silaa
View attachment 1864670
kasemaje kuhusu bara bara ya Mombasa -Moshi bar? yaani ina mashimo utadhani tupo mtwara huko kwa kina hamonaiiz kumbe tupo dsm .. kheee
 
Mbunge wa Ukonga Jerry Slaa, amesema imefikia hatua Wabunge waanze kulipa kodi kupitia mishahara yao ili wapate uwezo wa kuwaambia Wananchi na wao walipe kodi.

Silaa ameyasema hayo katika mkutano wa hadhara uliowashirikisha wananchi wa Mzinga Ukonga jijini Dar es Salaam wakati akizungumzia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Maendeleo jimboni kwake.

"Mie nimeanza Ubunge juzi mwaka jana mwezi wa 11, kwahiyo nimekuta hayo yanayosemwa mengine yameshapitishwa tayari Bungeni na katika hili niungane na Mbunge wa Kinondoni, Abbas Tarimba kwamba vikiliwa vya Mwali na vya Kungwi viliwe”

“Ni wakati muafaka sisi Waheshimiwa Wabunge ili tupate uwezo wa kuwaambia Watu waanze kulipa kodi na sisi tuanze kulipa kodi katika mishahara yetu, hakuna sababu ya kuwa wengine wanalipa wengine hawalipi ukishakuwa haulipi unakosa ile nguvu ya kumwambia mwenzako alipe”

“Kwahiyo niseme tu kwamba kazi kubwa inayotakiwa tuifanye sisi kama viongozi ni kutowadanganya Watanzania kwamba tunaweza kuiendesha nchi bila Kodi, haitowezekana”-Jerry Silaa
View attachment 1864670
Kumbe tulikuwa tunawakilishwa na majizi!!!

Tufanye movement ya kutowarudisha bungeni wabunge wote waliokaa kimya juu ya jambo hili, kwamaneno mengine tutafute wabunge wapya watakaokwenda kulisemea hili bungeni, tunahitaji watu aina ya huyu jamaa
 
Mishahara yao ni ya kawaida 3.8M, ikikatwa kodi hawatahisi maumivu, pesa ipo kwenye posho zinazopelekea mbunge kulipwa 11M huko ndiko walikochepushia kodi nyingi ambayo ikikatwa ingewauma.
Walipwe kama watumishi wengine wa serikali wanavyofanyiwa, hizo allowance maficho ndizo zinazotuumiza wengine
 
Talimba aliongea akaja kukanusha, hala hala huyu nae asijekanusha siku za usoni..
 
Wataomba waongezewe mshahara ndio waanze kukatwa
Tunataka mishahara yao ipangwe na waajiri wao ambao ni wananchi, wasijipangiw wao, mtumishi wa serikali anapangiwa mshahara na mwajiri, nao kadhalika wawe hivyo
 
Watunga sheria wenye akili ndogo ni hatari sana kwa taifa. Nchi inavurugwa vurugwa hatuna misingi tunayosimamia bali wazo la aliye ikulu... Kodi bora niile inayotozwa kwenye kipato/faida kubwa sasa kutumiana pesa nikipato au huduma?? Tunawalipa zaidi ya mil 11 bila ridhaa yetu alafu hawataki kulipa kodi?? Majinga na manafiki makubwa
 
Mbunge wa Ukonga Jerry Slaa, amesema imefikia hatua Wabunge waanze kulipa kodi kupitia mishahara yao ili wapate uwezo wa kuwaambia Wananchi na wao walipe kodi.

Silaa ameyasema hayo katika mkutano wa hadhara uliowashirikisha wananchi wa Mzinga Ukonga jijini Dar es Salaam wakati akizungumzia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Maendeleo jimboni kwake.

"Mie nimeanza Ubunge juzi mwaka jana mwezi wa 11, kwahiyo nimekuta hayo yanayosemwa mengine yameshapitishwa tayari Bungeni na katika hili niungane na Mbunge wa Kinondoni, Abbas Tarimba kwamba vikiliwa vya Mwali na vya Kungwi viliwe”

“Ni wakati muafaka sisi Waheshimiwa Wabunge ili tupate uwezo wa kuwaambia Watu waanze kulipa kodi na sisi tuanze kulipa kodi katika mishahara yetu, hakuna sababu ya kuwa wengine wanalipa wengine hawalipi ukishakuwa haulipi unakosa ile nguvu ya kumwambia mwenzako alipe”

“Kwahiyo niseme tu kwamba kazi kubwa inayotakiwa tuifanye sisi kama viongozi ni kutowadanganya Watanzania kwamba tunaweza kuiendesha nchi bila Kodi, haitowezekana”-Jerry Silaa
View attachment 1864670

Ukitaka kula lazima uliwe... Jakaya Kikwete
 
Mbunge wa Ukonga Jerry Slaa, amesema imefikia hatua Wabunge waanze kulipa kodi kupitia mishahara yao ili wapate uwezo wa kuwaambia Wananchi na wao walipe kodi.

Silaa ameyasema hayo katika mkutano wa hadhara uliowashirikisha wananchi wa Mzinga Ukonga jijini Dar es Salaam wakati akizungumzia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Maendeleo jimboni kwake.

"Mie nimeanza Ubunge juzi mwaka jana mwezi wa 11, kwahiyo nimekuta hayo yanayosemwa mengine yameshapitishwa tayari Bungeni na katika hili niungane na Mbunge wa Kinondoni, Abbas Tarimba kwamba vikiliwa vya Mwali na vya Kungwi viliwe”

“Ni wakati muafaka sisi Waheshimiwa Wabunge ili tupate uwezo wa kuwaambia Watu waanze kulipa kodi na sisi tuanze kulipa kodi katika mishahara yetu, hakuna sababu ya kuwa wengine wanalipa wengine hawalipi ukishakuwa haulipi unakosa ile nguvu ya kumwambia mwenzako alipe”

“Kwahiyo niseme tu kwamba kazi kubwa inayotakiwa tuifanye sisi kama viongozi ni kutowadanganya Watanzania kwamba tunaweza kuiendesha nchi bila Kodi, haitowezekana”-Jerry Silaa
View attachment 1864670
marufukumikusanyiko kkumbe ililenga chadema2.
 
Back
Top Bottom