Jerry Silaa: Wabunge tuanze kukatwa kodi kwenye Mishahara yetu
Mkuu angalia saini za mama kwenye sheria ZAO

Kuwalima Kodi hawa lazima waidhinishwe kimaandishi hakunajinsi...
Msumari wa inchi 12 umewapasua vichwa wabunge kwishnei,hawana hoja wamegeuka magalasa,kwani yule dodoki alipokuja na tambo za kodi za solidarity, hakujua kumbe ameingia choo cha kike.

Kumbe kauli yake imewafunua wananchi kutambua kuwa mbunge ni mzigo na labda bila watu hao tutapunguza mizigo isikiokuwa lazima.
Mwana kulitafuta mwana kulipata.
 
Huyuu kijanaaa ameongeaa maneno makubwaa mazurii Sana sanaaa

Wakati muafaka mama Samia mkafanye marekebisho ya sheria za bunge Kodi ZIKATWE. Huwezii piga keleele bungeni MAKATO ya tozoo hukuu mnaiibia serikali kwa kutolipa Kodi...
CCM gang hapa hutawaona. Watakimbiana kqa sababu hayo makombo ya wabunge ndimo wanadowea dowea kupata Bando la kuja kutukana huku.
 
Msumari wa inchi 12 umewapasua vichwa wabunge kwishnei,hawana hoja wamegeuka magalasa,kwani yule dodoki alipokuja na tambo za kodi za solidarity, hakujua kumbe ameingia choo cha kike...
Ngoja tusikie wanasemaje😅😅
 
Slaa aache kutufanya wajinga. Kwanini hakutoa maoni hayo kwenye vikao vya bunge?

Kwa kutoa maoni hayo mbele ya wananchi wa jimbo lake anataka hao wananchi wakayafikishe bungeni kwa niaba yake?
 
Mbunge wa Ukonga Jerry Slaa, amesema imefikia hatua Wabunge waanze kulipa kodi kupitia mishahara yao ili wapate uwezo wa kuwaambia Wananchi na wao walipe kodi...
Mkuu Roving Kongore, japo kuwa mimi ni CCM lakini haya maneno ya J Slaa ni mbolea/madini. Ni aina ya wabunge tunaowatataka.
 
Akina Zitto walishasema sn pamoja na Kingu kuwa posho ziondolewe wabaki na per diem pekee
Mkuu hata mimi nashanga sana ni kwa nini wanaongoza njia wanalipwa fedha ya kufulu and then hawalipi kodi, unajua hii inachekesha sana, anyway under CCM kiongozi ni above the the law.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unafiki mtupu! Badala ya kutoa hii kauli akiwa bungeni, anasubiri aje Mzinga ndo abwabwaje mbele yetu walala hoi.!!
Anajikomba kwetu huyu.. sio bure!
 
Kwa siasa za Ccm ninavyozijua awamu ijayo atakatwa kwa kauli yake kama iyo
 
SPIKA AANZE KUJIBU HOJA ZA MH J.S SIO

TOZO ATUACHIE WANACHI TUTAMALIZANA NAYO
 
Kwani walikuwa hawalipi kodi?
Na kwanini walikuwa hawalipi?
Serikali kama mwajili na mlipaji Mkuu wa mishahara ya Watumishi ione busara kuanza kutoza kodi kila inayemlipa ili kuondoa matabaka na kukuza uzalendo kwa wengine kulipa kodi.
Kama ilishindikana kipindi cha awamu ya tano, haiwezekani katika awamu hii.
 
Back
Top Bottom