Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
Yaani hicho kipande billion 17.6 au mm sijaelewaMbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.
Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.
Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.
View attachment 2786231
Tz ya VIwandaTanzania Hii Hii
just imagine waziriii anaingizwaa king kifalaa hiviii... ndo maana MAGU atabaki kuwa kiongozi best miaka yoteYaani hicho kipande billion 17.6 au mm sijaelewa
Sema so mbaya .....kwa namna hii sijui tutafika wapijust imagine waziriii anaingizwaa king kifalaa hiviii... ndo maana MAGU atabaki kuwa kiongozi best miaka yote
Watu wanakwiba pesa banaHii ndio inaitwa kula kwa urefu wa kamba, kuna tenda naifukuzia sehemu, ikitiki ,mtakuja km hv ,ila wkt mie niko Ibiza na kula kuku[emoji23][emoji23]
Hizo ndio line, sio kulalamika lalamika tu, wakati watu wanakula mema, ni kudeal nao mdg mdgWatu wanakwiba pesa bana
[emoji1]
Ova
Upigaji wa safari hii,maninaaaaMbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.
Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.
Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.
View attachment 2786231
Yaani hicho kipande billion 17.6 au mm sijaelewa
Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.
Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.
Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.
View attachment 2786231
Nchi yangu Upigaji kwenda mbele.Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.
Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.
Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.
View attachment 2786231
Hapo hela halali usikute ni bilioni moja tu. Hiyo iloyobakia yote usikute imeishia mifukoni mwa wajanja.Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.
Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.
Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.
View attachment 2786231
Subiri mpewe mchanganuo na mainjinia wa chichiem [emoji1]Hilo daraja halina utofauti na lililojengwa kifuru kwa masista ambalo liligharimu takribani 600m sasa hiyo 16.4B imetumika kufanya kipi tena?