Jerusalem: Sababu tatu za kuzuka kwa ghasia kati ya Wapalestina na Wayahudi

Dunia nzima waislam akili zao ni moja wanawaza fujo mda wote kuua kuandamana kujitoa mhanga,
Kusingekuwepo uislam tungekaa kwa aman sana ila nashukuru mungu aliwapa nguvu Israeli, na wazungu maana wanashughulikiwa kisawa sawa very good
Cha ajabu Tanzania kunawaislamu na hawafanyi hayo je ww kwa akili zako unajiona uko sawa?

kasome kwanz uislamu ndo urudi kuandika

Maana hapo unaonekana hata uislamu wenyw huujui
 
Shida maeneo hawa watu vipi ? Waende hata jangwani huko wakaanzishe maisha mapya. Wote hao ni ndugu waamue mambo kifamilia zaidi
 
Nasikia chanzo Cha yote hayo ni mkate wa dengu. Mtu aliuza haki ya uzaliwa wake wa Kwanza kwa mkate wa dengu, kuanzia hapo, mdogo akaanza kubarikiwa. Chuki na Vita vikaanza
 
Mkuu natamani sana kuijua hii historia maana huwa sielewi hao wapalestina walitokea wapi mpaka kwenda kuvamia nchi ya watu? Na wao waisrael walikuwa wapi mpaka wapalestina wanajenga mizizi
Israel nchi imeundwa 1940s

Baada ya UNO kugawa eneo l Palestine
 
View attachment 1781647

Hawa jamaa naona kama kila kitu utata, hata ramani haieleweki,
  • Palestina hapo iko wapi hapa kwenye ramani?
  • Ukanda wa Gaza nao ni upi?
  • Yordani nayo ni kama nchi lakini haina mji mkuu
  • Nani anagombania nini hapo?
1.Hakuna taifa linaloitwa Palestina ila kuna mamlaka ya kiuongozi ya Palestina ambayo inaongoza baadhi ya maeneo ndani ya Israel,ikiwa imeshikilia maeneo kama Bethlehem,Baadhi ya Maeneo ya Jerico,Gaza na maeneo kadhaa.
2.Yordani ni nchi kamili na mji mkuu wake ni Aman.
 
Unaonekana hata history huijui nenda kasome history ya kuanzishawa kwa Israel
 
Unaonekana hata history huijui nenda kasome history ya kuanzishawa kwa Israel
Nimeongea uhalisia uliopo sasa,hakuna taifa linaitwa Palestina,hao unaowaita wapalestina wote wanatumia passport za Israeil na wako huru kuchangamana kwenye maeneo yenye wakazi wa Israeil tofauti na Waisrael ambao hawaruhusiwi kuingia maeneo yaliyoko chini ya mamlaka ya Palestina
 
Kasome history ya nchi hzo mbili na uweke udini pemben alfu ujekuona kma kuna haki inatendeka hapo
 
Kwani naaongea uongo,fuatiria masuala yote ya Imaani kwa kinachoendelea sasa hivi duniani,Selikali yote ya Saudia Arabia sasa hivi wako ndani ya Mwezi mtukufu wa Ramadhani,Ukija kwenye kwenye Ukristo utaukuta Roma,au labda unazani waisiraeli ni walokole kama wewe?
 
Unaomba historia kwa asiyejua historia pole sana,labda kwa kukusaidia baada ya Vita kuu ya pili ya Dunia walitaka waletwe East Africa Uganda Maana kabla ya hapo walikuwa hawana kwao walikuwa wametapakaa Dunia nzima,Inchi ya Israel imeasisiwa baada ya vita ya pili ya Dunia na waliwakuta Waparestina. Nitakupa na Stori ya kidini ili Uelewe sio kushabikia vitu ambavyo hamvijui kwa Miemuko ya Dini
 
Walikuwa kimya kumbe, wanachaji betri na kujaza mafuta, sasa naona wapo fit, zipigwe tu!
Assad apumzike huko Syria.
Ila Israel buana akirushiwa jiwe yeye anatupa kombora la masafa marefu kabisaa.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Acha ya uane tu wakati mababu zetu wanaenda kuunzwa utumwani hakuna ata mmoja wao apo alitutetea mimi naanzaje kuwa na huruma nao huruma mimi sina anayo Mungu tu.
 
Cha ajabu Tanzania kunawaislamu na hawafanyi hayo je ww kwa akili zako unajiona uko sawa?

kasome kwanz uislamu ndo urudi kuandika

Maana hapo unaonekana hata uislamu wenyw huujui
Waislamu wapi watz ambao hawafanyi hayo?

Ukikuwepo enzi za utawala wa JK wewe?

Unafikiri wale mashehe waliopo mahabusu ni kwasababu wavaa kanzu ndio maana wako pale?

Unaikumbuka ishu ya kuchinja iliyotokea kule mwanza na kuanza kusambaa nchi nzima?

Magufuli ndio alikuja kuwakomesha ila tulikuwa tunaelekea huko huko.
 
Kasome history ya nchi hzo mbili na uweke udini pemben alfu ujekuona kma kuna haki inatendeka hapo
Historia yao naijua vizuri na nimeisoma kwa pande zote,Ukirudi kwenye historia ni lazima imani za kidini ndio zihusike,kwa hivyo nikiangalia kwenye misingi ya dini.Taifa la Israeli lina wakazi jumuishi ambao wayahudi ni 75%,waislamu ni 17%,wakristo ni 2%,wasamalia,wabahai na imani ndogo ndogo wao ni 6% na wanaojimbulisha kama wapalestina ni takribani 60%ya waislamu,43% ya wasamalia,32%ya wakristo na 6% Ya Wayahudi.Hapo utaona jinsi wayahudi walivyo wameza hao wengine kwa idadi na ndio watawala wenyewe nguvu kwa miaka mingi maeneo hayo huku wakimilki idadi kubwa ya ardhi .Kwa hiyo nikifuata misingi ya dini lazima Imani kubwa hapo ni wayahudi na ndio watawala wa miliki yote ya Israeli kama taifa na Palestina inabaki mamlaka ndani ya Israeli.
 
Wa
Wanauana wenzao wanakaa mezani wanapiga pesa alafu wanajiita wapatanishi, katika hii dunia ukikosa akili ni shida sana lazima watu wakutumie kama kitega uchumi, Kwani nini wasikubaliane namna ya kukaa pamoja,
 
Hao jamaa ni ndugu ugomvi wao wa kikuda sana yaani hata hawaeleweki eleweki wanataka Nini yaani watu wanaishi nchi moja ila wamegawana madaraka kila mtu anajifanya mjuaji kwa zaidi ya mwenzie

Waacheni Kama walivyo akili zao ni nusu hao!
 
Mkuu natamani sana kuijua hii historia maana huwa sielewi hao wapalestina walitokea wapi mpaka kwenda kuvamia nchi ya watu? Na wao waisrael walikuwa wapi mpaka wapalestina wanajenga mizizi
Kwa Kifupi sana, Waisrael Zamani walitekwa na kwenda kutumikishwa nchi zingine kama ulaya nk, kama Waafrika walivyofanywa, na wapalestina ni kama wamasai walivyoingia kenya na nchi nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…