Jerusalem: Sababu tatu za kuzuka kwa ghasia kati ya Wapalestina na Wayahudi

Au labda anamaana Swaumu yangu hugeuka Bomu na kuteketeza kijiwe kizima cha Kahawa

Swaumu huwa ina Hasira kinoma,sijui nyie wenzangu Swaumu ikikamata huwa naanzisha mzozo mpaka mjumbe huwa anaitwa.
 
wangewapeleka congo manake nchi robo tatu bado pori kubwa sana wameitumia robo tu labda miaka 3000 ijayo ndio pori kwa pori kutokea mtobozano
 
wangewapeleka congo manake nchi robo tatu
Ndio utakuwa mwisho wa Congo kama tuijuavyo, kumbuka hawa jamaa ni mabingwa wa kuzulumu Ardhi hata huo mgogoro wao ni kudhulumiana Ardhi.

Kuna Nchi nyingi za Kiarabu zenye uwezo wa gawio la Ardhi.
 
Dini ni mbinu zilizotengenezwa ili kuwatawala watu ( Utumwa) kwa hio usichukiane kwa ajili ya dini kwani hazina faida kwenu
 
Dini ni mifumo iliyobuniwa kwa ajili ya kutawala watu ( Utumwa) kabla ya kubuniwa serikali za sasa, msichukiane hizo dini hazitawasaidia chochote
 
Pumbavu nimekaa na Wayahudi ( Waisrael ) na kamwe hawatuchukii Sisi Waafrika kama ambavyo Waafrika wenyewe kwa wenyewe tunachukiana kila Uchao tu.
Uko sahihi, watu wenye chuki iliyopitiliza kwa Waafrika ni waarabu, wahindi, wachina na wazungu wanashika nafasi ya mwisho.
 
Ukisoma historia vizuri bila kuegemea kwenye dini utaelewa.Naomba nikupe muhtasari kidogo,kihistoria hao wapalestina wametokana na jamii ya wafilisti waliohamia maeneo hayo karne ya 12BC ambapo utawala wao ulikuja kutawaliwa na waassryia,ikafuatia tawala nyingine nyingi zikiwemo Wababeli,waajemi,wagiriki,waarabu,warumi,waturk,wamisri na baadae ufalme wa ottomani mpaka 1917.Sasa baada ya vita kuu ya kwanza mwaka 1918 Uingereza ikachukua utawala juu ya ardhi yote na umoja wa mataifa wakati huo(League of nation) ukawapa Uingereza maadhimio ya kuanzisha taifa la wayahudi mwaka 1923,ambapo mchakato huu ulichukua takribani miaka 20,ambapo baada ya vita kuu ya pili1947 UN walitoa mpango wa kugawa mataifa mawili ambayo moja ni Israeli na jingine lingekuwa Palestina,lakini viongozi wa kipalestina walipinga mpango huu na kuanzisha vurugu ambayo Israel waliitumia kujitangazia uhuru wao baada ya kuidhibit hali ya vurugu.Baada ya hapo ndio zikafuata vulumai kama hizo mpaka leo.Hiyo ndio historia ninayo ifahamu,nipo huru kukosolewa pale penye walakini.Karibu.
 
Mbn dunia kubwa kwann wasiende kuishi hata araska auko au austrial waombe wakaishi uko kila siku wanapigana kuigombania iyo ardhi ina nn iyo ardhi???
Ni ardhi takatifu iliyobarikiwa ndio maana wanaigombania.
 
Kwa mtazamo wako amani ni kitu gani?
 
Dunia nzima waislam akili zao ni moja wanawaza fujo mda wote kuua kuandamana kujitoa mhanga.

Kusingekuwepo uislam tungekaa kwa aman sana ila nashukuru mungu aliwapa nguvu Israeli, na wazungu maana wanashughulikiwa kisawa sawa very good.
Jifunze kujizuia hisia zako, acha mihemko yako ya makande. Unaishi Tz haujui maumivu kiasi gani wanayapata wenzio direct unawashambulia waislamu. upo na utimamu sawa sawa kweli??

Unajua mgogoro wa israel na palestina umeletwa na nani??? unawasifia wamerikani,haujui kuwa hata marekani waislamu wapo??? usilete uzandiki kwenye mambo yasiyokugusa. Toka uishi huko ulipo ulipigwa bomu na muislamu???
 
Israel ina waislamu wengi mara saba ya wakristo
 
Uko sahihi, watu wenye chuki iliyopitiliza kwa Waafrika ni waarabu, wahindi, wachina na wazungu wanashika nafasi ya mwisho
Sisi tunachukiwa na kila aina ya Watu kwA nini lakini?
 
Free Palestine [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
 
Dunia nzima waislam akili zao ni moja wanawaza fujo mda wote kuua kuandamana kujitoa mhanga.

Kusingekuwepo uislam tungekaa kwa aman sana ila nashukuru mungu aliwapa nguvu Israeli, na wazungu maana wanashughulikiwa kisawa sawa very good.
Wewe ndio hujielewi,hao waisrael ndio wanaonzisha fujo,hao wapalestina wako wakristo pia,usifikiri ni waislamu watupu.Huyo muisrael hamtambui hata huyo Yesu,anamuita mtoto wa nje ya ndoa.Ukisikia mpalestina hapo ni Muislamu na mkristo.
 
Wewe ndio hujielewi,hao waisrael ndio wanaonzisha fujo,hao wapalestina wako wakristo pia,usifikiri ni waislamu watupu.Huyo muisrael hamtambui hata huyo Yesu,anamuita mtoto wa nje ya ndoa.Ukisikia mpalestina hapo ni Muislamu na mkristo.
Na Takwimu hizi hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…