Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

Kwa hyo alikuwa analipwa dola 3000 takriban milion 6 plus then akafungua biashara ya vinywaji ambayo haifiki laki 5?

Hv ulijifunza kweli LOGIC darasani?
Ni uthibitisho kuwa huyu ni kilaza wa daraja la juu sana!! Kwa kiwango cha ufahamu wake hapo anaamini ametoa bonge la pointi!!
 
Acha kupangia watu cha kufanya
Kuna kazi za wito na za upigaji
Ualimu ni wito
Bila walimu hakuna viongozi, hakuna maendeleo haina yeyote.
 
Sasa miye ndo mwalimu wa kizazi kipya ambaye havumilii ujinga,

Mshauri rafiki Yako Mpwayungu Village kuvaa pampasi siyo jambo zuri
Unakosea sana.
Hakuna mwl wa kizazi kipya, pili hakuna sababu ya wala logic katika kumrekebisha mtu kwa kauli za kuudhi.

Kwa kauli zako Mpwayungu anakosa hatia.
UNampa ushindi wa bure.

Mwisho siwezi kumshauri avae pampasi kwani sijawahi kumwona akiingiliwa
 
Relax,achukue huo ushindi

Ila tell your godamn friend that being a faggot is no good business
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…